Angalieni wenyewe Tanesco wanavyofanya kazi

Angalieni wenyewe Tanesco wanavyofanya kazi

Kinachonikera zaidi kuhusu call center zao, wameweka watu wasio na uelewa kabisaaa na masuala ya umeme!

Unaeleza tatizo, anachoweza kukuambia ni kuwa TUNASHUGHULIKIA, MAFUNDI WETU WATAFIKA KUREKEBISHA.
  • Wakati huo unaongea na call center, gari ya emergency unaiona imepaki bar, jamaa hawana habari, dereva yuko guest huko...
  • Ikifika saa 4 usiku, wanafunga kazi, kwa hesabu zao, dharula mwisho ni saa 4 usiku.
 
Kinachonikera zaidi kuhusu call center zao, wameweka watu wasio na uelewa kabisaaa na masuala ya umeme!

Unaeleza tatizo, anachoweza kukuambia ni kuwa TUNASHUGHULIKIA, MAFUNDI WETU WATAFIKA KUREKEBISHA.
  • Wakati huo unaongea na call center, gari ya emergency unaiona imepaki bar, jamaa hawana habari, dereva yuko guest huko...
  • Ikifika saa 4 usiku, wanafunga kazi, kwa hesabu zao, dharula mwisho ni saa 4 usiku.
Umesema kweli kabisa
 
Nipo narungombe /likoma street kariakoo
Na hapo juu nimeweka namba zote za ripoti na nyingine ninazo

Tangu tarehe 15/12/2024 saa 10:34 jioni siku ya jumapili mpaka mda huu unadhani ni dharau ya kitoto hiyo?

Haya bwana ofisa nimekutajia kila kitu tuone uofisa wako sasa
pole kwa changamoto uliyoipata mkuu
0735230784 Regional Manager Tanesco Ilala
Piga simu mtumie na hizo sms ndani ya muda mfupi utakuwa umehudumiwa
Kwaniaba ya TANESCO tunaomba radhi kwa usumbufu uliyojitokeza pye Chang shen
 
Kinachonikera zaidi kuhusu call center zao, wameweka watu wasio na uelewa kabisaaa na masuala ya umeme!

Unaeleza tatizo, anachoweza kukuambia ni kuwa TUNASHUGHULIKIA, MAFUNDI WETU WATAFIKA KUREKEBISHA.
  • Wakati huo unaongea na call center, gari ya emergency unaiona imepaki bar, jamaa hawana habari, dereva yuko guest huko...
  • Ikifika saa 4 usiku, wanafunga kazi, kwa hesabu zao, dharula mwisho ni saa 4 usiku.
Natamani kuwatukana, sema tu mimi mvumilivu
 
Back
Top Bottom