Angalia vipaumbele vya Waafrika wapokea misaada Vs Wagawa misaada

Angalia vipaumbele vya Waafrika wapokea misaada Vs Wagawa misaada

Mtu akiteuliwa nafasi fulani huwa tunasemaje, "AMEULA", shida inaanzia hapo. Tunajua kabisa aliyepewa nafasi amepata fursa..ya nini....

Kingine, pesa ya kupewa haiumi, si tunawahonga wanawake kila siku..wenyewe wanasema pesa ya kuhongwa ni tamu.
 
Watawala wetu wana makandokando mengi kwaiyo lazima wawe na msafara mzito wenye magari ya kutosha, helkopta za kutosha, barabara zifungwe ata saa tatu.
Tuna zaidi ya miaka 60 ya uhuru lakini bado tuna matatizo ya vyoo mashuleni.

Sisi vipaumbele vyetu ni hivi

20240702_072327.jpg
 
Halafu Mama anatuchamba wananchi kwamba hatulipi kodi ila tumekazana kutaka serikali itufanyie hiki mara kile.
 
Mada nyingine za kipuuzi kweli
Kwa hio unatakaje na viongozi wa huku watembee na baiskeli au
Acha ushamba ingawa kuna mataira yatakusuport
Huo msafara wa viongozi wa serikali yako unafanana hata kidogo na nyumba unazoziona kwa pembeni?
 
Alafu kila siku wanapiga kelele kwamba pesa hakuna na bado wanapata pesa za kuchezea namna hiyo 🤔
Na misafara kama hivyo ndio inatia uvivu hata kulipa kodi, kwa sababu zinaishia kugharamia anasa za watawala. Ni shida kwelikweli
 
Waafrica tuna ulimkuekeni wa vitu
Utashangaa mawaziri wa samia wanashindana kununua nyumba dubai

Ni mwl Nyerere hakuwa na shonoka na vitu
Mwalimu ile ilikuwa ni habari nyingine !!
Ndio maana unaona wengine wanataka aitwe mtakatifu na wengine wanahangaika kuweka sanamu zake huko Addis Ababa makao makuu ya Afrika (AU) 😳🙄🙌
 
Mtu akiteuliwa nafasi fulani huwa tunasemaje, "AMEULA", shida inaanzia hapo. Tunajua kabisa aliyepewa nafasi amepata fursa..ya nini....

Kingine, pesa ya kupewa haiumi, si tunawahonga wanawake kila siku..wenyewe wanasema pesa ya kuhongwa ni tamu.
Iko vile 😳👍
 
Afu nyie mnaojidai mna hasira mtafkiri ndio watoaji kodi kumbe wengi wenu wamachinga na wakwepa kodi
 
Huo msafara wa viongozi wa serikali yako unafanana hata kidogo na nyumba unazoziona kwa pembeni?
Kumbe ni kuhusu izo nyumba mbona hata huku kuna mitaa iko ivo kibaoo
Dar haijaishia mbagala tuh kuna masaki pia
 
Back
Top Bottom