chlorine gas
JF-Expert Member
- Jun 12, 2015
- 2,522
- 2,651
Lipo kwenye tangazo lip
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lipo kwenye tangazo lip
Msaad account nkifungua haifunguki naambiwa incorrect password or username hap ttz n nnSina jibu la uhakika, watu wengi wako wanaomba sasa kuna uwezekano mfumo umezidiwa na umeanza kumisbehave kama ilivyokuwa zile za TAMISEMI, pili shrink file lako liwe chini ya mb 1, ukishindwa viscan tena viwe na kb chache za TAMISEMI wako ambao pdf zilikuwa zinagoma, nilipo shrink zilikubali kupakia
Inatakiwa ucertify kila cheti unachoweka pale.Mkuu mli certify copy za vyeti vyote?
Na barua inatakiwa kuwa kwa kiingereza au kiswahili au lugha yoyote?Na hapa mtu awe makini kweli, portal inapokea nafasi za kazi zilizoletwa kwao kutoka kwa waajiri tofauti kuanzia tasisi za serikali, mpk halmashauri. Hizi kazi kuna baadhi zinafanana lkn zinatoka tasisi tofauti, manake muajiri ni tofauti licha ya post kufanana. Nisikuchoshe, sasa hivi kuna hizi post mbili zinafanana lkn muajiri ni tofauti.
-Daktari daraja la II (Muajiri National Audit Office NAOT)
-Daktari daraja la ll (Muajiri KCMC)
Sasa mtu kaandika YAH: OMBI LA KAZI NAFASI YA DAKTARI DARAJA LA II. Kaaishia hapo, kumbuka sifa wanazohitaji NAOT ni tofauti na wanazohitaji KCMC. Kwenye heading pale mtaje muajiri mkuu
Mbona wameandika mule kwnye tangazo ni kiswahili/kingerezaNa barua inatakiwa kuwa kwa kiingereza au kiswahili au lugha yoyote?
Fojari haijawahi kukwama mkuu kujaza Institution haifanyi vyeti viwe vya kweliKwahiyo una-certify copy za vyeti?
Sasa kuna haja gani kujaza institutions?
Lazima aandike yeye, akuelezee jinsi anavyokujua na uchapakazi wakoMkuu bwana Mbaga tuende taratibu.
Kwani hii recommendation letter haiwezi kuwa ni barua yako ambayo umeiandika ya maombi ambayo inatakiwa ipitishwe na mwajili wako?(kwa wale walio ajiliwa).
Maana ktk kupitisha atagonga mhuri na sahihi ataweka na tarehe ataandika.
Me ndo nimeelewa hivo.
Au ni lazima aandike yeye?
Ukimtaja mwajiri ndani ya Barua badala ya kwenye kichwa cha barua, hapo vipi?Na hapa mtu awe makini kweli, portal inapokea nafasi za kazi zilizoletwa kwao kutoka kwa waajiri tofauti kuanzia tasisi za serikali, mpk halmashauri. Hizi kazi kuna baadhi zinafanana lkn zinatoka tasisi tofauti, manake muajiri ni tofauti licha ya post kufanana. Nisikuchoshe, sasa hivi kuna hizi post mbili zinafanana lkn muajiri ni tofauti.
-Daktari daraja la II (Muajiri National Audit Office NAOT)
-Daktari daraja la ll (Muajiri KCMC)
Sasa mtu kaandika YAH: OMBI LA KAZI NAFASI YA DAKTARI DARAJA LA II. Kaaishia hapo, kumbuka sifa wanazohitaji NAOT ni tofauti na wanazohitaji KCMC. Kwenye heading pale mtaje muajiri mkuu
Kuna kitu sijakielewa kwenye account hapa,sehemu ya kuweka barua niliyoandika mimi ambayo naisubiri ipitishwe sehemu kwa boss.Au ndo nitaletewa option hiyo pale nitakapoingia kwenye ku apply kazi yenyewe?Lazima aandike yeye, akuelezee jinsi anavyokujua na uchapakazi wako
Barua yako ya kazi unakuja Ku attach ukifikia hatua ya Ku declare, ukifika hiyo hatua ndio utaambiwa attach barua yako, na baada ya hapo unakuwa umemaliza inabaki issue ya kwenda Ku applyKuna kitu sijakielewa kwenye account hapa,sehemu ya kuweka barua niliyoandika mimi ambayo naisubiri ipitishwe sehemu kwa boss.Au ndo nitaletewa option hiyo pale nitakapoingia kwenye ku apply kazi yenyewe?
Kwa sasa nipo na upload vyeti kwanza ambapo imefikia 92%ili nifuate next stage ya kuingia kwenye applying.
Sawa mkuu asante ubarikiwe.Ngoja tuone na haya mapambano yetu.Hapa ngoja nipambane na mahakamani ku certify vyeti.Barua yako ya kazi unakuja Ku attach ukifikia hatua ya Ku declare, ukifika hiyo hatua ndio utaambiwa attach barua yako, na baada ya hapo unakuwa umemaliza inabaki issue ya kwenda Ku apply
kwenye masharti ya waobaji kwa wote wamebold kabisa kuonyesha msisitizo wa walichokitaka. just fanya wanavyoelekeza as long haikugarimu chochoteUkimtaja mwajiri ndani ya Barua badala ya kwenye kichwa cha barua, hapo vipi?
Hata hivyo unapoapply ni kwenye sehemu husika tu jambo ambalo utumishi lazima wajue unaomba nafasi gani na wakifungua barua na nyaraka zako wanategemea wakute sifa wanazozitaka kulingana na post yao ulipodumbukiza nyaraka zako(NAWAZA TU)
Msaad account nkifungua haifunguki naambiwa incorrect password or username hap ttz n nn
Mkuu bwana Mbaga tuende taratibu.
Kwani hii recommendation letter haiwezi kuwa ni barua yako ambayo umeiandika ya maombi ambayo inatakiwa ipitishwe na mwajili wako?(kwa wale walio ajiliwa).
Maana ktk kupitisha atagonga mhuri na sahihi ataweka na tarehe ataandika.
Me ndo nimeelewa hivo.
Au ni lazima aandike yeye?
Point ni hiyo barua kuonyesha kwamba ww una faida ikiwa utaajiriwa, mfano umefanya kazi/Internship kwenye ofisi ya Waziri mkuu sasa waziri mkuu anaweza kukuandikia barua kwamba ww unafaa kwenye hiyo ajira.Mkuu bwana Mbaga tuende taratibu.
Kwani hii recommendation letter haiwezi kuwa ni barua yako ambayo umeiandika ya maombi ambayo inatakiwa ipitishwe na mwajili wako?(kwa wale walio ajiliwa).
Maana ktk kupitisha atagonga mhuri na sahihi ataweka na tarehe ataandika.
Me ndo nimeelewa hivo.
Au ni lazima aandike yeye?
Ajira portal vyeti vyote ni kwa mwanasheriaMkuu kwahiyo nikiweka Cha kuzaliwa kiilichopigwa muhuri na RITA watazingua?
Hivi once ukiwa umesha-upload vyeti huko ajira portal (ambavyo haviko certified) kuna possibility ya kudelete na kuweka vyengine (ambavyo viko certified)?Kikubwa viwe certified, colour siku zote ipo kwa ajili ya decorations tu.. Huku kwetu uswahilini mbona tunaishi kwenye nyumba hata plaster hamna Ila maisha yanaendelea [emoji16]
Ila pale kwnye account si wameandika received?kama ndio basi shaka ondoa,mm kuna post moja pia sjapata emailNaomba kuuliza wakuu, hivi kama umetuma maombi na hujapokea email inayoonyesha umetuma maombi yako kikamilifu itakuwa kuna tatizo?