Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inasikitisha sana. Ndo maana hata kunya tu hatunyi ipasavyo.View attachment 3038250View attachment 3038251View attachment 3038252View attachment 3038253
Mmoja ni msafara wa nchi wapokea misaada, misfara mingine miwili ni wagawa msaada Netherlands na Uingereza.
INASIKITISHA WALLAH.View attachment 3038250View attachment 3038251View attachment 3038252View attachment 3038253
Mmoja ni msafara wa nchi wapokea misaada, misfara mingine miwili ni wagawa msaada Netherlands na Uingereza.
Hayo magari hapo fanya kila moja linabeba watumishi zaidi ya 2 pamoja na dereva na mafuta. Watu wanakula keki ya taifa wakati wananchi wanachezeshwa nyimbo za Captain Komba. Kupanga ni kuchagua.View attachment 3038250View attachment 3038251View attachment 3038252View attachment 3038253
Mmoja ni msafara wa nchi wapokea misaada, misfara mingine miwili ni wagawa msaada Netherlands na Uingereza.
Mada nyingine za kipuuzi kweliView attachment 3038250View attachment 3038251View attachment 3038252View attachment 3038253
Mmoja ni msafara wa nchi wapokea misaada, misfara mingine miwili ni wagawa msaada Netherlands na Uingereza.
Sio lazima viongozi wetu kuiga kwa kutembea kwa baiskeli, ila kuonesha wanajali kubana matumizi ya serikali msafara ungepunguzwa ukubwa wake, maofisa wengi hapo wangeweza kushea usafiri mmoja mfano, kuna ubaya gani RC akishea usafiri na DC's??.Mada nyingine za kipuuzi kweli
Kwa hio unatakaje na viongozi wa huku watembee na baiskeli au
Acha ushamba ingawa kuna mataira yatakusuport
chawa wa mama wakiingozwa Na Lucas Mwashambwa hutowaona kwenye Uzi huuView attachment 3038250View attachment 3038251View attachment 3038252View attachment 3038253
Mmoja ni msafara wa nchi wapokea misaada, misfara mingine miwili ni wagawa msaada Netherlands na Uingereza.
Waafrica tuna ulimkuekeni wa vituView attachment 3038250View attachment 3038251View attachment 3038252View attachment 3038253
Mmoja ni msafara wa nchi wapokea misaada, misfara mingine miwili ni wagawa msaada Netherlands na Uingereza.
Mbona hasira dogoMada nyingine za kipuuzi kweli
Kwa hio unatakaje na viongozi wa huku watembee na baiskeli au
Acha ushamba ingawa kuna mataira yatakusuport
DC anakuja kufanya nini kama RC yupo... unless Rais anatembelea wilaya husika,then DC atahudhuria shughuli mahsusi(DED, WAKUU WA IDARA WOTE HAWAHITAJIKI KWENYE MSAFARA) . Jambo la Msingi ni Mkuu wa Mkoa au RAS kukusanywa ripoti na kuwakilisha kwa kiongoz Mkuu...Rais ahitaji kupewa ripoti detailed...yeye anatakiwa kupewa general information, mambo ya kitaalamu ni mambo ya makatibu wakuu na watendaji wao...no need kuongozana na meneja wa Tarura ,Ruwasa au REA kwenye MSAFARA wa RaisSio lazima viongozi wetu kuiga kwa kutembea kwa baiskeli, ila kuonesha wanajali kubana matumizi ya serikali msafara ungepunguzwa ukubwa wake, maofisa wengi hapo wangeweza kushea usafiri mmoja mfano, kuna ubaya gani RC akishea usafiri na DC's??.
Sio kila ujinga wa viongozi unasapoti tu ndio tatizo la kuwa chawa.
Sasa kama li Rais lenyewe nalo linapenda msafara wao wafanyeje sasa? Nchi hii kwa kweli tuna utumbafu mwingi sana. Cha kushangaza hata mwongozo wa ziara za mkuu wa nchi huwa hawauzingatii! Kama mwongozo ungefuatwa msafara wa Rais ulipaswa kuwa na magari yasiyozidi 15.DC anakuja kufanya nini kama RC yupo... unless Rais anatembelea wilaya husika,then DC atahudhuria shughuli mahsusi(DED, WAKUU WA IDARA WOTE HAWAHITAJIKI KWENYE MSAFARA) . Jambo la Msingi ni Mkuu wa Mkoa au RAS kukusanywa ripoti na kuwakilisha kwa kiongoz Mkuu...Rais ahitaji kupewa ripoti detailed...yeye anatakiwa kupewa general information, mambo ya kitaalamu ni mambo ya makatibu wakuu na watendaji wao...no need kuongozana na meneja wa Tarura ,Ruwasa au REA kwenye MSAFARA wa Rais
😆😆😆Ngozi ya kalio sio riziki.