Angalia Zelensky Alivyonywea

Angalia Zelensky Alivyonywea

kati ya watu walioaibishwa mno leo hii, zelesky ni wa kwanza dunia nzima. wamemshambulia kama mtoto mdogo, hawajamheshimu kama rais. ila na yeye ni noma, amepambana, amemjibu trump apendavyo na ameondoka bila kusaini chochote, na kamwambia trump hataki majadiliano yoyote na urusi ambayo yatahusisha marekani, maana yake ni kwamba hamwamini trump kwenye mazungumzo hayo. kawanyoosha wamarekani hadi wanalalamika kuwa ameidharau white house tena akiwa ndani mle mle.

ninachokiona, soon atauawa ili aje rais mwingine atakayewapa wamarekani hayo madini. mark my words.
Hapana USA watalazimisha atolewe madarakani

Trump ni mtu wa kulazimisha si kuua

Washaanza kumuita DIKTETA
 
kati ya watu walioaibishwa mno leo hii, zelesky ni wa kwanza dunia nzima. wamemshambulia kama mtoto mdogo, hawajamheshimu kama rais. ila na yeye ni noma, amepambana, amemjibu trump apendavyo na ameondoka bila kusaini chochote, na kamwambia trump hataki majadiliano yoyote na urusi ambayo yatahusisha marekani, maana yake ni kwamba hamwamini trump kwenye mazungumzo hayo. kawanyoosha wamarekani hadi wanalalamika kuwa ameidharau white house tena akiwa ndani mle mle.

ninachokiona, soon atauawa ili aje rais mwingine atakayewapa wamarekani hayo madini. mark my words.
Kete pekee aliyobaki nayo Zelensky ni moja tu kete matata sana dhidi ya marekani na walio mponza NATO nayo ni kuongea kwa siri na putini na kumkabidhi nchi yote ya ukrain hiyo ndiyo kete matata sana atakuwa kaicheza.
 
Najiuliza sana inakuwaje watu wanafurahia mafanikio ya dikteta Putin hata kwa kupewa msaada na Rais wa Marekani? Halafu wanamchukia mtu aliyeonyesha ujasiri mkubwa wa kuongoza nchi yake dhidi ya uvamizi wa nchi kubwa sana kuwazidi?
Mkuu kwenye neno 'aliyeonyesha ujasiri mkubwa'

Hapa aliyeonyesha ujasiri ni Biden si Zelensky

Biden baada ya kutoka unaona kilichotokea

N.b Na huko German mambo yamejipa kwa AFD wamepata viti vingi bungeni, watakwamisha mambo mengi

Merz mwenyewe haeleweki ni mtata
 
Maoni ya Waafrika yanashangaza. Zelenskyy angeongea kinyonge na kukubali kila dharau aliyofanyiwa yeye na nchi yake na kusisitiza maombi ya msaada wa Marekani, comment za kumdharau zingejaa hapa JF hasa kwa wengi wanaoichukia Marekani, NATO na Ukraine yenyewe.

Sasa kajitutumua mbele ya Trump na media yake, bado anachekwa na kuitwa mjinga, hana akili, eti kadharaulishwa sana! Wengi hawajafuatilia kwa umakini kampeni mbaya ya Trump na mawaziri wake dhidi ya Ukraine waliyofanya tangu wiki iliyopita kule Ulaya na Saudi Arabia wakishirikiana na Urusi na katika mazungumzo ya simu kati ya Trump na Putin.

Putin inajulikana madai yake ya msingi tangu aingie madarakani 1999 ni kuwa Ukraine ni sehemu halali ya Urusi iliyojitenga kwa makosa ya kihistoria. Na kwamba njama za mabeberu zinataka kutenganisha kabisa undugu ulioko kati ya watu wa Ukraine na Urusi. Trump anafahamu habari hiyo. Ndio maana amekuwa akimkumbusha Zelenskyy kuwa akileta ujinga atajikuta hana nchi. AU siku moja Ukraine itakuwa Jimbo la Urusi.

Neither way, Zelenskyy can win. Hakuna Zelenskyy atakachofanya aonekane wa maana. Leo kaonyesha kukata tamaa kabisa na kuamua kusema ovyo. Bila shaka, ili yawepo angalau maelewano hata ya kubabaisha kati ya Ukraine na USA, itabidi Zelenskky ajiuzulu apishe Rais mwingine atakeyebeba zigo la kukabiliana na US na Putin. Sidhani kama Trump atataka tena kukutana na Zelenskyy.

Mashabiki wa miamba "strongmen" hasa Putin, roho zao zinazidi kuwa kwatu. Jeuri aliyoonyesha Zelenskyy miaka mitatu itakuwa imefutiliwa mbali! Kwamba sasa Putin atazidi kufanikiwa!

Najiuliza sana inakuwaje watu wanafurahia mafanikio ya dikteta Putin hata kwa kupewa msaada na Rais wa Marekani? Halafu wanamchukia mtu aliyeonyesha ujasiri mkubwa wa kuongoza nchi yake dhidi ya uvamizi wa nchi kubwa sana kuwazidi?

Hii ni hulka ya namna gani? Kama vile naanza sasa kuelewa ilikuwaje Waafrika wakazolewa utumwani kwa maelfu bila resistance ya maana.

Trump: "If you didn't have our equipment this war would have been over in three weeks".

Zelenskyy: "In three days, I heard it from Putin, in three days".

Such insolence!

kati ya watu walioaibishwa mno leo hii, zelesky ni wa kwanza dunia nzima. wamemshambulia kama mtoto mdogo, hawajamheshimu kama rais. ila na yeye ni noma, amepambana, amemjibu trump apendavyo na ameondoka bila kusaini chochote, na kamwambia trump hataki majadiliano yoyote na urusi ambayo yatahusisha marekani, maana yake ni kwamba hamwamini trump kwenye mazungumzo hayo. kawanyoosha wamarekani hadi wanalalamika kuwa ameidharau white house tena akiwa ndani mle mle.

ninachokiona, soon atauawa ili aje rais mwingine atakayewapa wamarekani hayo madini. mark my words.

Usalama wa Ukraine ndio Usalama wa bara lote la Ulaya, hususani Ulaya Magharibi.

Ukraine ikishindwa Vita maana yake ni kwamba Ulaya yote kabisa itakuwa imetekwa na Urusi. Hili litakuwa jambo baya sana tena ni jambo la hatari kubwa sana kupita kiasi kwa maisha ya Watu wote kabisa wa bara la Ulaya.
Kwa hali kama hiyo, ni Bora Watu wa Ulaya waingie katika Vita ya Tatu ya dunia kuliko kuruhusu Urusi ishinde Vita hiyo.
Kwanza kabisa, lengo Kuu mojawapo la kuanzishwa kwa NATO ilikuwa ni kupambana na Udikteta wa Watawala wababe wa Urusi.

Urusi ikishinda Vita hii, bado ataendelea kuteka maeneo mengine zaidi na zaidi hadi Ulaya yote kabisa iwe chini ya Utawala wa Urusi, Putin hataishia kuiteka Ukraine peke yake.
 
HAKUNA ATAMAYEMUUA ZELENKIY TAFUTA HISTORIA YAKE UTAJUA KAMA KUFA ANGEKUFA KITAMBO HUMU WATU WASIOJIELEWA WANATEYE upumbavu ZELE ALIALIKWA HUWEZI MUALLIKA MGENI KISHA UNSMTUKANA KUMUWEKA CHINI US PIA THEY NEED HIM WANAHITAJI RARE EARTH BIT HUWEZI KUHITAJI KITU BY BLACKMAILING SOMEONE
Hiyo Zelensky ni mpumbavu tu
 
Usalama wa Ukraine ndio Usalama wa bara lote la Ulaya, hususani Ulaya Magharibi.

Ukraine ikishindwa Vita maana yake ni kwamba Ulaya yote kabisa itakuwa imetekwa na Urusi. Hili litakuwa jambo baya sana tena ni jambo la hatari kubwa sana kupita kiasi kwa maisha ya Watu wote kabisa wa bara la Ulaya.
Kwa hali kama hiyo, ni Bora Watu wa Ulaya waingie katika Vita ya Tatu ya dunia kuliko kuruhusu Urusi ishinde Vita hiyo.
Kwanza kabisa, lengo Kuu mojawapo la kuanzishwa kwa NATO ilikuwa ni kupambana na Udikteta wa Watawala wababe wa Urusi.

Urusi ikishinda Vita hii, bado ataendelea kuteka maeneo mengine zaidi na zaidi hadi Ulaya yote kabisa iwe chini ya Utawala wa Urusi, Putin hataishia kuiteka Ukraine peke yake.
Umelishwa Matango pori kabla vita ya Ukraine Urusi amevamia nchi gani nyingine na kuchukua maeneo??
 
Umelishwa Matango pori kabla vita ya Ukraine Urusi amevamia nchi gani nyingine na kuchukua maeneo??

Utakuwa una matatizo ya akili.

Nchi ya Urusi tayari imezivamia kijeshi karibia nchi zote kabisa ambazo ni majirani zake anaopakana nao. Ina maana kwamba wewe hulijui jambo hili kweli??? Nakumbuka Mwaka 2008 aliivamia Georgia
 
Zelensky anategemea kila kitu kwenye kupigana kwake kutoka USA. Satellite ya kijeshi hana anategemea ya Elon Musk.Wakimkatia msaada wiki 2 hamna kitu atakachofanya zaidi nchi yake itamegwa zaidi.

Control room inaendeshwa kwa msaada wa NATO. Ukraine haina silaha haina satellite ya kijeshi kufuatilia mwenendo wa adui yake na kuelekezea mashambulizi kwa adui wake. Kibaya zaidi hana wanajeshi, mamluki kutoka nchi za NATO ndiyo wanamsaidia.

Kubishana na Trump ni kuleta maangamizi kwenye nchi yake na wala haimeletei sifa. Sasa akubali moja, Putin akubali kuimega nchi yake au aingie dili na USA?
Urusi haikutaka kamwe kumuua Zelensky kwasababu walitaka aumie kuona matukio yote ya maangamizi kwenye nchi yake ila kwasaaa kuna uwezekano wa Zelensky kuuawa na Mamluki wa Marekani.
 
Umelishwa Matango pori kabla vita ya Ukraine Urusi amevamia nchi gani nyingine na kuchukua maeneo??
Hajachukua ila lengo la Urusi ni kuchukua Dominion zote zilizokuwa chini yake wakati USSR ikiwa na nguvu kubwa zaidi Ulaya yote

Wanaamini katika kumiliki maeneo makubwa hasa ya jirani ni advantage kwao kiuchumi na kiulinzi, vivyo hivyo CHINA itakuja kuichukua Taiwan siku moja kwasababu Taiwan ni Maswahiba wa USA
 
Zelensky anategemea kila kitu kwenye kupigana kwake kutoka USA. Satellite ya kijeshi hana anategemea ya Elon Musk.Wakimkatia msaada wiki 2 hamna kitu atakachofanya zaidi nchi yake itamegwa zaidi.

Control room inaendeshwa kwa msaada wa NATO. Ukraine haina silaha haina satellite ya kijeshi kufuatilia mwenendo wa adui yake na kuelekezea mashambulizi kwa adui wake. Kibaya zaidi hana wanajeshi, mamluki kutoka nchi za NATO ndiyo wanamsaidia.

Kubishana na Trump ni kuleta maangamizi kwenye nchi yake na wala haimeletei sifa. Sasa akubali moja, Putin akubali kuimega nchi yake au aingie dili na USA?
analipia hiyo satellite hatumii bure ndio maana kuna kipindi elon alikuw anauza info za kimtandao za wanajeshi walioko frontline kwa russia
Sasa putin amege ukraine mara ngapi nafurahi mnakubali mziki wa kafir trump dhid ya ukraine ila hsmkubali mziki wa khafir trump dhid ya palestina
 
Zele alipotua USA akaanzia kwa mabest zake Democratic wakamuandikia "script" za namna ya kujihami akifika "oval office" sasa bahati mbaya akakutana na vichwa vibovu Trump, JD ghafla mistari ikafutika kichwani.

Democrat wamepoteza muigizaji mahili!
 
View attachment 3253719
Trump ni Rais wa watu wa Marekani, ni lazima atetee maslahi ya watu wake

Hata sisi watanzania tunatamani tupate kiongozi wa kutetea maslahi yetu

Nimefuatilia vijana wa Marekani wanampenda sana Rais wao

Hawa CNN na BBC wanatudanganya tu
Anawatetea au anawaangamiza ?

Trump anaowatetea ni oligarchy wachache ila sio USA kwa ujumla au long term benefits kwa USA

Kwa taarifa yako hili la USA kuchukua na kufaidika na mali za watu na kuuza silaha kwa mgongo wa misaada limekuwa lifanywa all along (hio inaitwa soft imperialism) unapewa kidogo kwa goodwill ila mwisho wa siku anayekupa anafaida; anachofanya sasa ni Trump kuonyesha true colors (kwamba tunakupa / tunakuuzia silaha ambazo zinatengenezwa na kampuni zetu, ila lazima utupe madini tuchimbe); kabla wangekupa silaha kesho wakaja kuomba mikataba ya kampuni zao...

Anapiga story za Tariff kwamba zinawasaidia raia ila kumbe ni raia ndio wanalipia hizo Tariff sio muuzaji (ingawa muuzaji atakosa masoko), ila kwa hizi kauli za kuleta Ubabe consumers wengi wa nchi nyingine itabidi waungane..., In short the greatest champion wa BRICS ni Trump..

Na kwa taarifa yako kuna almost 50 percent hawakubaliani nae kabisa (kwahio naweza kusema its a nation divided)

Ngoja iendelee kunyesha...
 
Huyu mbabu ana huruma sana na maisha ya watu

Yeye vita zake za kibiashara sio za kumwagana damu
Kudadekii kumbe hawa viongozi wetu wakienda huko kuomba misaada huwa wanasemwa hivi km watoto.. lazima wawe mafisadi yani imagine unasemwa kwa niaba ya watu million 65 wote..kwanini usichukue hela dadeki..
 
Back
Top Bottom