Angalizo kwa DAWASCO kuhusu Bill yangu ya Maji Oktoba na Novemba 2022

Angalizo kwa DAWASCO kuhusu Bill yangu ya Maji Oktoba na Novemba 2022

Determinantor

Platinum Member
Joined
Mar 17, 2008
Posts
59,045
Reaction score
94,974
Nisingependa tuharibu mahusiano yetu Mazuri, nasema hivi sijawahi kupata Maji yenu kwa zaidi hata tone. Wallah mkiniletea bill hata ya buku Tano tu mtaniona mkorofi. Niko Wilaya ya Kinondoni, Mabibo Mwisho.
 
Itakuja 40k[emoji23][emoji23][emoji23]
Nitaondoka na nanihii za mtu, Ile September tulipata Maji kwa mbinde sana halafu wakaniletea bili ya 25,000 yaani wamepunguza kama buku mbili tu Maana huwa nalipa 28,000 Hadi 32,000 hapo
 
Nisingependa tuharibu mahusiano yetu Mazuri, nasema hivi sijawahi kupata Maji yenu kwa zaidi hata tone....Wallah mkiniletea bill hata ya buku Tano tu mtaniona mkorofi. Niko Wilaya ya Kinondoni, Mabibo Mwisho.
Kumbe mabibo mwisho ni kinondoni
Nikikuwa sijui
 
Back
Top Bottom