Angalia vipaumbele vya Waafrika wapokea misaada Vs Wagawa misaada

Waomba+wapewa msaada wanajuwa kutumbua bwana

Ova
 
Mada nyingine za kipuuzi kweli
Kwa hio unatakaje na viongozi wa huku watembee na baiskeli au
Acha ushamba ingawa kuna mataira yatakusuport
Sio lazima viongozi wetu kuiga kwa kutembea kwa baiskeli, ila kuonesha wanajali kubana matumizi ya serikali msafara ungepunguzwa ukubwa wake, maofisa wengi hapo wangeweza kushea usafiri mmoja mfano, kuna ubaya gani RC akishea usafiri na DC's??.
Sio kila ujinga wa viongozi unasapoti tu ndio tatizo la kuwa chawa.
 
Mada nyingine za kipuuzi kweli
Kwa hio unatakaje na viongozi wa huku watembee na baiskeli au
Acha ushamba ingawa kuna mataira yatakusuport
Mbona hasira dogo
Kweli viongozi wa kiafrika wanapenda anasa
 
DC anakuja kufanya nini kama RC yupo... unless Rais anatembelea wilaya husika,then DC atahudhuria shughuli mahsusi(DED, WAKUU WA IDARA WOTE HAWAHITAJIKI KWENYE MSAFARA) . Jambo la Msingi ni Mkuu wa Mkoa au RAS kukusanywa ripoti na kuwakilisha kwa kiongoz Mkuu...Rais ahitaji kupewa ripoti detailed...yeye anatakiwa kupewa general information, mambo ya kitaalamu ni mambo ya makatibu wakuu na watendaji wao...no need kuongozana na meneja wa Tarura ,Ruwasa au REA kwenye MSAFARA wa Rais
 
Sasa kama li Rais lenyewe nalo linapenda msafara wao wafanyeje sasa? Nchi hii kwa kweli tuna utumbafu mwingi sana. Cha kushangaza hata mwongozo wa ziara za mkuu wa nchi huwa hawauzingatii! Kama mwongozo ungefuatwa msafara wa Rais ulipaswa kuwa na magari yasiyozidi 15.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…