Angalia US Presidential Debate 2020

Punguza presha mjomba redio. Hii ni mada ya mdahalo kati ya Trump na Biden, umeufuatilia lakini? Au umetoka usingizini ukimuota Lissu ukaishia kuangukia humu na lipost lako refu lisiloendana na mada husika?
 

Wewe unapiga propaganda za kisiasa tu hapa. Hakuna ukweli wala uhalisia ktk kila ulichosema/andika hapa unless uwe umeamua kujifyatua akili yako na ufahamu wako tu....

NIKUKUMBUSHE KITU HAPA 👇 👇👇

Kwamba, wewe "labda" umesahau ama hujui kitu kimoja muhimu sana hapa, kwamba;

"TENDO" lolote hutanguliwa na "FIKRA" ama "WAZO" kwanza...

Yaani UNAFIKIRI ama KUWAZA kwanza, kisha MAWAZO ama FIKRA hizo unaziweka katika MATENDO...

Wataalamu wanasema, UKIFIKIRI ama KUWAZA vibaya, obviously kutakupelekea KUAMUA vibaya na final end ni KUTENDA vibaya....

Kinyume chake ni KUFIKIRI ama KUWAZA vyema, hukuongoza KUAMUA vyema na final end yake ni KUTENDA vyema....

Kabla ya kumpa mtu kazi, kawaida anapewa some sort of debate altenatatively you can even call it "interview"....

Lengo la interview/debate ni kupima " mpangilio wa mawazo na ufikiri wa mtu" kwa sababu ZAO la TENDO lolote ni FIKRA/WAZO katika akili na ufahamu wa mtu...

Ndiyo kusema ukitaka kumtengeneza mtu utakavyo, Fanya kitu kimoja tu, INGIA KWENYE FIKRA ZAKE.......

Tunataka kuwapa watu kazi kubwa ya URAIS. Tunahitaji kabla ya kuwapa kazi hiyo kazi, wapitie kwenye VIPIMO VYA KITAALAMU mojawapo ni "mdahalo" a some sort of interview ili wapimwe mtiririko na mpangilio wa mawazo yao katika maeneo (nyanja) zote muhimu za kijamii, kidiplomasia, kisiasa, uchumi na maswala ya jumla ya ulimwengu (overall global current matters)...

Ujinga na upuuzi unaoendelea sasa ktk nchi yetu ni kwa sababu, kazi hii kubwa ya URAIS amepewa mtu ambaye hakupitia kwenye screening ya namna hii...

Aliokotwa tu huko from no where na kupewa jukumu hili zito linahitaji utimamu wa nafsi, akili na mwili. Matokeo yake everything is going astray....
 
Huku dunia ya tatu mdahalo mnajiamulia 2010 walitaka mdahalo,2015 wakakataaa kabisa mdahalo yaani ile KATAKATA,2020 wanataka tena mdahalo 😀😀 sijui 2025 napo watataka au watakataa,sometimes kuwa elewa hawa ndugu zetu kazi.

Hao waliokuwa madarakani ndio hawataki kabisa mdahalo.
 
Kuna mahali nimeona Biden 48% na Trump 41%
Opinion za wengi zinampa Joe nafasi ya kuongoza maana Trump alikuwa ana interrupt sana wakati jamaa anaongea.

Waliotaka kusikia hoja naona kama hawamkubali sana Trump.

Ila kwa kawaida kama wewe ni rais uliye madarakani, ni rahisi kuwa defensive kuliko mpinzani wako maana yeye hana mahali pa kuulizwa.

Naona Trump akaamua kuwa defensive as well as kumshambulia Joe.
 
Uisahau kuwa Biden naye alikuwa VP serikali iliyopita, naye hawezi kujitenga na kuboronga au kufanikiwa kwa Obama.
Trump anajitahidi sana kuingilia uchaguzi, Tutaona mwisho wake.
 
Niko Macho nikifuatilia debate ya Mabeberu hapa.

Trump ni kama mtoto wa chokoraa,sio msikivu kabisa kwa moderator.
Debate ilikuwa trump vs Biden na moderator na kawachanachana vipande, Moderator yuko biased kwa biden ila trump kamchana chana
 

Ccm washatuona machizi
Ccm wanaudhi kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…