upendo wa dhati sio rahisi kuujua hata akuvulie,akupe yote akubaliwa kuolewa na wewe, wanawake hubadilika sana. Kuna mmoja alinambia "najua kupenda sijui kuacha" vinamuda basi aliniacha kizembe sana yaan kimya kimya no text no call nakuja kumcheki kwa sms kumuuliza ndio tushaachana akajibu "yeah" nikajibu fresh