Nassoro abedPole sana Nassoro.
Umesema kweli kabisaKinachonikera zaidi kuhusu call center zao, wameweka watu wasio na uelewa kabisaaa na masuala ya umeme!
Unaeleza tatizo, anachoweza kukuambia ni kuwa TUNASHUGHULIKIA, MAFUNDI WETU WATAFIKA KUREKEBISHA.
- Wakati huo unaongea na call center, gari ya emergency unaiona imepaki bar, jamaa hawana habari, dereva yuko guest huko...
- Ikifika saa 4 usiku, wanafunga kazi, kwa hesabu zao, dharula mwisho ni saa 4 usiku.
pole kwa changamoto uliyoipata mkuuNipo narungombe /likoma street kariakoo
Na hapo juu nimeweka namba zote za ripoti na nyingine ninazo
Tangu tarehe 15/12/2024 saa 10:34 jioni siku ya jumapili mpaka mda huu unadhani ni dharau ya kitoto hiyo?
Haya bwana ofisa nimekutajia kila kitu tuone uofisa wako sasa
Wakitatua Leo nitaamini we kweli afisaLeo tatizo litakuwa solved na usisahu kuleta mrejesho.
Natamani kuwatukana, sema tu mimi mvumilivuKinachonikera zaidi kuhusu call center zao, wameweka watu wasio na uelewa kabisaaa na masuala ya umeme!
Unaeleza tatizo, anachoweza kukuambia ni kuwa TUNASHUGHULIKIA, MAFUNDI WETU WATAFIKA KUREKEBISHA.
- Wakati huo unaongea na call center, gari ya emergency unaiona imepaki bar, jamaa hawana habari, dereva yuko guest huko...
- Ikifika saa 4 usiku, wanafunga kazi, kwa hesabu zao, dharula mwisho ni saa 4 usiku.
Jina lake tafadhalipole kwa changamoto uliyoipata mkuu
0735230784 Regional Manager Tanesco Ilala
Piga simu mtumie na hizo sms ndani ya muda mfupi utakuwa umehudumiwa
Kwaniaba ya TANESCO tunaomba radhi kwa usumbufu uliyojitokeza pye Chang shen
REGINA MATHEW MVUNGIJina lake tafadhali
Tumia solar nduguKwa anaejua tafadhali, nateseka sana na joto na umbu, anaweza kunielekeza niendee wapi kupata huduma
Taarifa yako imeshafika sehemu husika Leo hii unatatuliwa tatizo lakoWakitatua Leo nitaamini we kweli afisa
Tanesco hawaleti joto wala mbu, unawaonea bureKwa anaejua tafadhali, nateseka sana na joto na umbu, anaweza kunielekeza niendee wapi kupata huduma
Ona hii, kwani nani kasema wanaleta joto na umbuTanesco hawaleti joto wala mbu, unawaonea bure
Pole asante ila sio kweli mambo ya serikali hayako hivyo, huu ni uhuni na ubinafsi wa hali ya juu, wiki nzima bwashee
Sahihi ila mimi naprefer generetaor? MkuuTumia solar ndugu