Uwesutanzania
JF-Expert Member
- Feb 9, 2019
- 1,380
- 1,686
- Thread starter
- #21
Kabisa, yaani ile kuingia tu ndani haupo yaani ni kama ulikuwa umesimama mahari hiviMwezi hauwezi kwenda kazi kiasi hivyo, yani uchukue simu uwe umeshapotea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa, yaani ile kuingia tu ndani haupo yaani ni kama ulikuwa umesimama mahari hiviMwezi hauwezi kwenda kazi kiasi hivyo, yani uchukue simu uwe umeshapotea
Sawa, ni nyandaACHA Ushamba.
Kanda za juu ndio wapi?????????
ELIMU.
ELIMU.
ELIMU.
Sasa unachukia nini?? So niseme uongo
Kama si bangi hao wataalamu wa Hanga ni nini? Msipende kulichanganya na mavi ya sungura.Sio bangi mzee ngoja kesho tutasikia kwenye wataalamu wa Hanga
Gary Daniels?😁😃wanashoot movie ya BloodMoon -2 ya Gary basi
Ulichokiona sio mwezi, hauna tabia hizo. Je ulikuwa na umbo robo kama unavyotakiwa kuwa leo? Labda utakuwa umeona ISS. Je umeshawahi kuona ISS?Itakuwa umechelewa mimi mwenyewe ile kuingia tu kuchukua simu hata nirekod video nimetoka umeshapotea maana ulikuwa haraka sana
😴😶🌫️Sasa unachukia nini?? So niseme uongo
Unavuta bangi😴😶🌫️
🥺𝒌𝒖𝒏𝒂 𝒔𝒉𝒊𝒅𝒂 𝒌𝒂𝒕𝒊𝒌𝒂 𝒖𝒃𝒐𝒏𝒈𝒐 𝒘𝒂𝒌𝒐
Ulikuwa robo kama nilivyouona awaliUlichokiona sio mwezi, hauna tabia hizo. Je ulikuwa na upo robo kama unavyotakiwa kuwa leo? Labda utakuwa umeona ISS. Je umeshawahi kuona ISS?
Spidi ya ulichokiona wewe zinaendana?
😩😫🤧😤Unavuta bangi
Halafu mnarushwa rushwa😩😫🤧😤
🙃Halafu mnarushwa rushwa
Mie mida ya saa mbili nimeuona upo kawaida tu, ndo naingia jf saiv naiona hii thread, natoka nje nihakiki ila cha ajabu siuoni mwezi angani.Ni saa 22:09 nimeangalia juu nimekuta mwezi upo spidi kuelekea chini ukiwa na rangi nyekundu tii.
Upo spidi kiasi cha kushindwa hata kwenda ndani kuchukua simu yangu na kuurekodi...