Angalieni juu muda huu mwezi una rangi nyekundu alafu haraka sana

Angalieni juu muda huu mwezi una rangi nyekundu alafu haraka sana

Mie mida ya saa mbili nimeuona upo kawaida tu, ndo naingia jf saiv naiona hii thread, natoka nje nihakiki ila cha ajabu siuoni mwezi angani.
Ee ndio hivyo mimi pia niliuona ukiwa kawaida mida ya mbili kwenda saa 3 ila ilipofika saa 4 ulikazana sana. Najaribu kuwaeleza watu humu hawataki kunielewa kabisa.
 
Bangi ukiivuta hukuonesha mambo ambayo kwa akili ya kawaida huwa huyaoni na kuyachukulia umuhimu
 
Ee ndio hivyo mimi pia niliuona ukiwa kawaida mida ya mbili kwenda saa 3 ila ilipofika saa 4 ulikazana sana. Najaribu kuwaeleza watu humu hawataki kunielewa kabisa.
Jf huwa ina elimisha na kufurahisha pia, take it easy mkuu.
 
ACHA Ushamba.

Kanda za juu ndio wapi?????????


ELIMU.
ELIMU.
ELIMU.
Wewe mwenyewe pia hauna elimu, ngoja nikupe elimu kidogo ya matumizi ya hizi herufi kubwa na ndogo (capitalization rules).
"Neno lako (ACHA Ushamba.)
Umeandika kwa upungufu mkubwa wa elimu.
Kwanini nasema upungu wa elimu, sheria na kanuni za matumizi ya herufi kubwa na ndogo capitalization rules haziruhusu herufi ya kwanza kuwa kubwa kama neno lipo kati ya sentensi ambayo neno lake la nyuma lina herufi kubwa "ACHA Ushamba" ulipaswa uandike "ACHA USHAMBA" , "ACHA ushamba" au "Acha ushamba".
Mjinga wewe
Na pia hata hivi viulizo (?) Hairuhusiwi kuwa zaidi ya vinne.
(?) Why
(??) How
(???) Hey
(????) pregnant women (Yaani kama una mimba ndio unaweka vingi vingi hivyo kenge wewe.
 
Kijana mwezi wa kazi gani sisi DPW tushawapa chenu tulikuja kuuchukua kwa fidia ya bandar .skuingine acha umbea sa ulikuwa unaangalia nn.
 
Back
Top Bottom