kitanywe 1
Senior Member
- Aug 3, 2020
- 183
- 386
Daah hapo inabidi uwapigie japokua simu zinasumbua.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daah hapo inabidi uwapigie japokua simu zinasumbua.
Kama mfuko uko vizuri basi Katoe Coloured copy then kimbia chap kwa wakili akagonge muhuri wake halafu upload, hapo mambo yatakuwa bambam
Siyo lazima. Zangu na za washkaji wote ninaowajua siyo colored na tunaitwaNi lazima ziwe coloured copies?
Imeisha hiyoSiyo lazima. Zangu na za washkaji wote ninaowajua siyo colored na tunaitwa
nenda mahakama yoyote iliyo karibu yakoCHETI CHA KUZALIWA KINAHAKIKIWAJE JAMANI?
Kikubwa viwe certified, colour siku zote ipo kwa ajili ya decorations tu.. Huku kwetu uswahilini mbona tunaishi kwenye nyumba hata plaster hamna Ila maisha yanaendelea 😁Ni lazima ziwe coloured copies?
Mkuu kwahiyo nikiweka Cha kuzaliwa kiilichopigwa muhuri na RITA watazingua?Kuna baadhi umeandika sio sahihi.
Ku-sign barua ni muhimu na lazima lakini sio lazima iwe kwa mkono, mimi niliwahi Ku-sign kupitia app kwenye simu na nikaitwa kwenye interview yani kila kitu nilifanya kupitia simu na niliitwa Interview.
Cheti cha kuzaliwa kinapigwa mhuri na mwanasheria na sio Rita.
Vipi nikiweka Cha kuzaliwa kilichokuwa certified na RITA watazingua ?nenda mahakama yoyote iliyo karibu yako
Tumia PC [emoji2],simu inakataaga.Mimi nina shida. Nikienda kwenye apply, inaniambia attach file(barua ya maombi), lakini nikibonyeza (Choose file), ili iende kwenye file, system hai respond kunipeleka kwenye file, network ipo vizuri, naomba ushauri nifanyeje? Nimekwama hapo.
Mkuu mli certify copy za vyeti vyote?Mimi na washkaji wote ninaowajua tumecertify kwa wakili au mahakama na interview tunaitwa
Gharama za mahakamani ni bei gani mkuu? Maana huko kwa hao ma advocate ni issue.Mimi pia nime-certify vyeti vyote Mahakamani tena Primary Court na kila nikiomba kazi kupitia PSRS naitwa interview ila kazi tu ndio bado. I hope this time I am going to make it.
Mkuu bwana Mbaga tuende taratibu.Ni kama mtu fulani kuthibitisha uwezo wako iwapo utaajiriwa, lkn hy barua wanaandika watu wazito mf: rais, professor, mkurugenzi wa shirika/kampuni fulani.
Sio unamwambia lecturer wako akuandikie [emoji16] kwa ufupi n kama una mtu wa kukuandikia hy barua bc haina haja ya ww kuomba hy kazi mana huyo mtu ni connection tosha.