Castr
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 35,012
- 70,201
Mimi na washikaji wote ninaowajua tumecertify kwa wakili au mahakama na interview tunaitwaVyakuzaliwa kumbe advocate aki certify haikubaliki!!!! Mbona huwa hawasemi direct, au ni mbinu tuu ya kuengua watu