Angalizo: Jinsi ya kujua ya kuwa mtu uliye naye kwenye mahusiano hana mapenzi na malengo na wewe, akili kichwani mwako

Angalizo: Jinsi ya kujua ya kuwa mtu uliye naye kwenye mahusiano hana mapenzi na malengo na wewe, akili kichwani mwako

upendo wa dhati sio rahisi kuujua hata akuvulie,akupe yote akubaliwa kuolewa na wewe, wanawake hubadilika sana. Kuna mmoja alinambia "najua kupenda sijui kuacha" vinamuda basi aliniacha kizembe sana yaan kimya kimya no text no call nakuja kumcheki kwa sms kumuuliza ndio tushaachana akajibu "yeah" nikajibu fresh
🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom