ANGALIZO: Kutozingatia hivi vitu hutokuwa SHORTLISTED Ajira Portal

ANGALIZO: Kutozingatia hivi vitu hutokuwa SHORTLISTED Ajira Portal

Sikia kijana, vyeti kwa ajili ya Ajira vinathibitishwa kwa Hakimu na hata hicho Cha kuzaliwa pia, punguzeni complications kama huko RITA basi iwe kwa matakwa yako/yenu tu ila sio tamko la utumishi. Sometime huu ugumu wa Ajira unasababisha watu wadate kabisa na hata kufanya vile visivyohitajika duuuuh..!!
Mimi nimehakiki,sitaki visingizio.waniache tu wao wenyewe
 
Sikia kijana, vyeti kwa ajili ya Ajira vinathibitishwa kwa Hakimu na hata hicho Cha kuzaliwa pia, punguzeni complications kama huko RITA basi iwe kwa matakwa yako/yenu tu ila sio tamko la utumishi. Sometime huu ugumu wa Ajira unasababisha watu wadate kabisa na hata kufanya vile visivyohitajika duuuuh..!!
Mimi nimehakiki,sitaki visingizio.waniache tu wao wenyewe
 
Mwenye desa la assistant inspectors TMDA ambalo utumishi wanapenda kuchomoa maswali afanye kama vile limetoka mbele wahuni tuishi nalo
 
1.What is the Critetia of good research?
2.Define Ethnography research,Cross sectional research, Empirical research, Qualitative & Quantitative research.
3.How research can be used to solve the problem?
4.Difference between Research methods and research methodology
5.Research design
Desa nzuri pitia C.R.Kothari
Asante na ubarikiwe
 
Mkuu, hiki kipengele inaonesha ni kipya eeeh...? Halafu kinaonesha ni Chakuogofya maana wamebold kabisa hayo maneno, So kwa kwa namna nilivyoelewa Mimi wanasema kuwa "jina la Maombi na taasisi iliyoombewa iandikwe katika somo la Barua ya Maombi, fupi ya ambayo itafanya Maombi kuwa batili"
Nawe mkuu unaweza kuchangia ni namna gani umekielewa hiko kipengele maana linaweza kuwa msala kwa waombaji wengi.. Hyo bold ni yakuiogopa sana... Karibu mkuu
Mkuu kipengere huki haikuwepo wakati tunaomba kazi za TRA

Sasa napata wasiwasi sana wasije kutoniita maana sikuweka jina la taasisi
 
Na hapa mtu awe makini kweli, portal inapokea nafasi za kazi zilizoletwa kwao kutoka kwa waajiri tofauti kuanzia tasisi za serikali, mpk halmashauri. Hizi kazi kuna baadhi zinafanana lkn zinatoka tasisi tofauti, manake muajiri ni tofauti licha ya post kufanana. Nisikuchoshe, sasa hivi kuna hizi post mbili zinafanana lkn muajiri ni tofauti.
-Daktari daraja la II (Muajiri National Audit Office NAOT)
-Daktari daraja la ll (Muajiri KCMC)
Sasa mtu kaandika YAH: OMBI LA KAZI NAFASI YA DAKTARI DARAJA LA II. Kaaishia hapo, kumbuka sifa wanazohitaji NAOT ni tofauti na wanazohitaji KCMC. Kwenye heading pale mtaje muajiri mkuu
Sasa mkuu kwenye barua yangu ya maombi TRA walikua hawaja-introduce huki kipengele na maombi yalifanyika mwezi wa nne, na Mimi niliishia hivyo sikuweka taasisi

But barua yangu iliyopita pia sikuweka, as long as nilisaini barua, basi niliitwa
 
KITU CHA MUHIMU NI KUSAINI BARUA NA KUCERTFIY VYETI FULL STOP.

Kuhusu kusican kwa simu na ikaacha water mark Haina shida hiyo ni technologia huwezi kupinga
 
Ivi lengo la kuverify chet kwa advocate ni nin uko kwenye usaili utaenda na chet original awa jamaa bhn wanaleta sababu za kupunguza watu
Mama kaachia asali, mpaka July wengi mtakuwa mnasheherekea.

Nimekuwekea baadhi ya vidokezo vichache vinavyoweza kukunyima nafasi ya kuchaguliwa kwa ajili ya usaili (SHORTLISTED) kwa wanaopotia ajira portal.
  1. Kutosaini barua yako ya maombi, najua kabla ya kupakia barua yako ya maombi mfumo unakuambia hakikisha imesainiwa. Hii kuna wale wanaosaini pdf kwa kuinsert signature au online signature. Ukifanya hivi imekula kwako, print isaini kwa mwandiko wako na iscan tena.
  2. Scanning isiyo na viwango, wale wazee wa kumalizia kila kitu kwenye smartphone. Karatasi imejikunja na chafu Halafu unascan kwa simu yako inaacha water mark za "scanned by cam scanner". hauko serious mjuba.
  3. Vyeti vyako havijahakikiwa na advocate, na cha kuzaliwa hakijahakikiwa na rita. Hii najua kwenye maelekezo yao hawajasema ila nlikosa usaili kisa hiyo sababu. Nimeamabatanisha na screenshot ya ushahidi ili tomaso uamimi.
Wanaoomba ni wengi, kutakuwepo na vigezo vya ajabu vya kukutoa nje ya reli. Ni heri mkakutane Dodoma kwenye mnyukano ukose kuliko kuishia njiani.

Kama una vidokezo vingine ongezea hapa wadau wajue.
 
Jamani vyeti vya ku certify ni;
Form 4
Form 6
Chuo transcript na cheti cha chuo.

Vipi kuhusu cha kuzaliwa na vingine vya training na workshop? Na computer ?
ebu tuanzie hapa kwanza academic certificate ni nini ?
 
Back
Top Bottom