Mr.mzumbe
JF-Expert Member
- Oct 11, 2011
- 1,037
- 998
Mimi binafsi nampongeza RAIS lakini kwa kiwango kidogo sana, naona bado punguzo lake halijaathiri wananchi wengi wa nchi hii. Kwasababu kukopa siyo jambo la lazima, mtu anaweza kukopa na mtu akiamua anaweza hasikope. In short ni jambo la kujitakia mwenyewe.
Mimi nitampongeza RAIS moja kwa moja kama ataamua kupunguza makato ya wafanyakazi, kwa kweli hayo makato yanaturudisha sana nyuma wafanyakazi, inafika mpaka asilimia arobaini (40%) ya makato ya mshahara wetu, kwa kweli hiki kitu kinaumiza sana na kinarudisha sana nyuma. Ishu ya mkopo ni ishu ya kujitakia siyo jambo la lazima, afanye hili la lazima ambalo hatuwezi kuliepuka kuliko huo mkopo.
Mimi nitampongeza RAIS moja kwa moja kama ataamua kupunguza makato ya wafanyakazi, kwa kweli hayo makato yanaturudisha sana nyuma wafanyakazi, inafika mpaka asilimia arobaini (40%) ya makato ya mshahara wetu, kwa kweli hiki kitu kinaumiza sana na kinarudisha sana nyuma. Ishu ya mkopo ni ishu ya kujitakia siyo jambo la lazima, afanye hili la lazima ambalo hatuwezi kuliepuka kuliko huo mkopo.