-ArkadHill
JF-Expert Member
- Nov 1, 2023
- 845
- 1,501
TRAMP NI PUTO TU alidhani watu wanamuogopa Zelensky awai kwa mjomba Putin wayamalize!!!!! MAREKANI WEZI TU ktk hii dunia..
Trump ni muoga Sana aisee hata babu anamshinda.TRAMP NI PUTO TU alidhani watu wanamuogopa Zelensky awai kwa mjomba Putin wayamalize!!!!! MAREKANI WEZI TU ktk hii dunia..
Magufuli alipotutetea,mlipinga. Mnamtamani yupi tenaView attachment 3253719
Trump ni Rais wa watu wa Marekani, ni lazima atetee maslahi ya watu wake
Hata sisi watanzania tunatamani tupate kiongozi wa kutetea maslahi yetu
Nimefuatilia vijana wa Marekani wanampenda sana Rais wao
Hawa CNN na BBC wanatudanganya tu
Vijana wa Marekani wanampenda Rais wao Trump kama vijana wa Tanzania wanavyompenda Rais wao Mama Samia Suluhu Hassan!View attachment 3253719
Trump ni Rais wa watu wa Marekani, ni lazima atetee maslahi ya watu wake
Hata sisi watanzania tunatamani tupate kiongozi wa kutetea maslahi yetu
Nimefuatilia vijana wa Marekani wanampenda sana Rais wao
Hawa CNN na BBC wanatudanganya tu
"Hii ni hulka ya namna gani? Kama vile naanza sasa kuelewa ilikuwaje Waafrika wakazolewa utumwani kwa maelfu bila resistance ya maana"Maoni ya Waafrika yanashangaza. Zelenskyy angeongea kinyonge na kukubali kila dharau aliyofanyiwa yeye na nchi yake na kusisitiza maombi ya msaada wa Marekani, comment za kumdharau zingejaa hapa JF hasa kwa wengi wanaoichukia Marekani, NATO na Ukraine yenyewe.
Sasa kajitutumua mbele ya Trump na media yake, bado anachekwa na kuitwa mjinga, hana akili, eti kadharaulishwa sana! Wengi hawajafuatilia kwa umakini kampeni mbaya ya Trump na mawaziri wake dhidi ya Ukraine waliyofanya tangu wiki iliyopita kule Ulaya na Saudi Arabia wakishirikiana na Urusi na katika mazungumzo ya simu kati ya Trump na Putin.
Putin inajulikana madai yake ya msingi tangu aingie madarakani 1999 ni kuwa Ukraine ni sehemu halali ya Urusi iliyojitenga kwa makosa ya kihistoria. Na kwamba njama za mabeberu zinataka kutenganisha kabisa undugu ulioko kati ya watu wa Ukraine na Urusi. Trump anafahamu habari hiyo. Ndio maana amekuwa akimkumbusha Zelenskyy kuwa akileta ujinga atajikuta hana nchi. AU siku moja Ukraine itakuwa Jimbo la Urusi.
Neither way, Zelenskyy can win. Hakuna Zelenskyy atakachofanya aonekane wa maana. Leo kaonyesha kukata tamaa kabisa na kuamua kusema ovyo. Bila shaka, ili yawepo angalau maelewano hata ya kubabaisha kati ya Ukraine na USA, itabidi Zelenskky ajiuzulu apishe Rais mwingine atakeyebeba zigo la kukabiliana na US na Putin. Sidhani kama Trump atataka tena kukutana na Zelenskyy.
Mashabiki wa miamba "strongmen" hasa Putin, roho zao zinazidi kuwa kwatu. Jeuri aliyoonyesha Zelenskyy miaka mitatu itakuwa imefutiliwa mbali! Kwamba sasa Putin atazidi kufanikiwa!
Najiuliza sana inakuwaje watu wanafurahia mafanikio ya dikteta Putin hata kwa kupewa msaada na Rais wa Marekani? Halafu wanamchukia mtu aliyeonyesha ujasiri mkubwa wa kuongoza nchi yake dhidi ya uvamizi wa nchi kubwa sana kuwazidi?
Hii ni hulka ya namna gani? Kama vile naanza sasa kuelewa ilikuwaje Waafrika wakazolewa utumwani kwa maelfu bila resistance ya maana.
Trump: "If you didn't have our equipment this war would have been over in three weeks".
Zelenskyy: "In three days, I heard it from Putin, in three days".
Such insolence!
Kwa hiyo Georgia ipo ndani ya Urusi au ni Nchi huru kama jibu ni Nchi huru basi we utakua shoga na unatetea mashoga wenzioUtakuwa una matatizo ya akili.
Nchi ya Urusi tayari imezivamia kijeshi karibia nchi zote kabisa ambazo ni majirani zake anaopakana nao. Ina maana kwamba wewe hulijui jambo hili kweli??? Nakumbuka Mwaka 2008 aliivamia Georgia
Maskini hana sautiHata Zelensky ni rais Ukraine, lazima atetee maslah ya watu wake.
Zelensky kadhihirisha ndivyo sivyo, Kapandishiana na tajiri na kagoma kusaini mkataba wa matakwa ya tajiri tena ndani ya ofisi ya tajiriMaskini hana sauti
Punguza kuangalia CNN na BBC wewe mnamezeshwa sana matangori na nyie mnayachukua tu bila ya kuyachuja na akili zenu, lini ulimskia au wapi uliona Putin akitamka kwamba lengo la hii vita ni yeye kuichukua Ukraine?Maoni ya Waafrika yanashangaza. Zelenskyy angeongea kinyonge na kukubali kila dharau aliyofanyiwa yeye na nchi yake na kusisitiza maombi ya msaada wa Marekani, comment za kumdharau zingejaa hapa JF hasa kwa wengi wanaoichukia Marekani, NATO na Ukraine yenyewe.
Sasa kajitutumua mbele ya Trump na media yake, bado anachekwa na kuitwa mjinga, hana akili, eti kadharaulishwa sana! Wengi hawajafuatilia kwa umakini kampeni mbaya ya Trump na mawaziri wake dhidi ya Ukraine waliyofanya tangu wiki iliyopita kule Ulaya na Saudi Arabia wakishirikiana na Urusi na katika mazungumzo ya simu kati ya Trump na Putin.
Putin inajulikana madai yake ya msingi tangu aingie madarakani 1999 ni kuwa Ukraine ni sehemu halali ya Urusi iliyojitenga kwa makosa ya kihistoria. Na kwamba njama za mabeberu zinataka kutenganisha kabisa undugu ulioko kati ya watu wa Ukraine na Urusi. Trump anafahamu habari hiyo. Ndio maana amekuwa akimkumbusha Zelenskyy kuwa akileta ujinga atajikuta hana nchi. AU siku moja Ukraine itakuwa Jimbo la Urusi.
Neither way, Zelenskyy can win. Hakuna Zelenskyy atakachofanya aonekane wa maana. Leo kaonyesha kukata tamaa kabisa na kuamua kusema ovyo. Bila shaka, ili yawepo angalau maelewano hata ya kubabaisha kati ya Ukraine na USA, itabidi Zelenskky ajiuzulu apishe Rais mwingine atakeyebeba zigo la kukabiliana na US na Putin. Sidhani kama Trump atataka tena kukutana na Zelenskyy.
Mashabiki wa miamba "strongmen" hasa Putin, roho zao zinazidi kuwa kwatu. Jeuri aliyoonyesha Zelenskyy miaka mitatu itakuwa imefutiliwa mbali! Kwamba sasa Putin atazidi kufanikiwa!
Najiuliza sana inakuwaje watu wanafurahia mafanikio ya dikteta Putin hata kwa kupewa msaada na Rais wa Marekani? Halafu wanamchukia mtu aliyeonyesha ujasiri mkubwa wa kuongoza nchi yake dhidi ya uvamizi wa nchi kubwa sana kuwazidi?
Hii ni hulka ya namna gani? Kama vile naanza sasa kuelewa ilikuwaje Waafrika wakazolewa utumwani kwa maelfu bila resistance ya maana.
Trump: "If you didn't have our equipment this war would have been over in three weeks".
Zelenskyy: "In three days, I heard it from Putin, in three days".
Such insolence!
Wachambuzi wa kibongo bwana 🤣🤣🤣🤣Urusi haikutaka kamwe kumuua Zelensky kwasababu walitaka aumie kuona matukio yote ya maangamizi kwenye nchi yake ila kwasaaa kuna uwezekano wa Zelensky kuuawa na Mamluki wa Marekani.
Ifike mahali tuanze kumwomba Mungu maombi na utaratibu usiofaa kwa wanadamu wachache, ila itakuwa dawa ya kupona kwa wengiView attachment 3253719
Trump ni Rais wa watu wa Marekani, ni lazima atetee maslahi ya watu wake
Hata sisi watanzania tunatamani tupate kiongozi wa kutetea maslahi yetu
Nimefuatilia vijana wa Marekani wanampenda sana Rais wao
Hawa CNN na BBC wanatudanganya tu
Hv kile kinyago ni nyerere au mtu kamili
Wazee wa kukaririshwaUmelishwa Matango pori kabla vita ya Ukraine Urusi amevamia nchi gani nyingine na kuchukua maeneo??
Mchonganishi kakaa pembeni tulii anamsoma Zelenski.View attachment 3253719
Trump ni Rais wa watu wa Marekani, ni lazima atetee maslahi ya watu wake
Hata sisi watanzania tunatamani tupate kiongozi wa kutetea maslahi yetu
Nimefuatilia vijana wa Marekani wanampenda sana Rais wao
Hawa CNN na BBC wanatudanganya tu
ndugu hawa jamaa wa us walioingia ikuru ni wahuni konki, binafsi naamini yaliyotokea pale ni yalipangwa kabla, kwamba tumshushe, tumtishe mpaka ajione hana lolote, kisha afanye tunavyotaka. Zele aliwashtukiaHAKUNA ATAMAYEMUUA ZELENKIY TAFUTA HISTORIA YAKE UTAJUA KAMA KUFA ANGEKUFA KITAMBO HUMU WATU WASIOJIELEWA WANATEYE upumbavu ZELE ALIALIKWA HUWEZI MUALLIKA MGENI KISHA UNSMTUKANA KUMUWEKA CHINI US PIA THEY NEED HIM WANAHITAJI RARE EARTH BIT HUWEZI KUHITAJI KITU BY BLACKMAILING SOMEONE
putin ana uwezo kumuua zelesky kitambo sana, inasemekana Israel walimwomba asimuue (zelesky baba yake na mama yake wote ni wayahudi), putin hataki kumuua, ila kwa sasa, akiona amegombana na marekani, kuna uwezekano akamuua ili kiongozi mwingine atakayekuja akae kwenye kiti wayamalize. namwonea huruma sana zelesky kwa sababu pale awali hakutegemea yafakuwa hivi, aliaminishwa na marekani na ulaya kwamba watamsaidia kuishinda russia, akajiamini kweli, kumbe wanamtoa mhanga. kati ya viti atajilaumu maisha yake yote ni kukubali kupigana na putin, imemuumiza moyo na inaweza kumpunguzia hata maisha kwani kiroho na maumivu na aibu aliyoipata na kudhalilishwa hakupimiki. imagine, hata juzi, rais wa marekani anamdhalilisha mbele ya tv utafikiri anaongea na kibaka wa mtaani tu kumbe anaongea na rais wa nchi, anayewakilisha waukrain wote. sio hivyo tu, makamu wa rais ambaye ningekuwa mimi ni zelesky ningemwambia anyamaze kimya mimi kama rais nitaongea na rais mwenzangu yeye aende ukraine akaongee na makamu wangu. sijui kwa nini alisahau kumwambia vile? makamu wa rais anamdhalilisha rais mbele za watu? sijawahi ona.Hapana USA watalazimisha atolewe madarakani
Trump ni mtu wa kulazimisha si kuua
Washaanza kumuita DIKTETA