Sam mirror
JF-Expert Member
- Sep 29, 2018
- 1,461
- 2,238
Cha kuzaliwa nacho una certify mkuuJamani vyeti vya ku certify ni;
Form 4
Form 6
Chuo transcript na cheti cha chuo.
Vipi kuhusu cha kuzaliwa na vingine vya training na workshop? Na computer ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Cha kuzaliwa nacho una certify mkuuJamani vyeti vya ku certify ni;
Form 4
Form 6
Chuo transcript na cheti cha chuo.
Vipi kuhusu cha kuzaliwa na vingine vya training na workshop? Na computer ?
Vyote tu Kama unavyo certfifyJamani vyeti vya ku certify ni;
Form 4
Form 6
Chuo transcript na cheti cha chuo.
Vipi kuhusu cha kuzaliwa na vingine vya training na workshop? Na computer ?
Kumbe tupo wengiIla pale kwnye account si wameandika received?kama ndio basi shaka ondoa,mm kuna post moja pia sjapata email
Mimi vyeti vyangu vyote majina sawa hadi kitambulisho majina sawa shida inakuja cheti cha kuzaliwa jina la tatu liko tofauti hapo vipi mkuu ? Siku ya usaili nazuiwa ?Tafuta affidavit itakayoonyesha majina hayo yaliyokosewa yanatakiwa kumaanisha jina hili. Kisha hudhuria utumishi ukiwa na hiyo affidavit na hivyo vyeti.
Wakati wa ukaguzi unaonyesha vyeti na affidavit.
Nilihudhuria nikakuta kesi kama yako jamaa vyeti vyote jina ni 'Ibrahim' cha kuzaliwa kina 'Ibrahimu' na akaambiwa inahitajika affidavit.Mimi vyeti vyangu vyote majina sawa hadi kitambulisho majina sawa shida inakuja cheti cha kuzaliwa jina la tatu liko tofauti hapo vipi mkuu ? Siku ya usaili nazuiwa ?
Vipi kwenye kuomba kazi ajira portal itazingua ?
duuh kwahyo akazuiwa ,?Nilihudhuria nikakuta kesi kama yako jamaa vyeti vyote jina ni 'Ibrahim' cha kuzaliwa kina 'Ibrahimu' na akaambiwa inahitajika affidavit.
Nenda mahakama yoyote ile bei sio kubwa sanaduuh kwahyo akazuiwa ,?
Na naipataje hiyo affidavit
Process na gharama yake inakuwaje
Sijui ghqrama ila inapatikana mahakamaniduuh kwahyo akazuiwa ,?
Na naipataje hiyo affidavit
Process na gharama yake inakuwaje
Asante mkuu,sasa hapa penye passport sijaelewa. Nayo inakuwa certified?Cha kuzaliwa nacho una certify mkuuView attachment 2255970
Nop vyeti tu ndo una certifyAsante mkuu,sasa hapa penye passport sijaelewa. Nayo inakuwa certified?
na vp kama vyeti vya taaluma vina majina mawili ingali nida ina majina matatu?duuh kwahyo akazuiwa ,?
Na naipataje hiyo affidavit
Process na gharama yake inakuwaje
Ni kweli usemacho, ila kutokana nafasi chache na maelfu ya watu wanaoziwania, PSRS(ajiraportal) wamekua kama traffic police. Wanaibua tuu vijisababu kuengua watu ili kupunguza jam.Acha zako sign sign tu hata ukisaini kupitia doc wps cha umuhimu saini iwe inaonekana vizuri....hizi ni zama za mapinduzi ya sayansi na teknolojia....
Ukisoma Vizuri hapa.... ni kwamba hajatajwa Mwanasheria wala Wakili..Cha kuzaliwa nacho una certify mkuuView attachment 2255970
Izo ni sheria unazojipangia ww wao wanataka kuona muhuri sasa ww ukijipangia vitu vyako sijui itakuaje.Ukisoma Vizuri hapa.... ni kwamba hajatajwa Mwanasheria wala Wakili..
katika ishu ya BIRTH CERTIFICATE hata ililiyothibitishwa na RITA ni sahihi.. kwa kuwa wao ndio wasimamizi wa hivi vyeti... itakuwa ajabu eti wakatae cheti kilichothibitishwa na RITA alafu watake kilichothibitishwa na Mwanasheria.. ambae hana hata usithibitisho kuwa hicho cheti ni halali au si halali...
au kuna mtu humu cheti chake kilithibitishwa na RITA alafu Ajira portal wakasema ni BATILI?
Huu ujuaji hautakusaidia mkuuUkisoma Vizuri hapa.... ni kwamba hajatajwa Mwanasheria wala Wakili..
katika ishu ya BIRTH CERTIFICATE hata ililiyothibitishwa na RITA ni sahihi.. kwa kuwa wao ndio wasimamizi wa hivi vyeti... itakuwa ajabu eti wakatae cheti kilichothibitishwa na RITA alafu watake kilichothibitishwa na Mwanasheria.. ambae hana hata usithibitisho kuwa hicho cheti ni halali au si halali...
au kuna mtu humu cheti chake kilithibitishwa na RITA alafu Ajira portal wakasema ni BATILI?
Atakuwa ni muhaya huyu.Huu ujuaji hautakusaidia mkuu
una uhakika RITA hawaweki mhuri?Izo ni sheria unazojipangia ww wao wanataka kuona muhuri sasa ww ukijipangia vitu vyako sijui itakuaje.
jibu kwa hojaHuu ujuaji hautakusaidia mkuu