Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kazi za kutuma kwa posta nimeomba sana aisee mpaka leo nakumbuka elfu 15× zanguKubali kupoteza hilo buku, kuna wenzako wanaomba zilizotangazwa kwenye halmashauri anatakiwa atume kwa njia posta
InawezekanaaaAisee mbona kutoa cheti ambacho umekiweka ni haiwezekani?
Nafanyaje?naomba msaada nitoaje ili niweke certified vyeti
Kwa procedures zipi mkuu?Inawezekanaaa
Njoo PMAisee mbona kutoa cheti ambacho umekiweka ni haiwezekani?
Nafanyaje?naomba msaada nitoaje ili niweke certified vyeti
Kwa procedures zipi mkuu?
Nikifungua hapa penye academic qualifications enheee naanzaje kukitoa mfano cha chuo?maana kudelete inakataa,kuandika upya taarifa ili uploading ya cheti ifanyike upya inagoma pia. Nifanyeje?
ULifanikiwa mama graceNina apply Afisa mipango 11. Nimesoma chuo cha mipango degree in regional development planning
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
boss maliza apa apa na wengne tupate ujuzi mana ata mim na ilo tatzoNjoo PM
jamani cheti cha kuzaliwa cyo academic certificate kile so wanamansha academic certificates ndo vyakucertifyInatakiwa ucertify kila cheti unachoweka pale.
Jichanganye soma hapa kwenye general conditionjamani cheti cha kuzaliwa cyo academic certificate kile so wanamansha academic certificates ndo vyakucertify
boss maliza apa apa na wengne tupate ujuzi mana ata mim na ilo tatzoa hah
Haya chief.jamani cheti cha kuzaliwa cyo academic certificate kile so wanamansha academic certificates ndo vyakucertify
Tafuta affidavit itakayoonyesha majina hayo yaliyokosewa yanatakiwa kumaanisha jina hili. Kisha hudhuria utumishi ukiwa na hiyo affidavit na hivyo vyeti.Mimi majina yangu ya NIDA na vyeti vyangu vya taaluma hayaendani yaani majina mawili ya mwanzo yako sawa shida ni jina la tatu haliendani (jina la babu)
Nisaidieni jinsi ya kutatua hii changamoto wajuba .
wanakuambia already exist mzeeOk cha kufanya nenda kwenye Sehemu ya Ku add CERTFICATES Add Tena hivyo vyeti vya Elimu husika,kama ni Chuo,Form six au diploma,form four, yaaani chochote kile add na Upya halafu Save.Baada ya Hapo Kila kitu kitakaa sawa.Utaona vyeti vyako vipyaa ulivyo certify kwenye mfumo.NB unaweza usione kwa haraka mabadiliko.Ila wewe save na Upya hizo Academic Details
Asante sana mkuu, Mungu akubariki.Ila pale kwnye account si wameandika received?kama ndio basi shaka ondoa,mm kuna post moja pia sjapata email
Yeah imeandikwa received.Ila pale kwnye account si wameandika received?kama ndio basi shaka ondoa,mm kuna post moja pia sjapata email