pye Chang shen
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 11,422
- 6,108
Kariakoo, ilala, dar es salaamUpo mkoa ghan, wilaya ghan, Kanda ghani katika kimfumo wa tanesco
Duh, unadhani itakuwa suluhisho?Wajaribu kwa rushwa, huku ukiwa umewaandaa TAKUKURU pembeni halafu wabananishe kwenye kona fulani hivi ili wapate somo la karne.
Nipo narungombe /likoma street kariakooTaja eneo ulilopo then wacheki PM watakujibu na kukufanyia Kazi yako haraka
Mimi naongea Kama Afisa
Nipo narungombe /likoma street kariakoo
Na hapo juu nimeweka namba zote za ripoti na nyingine ninazo
Tangu tarehe 15/12/2024 saa 10:34 jioni siku ya jumapili mpaka mda huu unadhani ni dharau ya kitoto hiyo?
Haya bwana ofisa nimekutajia kila kitu tuone uofisa wako sasa
Huduma utapata mkuu haijalishi upo chama gani.Halafu nyie TANESCO mjue mimi ni ccm, kwani nani kawaambia mimi ni chadema mpaka mninyime huduma?