Angalizo kwa BOT baada ya riba za mikopo kuanza kushuka

Angalizo kwa BOT baada ya riba za mikopo kuanza kushuka

Mleta mda Najua Upo Vema kwenye mambo ya Uhasibu na Uchumi....hongera sana sana
Natamani Serikali Ilifanyie haraka hili Tangazo,Hoja yako hasa Kutumia Formula/Kikokotozi/Mfumo wa Aina moja kwa mabank ambayo ni Reducing Balance ili kuleta Unafuu kwa Mkopaji....ikiwezekana Hili Suala lianze Mapema/Haraka Iwezekanavyo!
Big up MTAZAMO!
Reducing balance na FLAT rate ipi nzuri?
 
Hakuna lolote la kumpongeza Rais na Serikali kwenye hili jambo..

Ni maagizo mangapi yanatolewa na Rais au Serikali kwa Taasisi au makundi ya watu mbalimbali na HAYATEKELEZWI..??

Mfano bei ya sukari, mbona maagizo kibao yameshatolewa kwa bidhaa hii bei iwe sio zaidi ya 2200/kg na mbona ipo juu zaidi mpaka 3000/kg??

Ni hivi. .
Mabenki wameona hali halisi ya Uchumi ulivyo ndio maana yameamua kushusha viwango vya RIBA kwenye mikopo.

Banks zinajiendesha kwa faida kupitia MIKOPO na si zaidi ya hapo..

Wameona kuendelea kung'ang'ania riba kubwa za 25%+ kwa hali ya Uchumi uliodorora wa Tanzania, Benki zitakuja ku collapse kabisa..

Hali ya Benki nyingi ni mbaya..mbaya kweli kweli na they had no alternative except kupunguza riba kwa wakopaji..

Kushuka kwa Riba za Banks ni " Economic Variables" ndio main determinant factor na sio maombi ya Rais au BOT.

Toa sifa panapostahili na sio kusifia UONGO, eti juhudi za Mh Rais..
NO.

Una hulka za kichawi, hakika nakwambia kwa tabia hii uliyonayo ya kutokuwa na appreciation hakika utakufa Maskini. Una wivu sana Dada kama hujaolewa sahau hilo dadangu maaana si kwa gubu hilo.
 
Bishaneni kisha mje mkope... Tunawangoja... Sie ni kama maji, usipotunywa utatuoga, ama sivyo utatukuta kwenye ule mlo wako pendwa.
 
hapa ndo unajua uongo wa mabenki watu wanatoka kwenye riba ya reducing wanakuambia wameshusha kumbe ipo pale pale ila kwasababu wanatumia flat rate inakufanya uone riba ndogo machoni, halafu riba kushuka sio ombi la raisi wala maneno ya mtu ni economic variables ndo zinaamua, deposit inchi maskini ni very expensive pia gharama za kuendesha biashara zipo juu sana ndo maana riba zipo juu. Hii shuka riba ina ulaghai mkubwa ndani yake maana inashuka machoni kwa mteja na wala si kwenye mkopo
Kwaiyo kupunguza riba kwa mkopaji kwa nchi masikini kama yetu haiwezekani?
 
Una hulka za kichawi, hakika nakwambia kwa tabia hii uliyonayo ya kutokuwa na appreciation hakika utakufa Maskini. Una wivu sana Dada kama hujaolewa sahau hilo dadangu maaana si kwa gubu hilo.
Appreciation for who?
Do u know what we are talking abt here Malaya Mzee??
 
Bishaneni kisha mje mkope... Tunawangoja... Sie ni kama maji, usipotunywa utatuoga, ama sivyo utatukuta kwenye ule mlo wako pendwa.
[emoji1] [emoji1] una wachora tu mkuu.
 
Waandishi wa habari wengi vilaza hilo swali walitakiwa kuhoji lakini unakuta wamekodoa macho tu nakubaliana na serikali mwandishi wa habari lazima awe na digrii

Ni kweli usemacho. Lkn Hilo haliwezekani. Mkataba wako wa awali na benk utabaki Kama ulivyo. Jiulize je wangepandisha riba na ww ulikopa mwaka Jana hiyo riba ungekubali?
 
Ni kweli usemacho. Lkn Hilo haliwezekani. Mkataba wako wa awali na benk utabaki Kama ulivyo. Jiulize je wangepandisha riba na ww ulikopa mwaka Jana hiyo riba ungekubali?
Uki top-up mkopo ni riba iba inatumika ya mwanzo au ya sasa?
 
Hili la riba imekuwa ni juhudi binafsi za Mh Rais John Pombe Magufuli ambaye toka wakati wa kampeni alioneshwa kukerwa na riba za ajabu tulizonazo hapa nchini. Hivyo kuanza kutekeleza hili tunapaswa kiungwana kumpongeza mkuu wa nchi kama tunavyomkosoa pia akikosea.
Na kweli tunaye mungu-mtu...yeye ndiye Katiba, yeye ndiye Bunge na yeye ndiye Mahakama. Kuna siku ataamua mvua inyeshe au isinyeshe, mwanga uwepo au usiwepo, upepo uvume au usivume...
 
Wakuu,

Kama ambavyo tunaona matangazo yanayotolewa na mabenki kushusha riba za mikopo kutokana na maelekezo ya BOT ili kuleta nafuu kwa wakopaji.

Hili la riba imekuwa ni juhudi binafsi za Mh Rais John Pombe Magufuli ambaye toka wakati wa kampeni alioneshwa kukerwa na riba za ajabu tulizonazo hapa nchini. Hivyo kuanza kutekeleza hili tunapaswa kiungwana kumpongeza mkuu wa nchi kama tunavyomkosoa pia akikosea.

Angalizo muhimu kwa BOT ni kuhakikisha system au njia inayotumika kukokotoa riba iwe standard kwa taasisi zote isipokuwa pale inapompa unafuu mkopaji.

Kukokotoa riba kwa kutumia straight line method ni mzigo maana makato hayapungui hadi muda wa mkopo unapofika mwisho wakati reducing balance inasaidia kuona unafuu kadri unavyolipa.

Asilimia kubwa ya wafanyakazi wana mikopo hivyo kushuka kwa riba kutaleta unafuu mkubwa sana wa maisha. Riba zilishafika 25% and above lakini kurudi hadi below 17% si punguzo dogo.

Mikopo nafuu ndio njia pekee ya kukomboa wananchi na kusaidia kuboost mzunguko wa pesa. Ni matarajio punguzo hili litawagusa pia wenye mikopo ili impact ya mabadiliko iwe kubwa na ya haraka zaidi.

Wafanyakazi wengi walichukua mikopo ili kupata basic needs na si uwekezaji hivyo riba kubwa kwa mishahara midogo imewageuza kuwa watumwa na kuchangia ufisadi hasa kwa maafisa wadogo.

Pongezi kwa BOT na Mh Rais kwa hatua hii kubwa itayogusa mifuko ya wananchi moja kwa moja kama utekelezaji wake utasimamiwa vizuri ili kuleta matokeo yanayotarajiwa.

Mkuu hebu toa somo kidogo kuhusu reducing balance na flat rate tofauti yake AU Inakokotolewa vipi kama interest ni 17% na mkopaji amekopa 20million kwa miaka 5.
Ili watu waone tofauti Mkuu MTAZAMO
 
Hahaha ila bank za bongo dah mfano unakatwa makato labda 500,000 kwa mwezi reducing balance maana yake interest itapungua lakini principal itaongeka kila mwezi lkn jumla yake itabaki pale pale

May
Principal interest total deduction
320,000 180,000 500,000


JUNE
May
Principal interest total deduction
340,000 160,000 500,000


Julai
Principal interest total deduction
360,000 140,000 500,000

Lakini kumbuka pamoja na kukatwa 500,000 kinachopunguza deni ni principal unaweza katwa mwaka ukaomba loan statements ukakuta umekatwa pesa nyingi lkn deni limepungua kdg san TUWE MAKINI TU

HAHAHAHAHA
 
Wakuu,

Kama ambavyo tunaona matangazo yanayotolewa na mabenki kushusha riba za mikopo kutokana na maelekezo ya BOT ili kuleta nafuu kwa wakopaji.

Hili la riba imekuwa ni juhudi binafsi za Mh Rais John Pombe Magufuli ambaye toka wakati wa kampeni alioneshwa kukerwa na riba za ajabu tulizonazo hapa nchini. Hivyo kuanza kutekeleza hili tunapaswa kiungwana kumpongeza mkuu wa nchi kama tunavyomkosoa pia akikosea.

Angalizo muhimu kwa BOT ni kuhakikisha system au njia inayotumika kukokotoa riba iwe standard kwa taasisi zote isipokuwa pale inapompa unafuu mkopaji.

Kukokotoa riba kwa kutumia straight line method ni mzigo maana makato hayapungui hadi muda wa mkopo unapofika mwisho wakati reducing balance inasaidia kuona unafuu kadri unavyolipa.

Asilimia kubwa ya wafanyakazi wana mikopo hivyo kushuka kwa riba kutaleta unafuu mkubwa sana wa maisha. Riba zilishafika 25% and above lakini kurudi hadi below 17% si punguzo dogo.

Mikopo nafuu ndio njia pekee ya kukomboa wananchi na kusaidia kuboost mzunguko wa pesa. Ni matarajio punguzo hili litawagusa pia wenye mikopo ili impact ya mabadiliko iwe kubwa na ya haraka zaidi.

Wafanyakazi wengi walichukua mikopo ili kupata basic needs na si uwekezaji hivyo riba kubwa kwa mishahara midogo imewageuza kuwa watumwa na kuchangia ufisadi hasa kwa maafisa wadogo.

Pongezi kwa BOT na Mh Rais kwa hatua hii kubwa itayogusa mifuko ya wananchi moja kwa moja kama utekelezaji wake utasimamiwa vizuri ili kuleta matokeo yanayotarajiwa.
Vipi kuhusu ujambazi wa mchana kweupe kwenye michango ya wanachama kwenye mifuko ya hifadhi za jamii. Sheria inasainiwa haraka haraka na kuanza kutumika tarehe 01.04.2018 ili kusudi watu wasichukue mafao ya kujitoa kwenye huu ujambazi. Mtu ameachishwa kazi ana miaka 28, unamwambia hagusi chochote hadi afikishe miaka 55. Hii dhuluma haitawaacha salama.
 
Hahaha ila bank za bongo dah mfano unakatwa makato labda 500,000 kwa mwezi reducing balance maana yake interest itapungua lakini principal itaongeka kila mwezi lkn jumla yake itabaki pale pale

May
Principal interest total deduction
320,000 180,000 500,000


JUNE
May
Principal interest total deduction
340,000 160,000 500,000


Julai
Principal interest total deduction
360,000 140,000 500,000

Lakini kumbuka pamoja na kukatwa 500,000 kinachopunguza deni ni principal unaweza katwa mwaka ukaomba loan statements ukakuta umekatwa pesa nyingi lkn deni limepungua kdg san TUWE MAKINI TU

HAHAHAHAHA
Kwaiyo ushauri wako au methods ipi nzuri kati FLAT rate au reducing balance?
 
Back
Top Bottom