Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Magufuli Mzalendo wa ukweli Tanzania
Kuna wabwekaji humu mtandaoni wanamtukana Magufuli Ila wanatumia ndege za Magufuli kwenda kwao
Acha magaga yatoke tu.IPI bora hela kuwa kwa watu wachache wengi hoi na hakuna vitu au bora hela kuwa chache kwa watu ingawa uhoi bado upo kiasi chake na tunaona maendeleo ya vitu au?
Maendeleo yamegawanyika sehemu 2,watu na vitu.
Maendeleo ya vitu husababisha maendeleo ya watu kwa sababu vitu ni nyenzo wezeshi katika maendeleo ya watu.
Zamani tunalalamika kulikuwa na hela,mbona hapakuwa na maendeleo ya watu na vitu? Hela zilikuwa zinafanya nini?
Inafurahisha ukiwa Indra Gandi Intl.Airport unaona kitu Air Tanzania nalo limetua na kutuna katika Uwanja huo uliopo kwenye top ten ya viwanja busy/vikubwa duniani.
Inafurahisha walahi,mnyonge mnyongeni lakini haki yake apewe.
Nipo hapa Kalabash Mwenge wanywaji Wa henken na Windhoek ni wachache,halafu sisikii lete kama tulivyo.
Heshima sasa hivi kudadadeki inaonyesha taswira yake sio kama zamani.
Halafu kuna kamsururu ka mademu classic wanahama toka mitaa pendwa ya kishua kwenda huko Temeke,Mbagala na uswazi mwingine kwa sababu ile mijamaa ya kuwapangishia, kuhonga vi-ist nk nao wamebwana.
Hakuna mishe town za kiboya kama zile enzi.
Povu ruksa,karibuni na tusipotoshane.
Hahahahaha!!!!
Tusipotoshane,
Sent using Jamii Forums mobile app
Well said mkuu, shida za watu wote huwez zimaliza. Vijijini skuiz wengi Wana umeme lakin hawasemi. Elimu bure hawasemi, idadi ya hospital mpya imeongezeka hawasemi,..huku kwetu tulikuwa hatuna maji kabsa tumeletewa tena kwa punguzo...labda hayo yote ni maendeleo ya vitu nadhani...but kwangu Mim na Amin maendeleo ya vitu huleta maendeleo ya watu. Unajenga SGR ili watu wapate urahis na unafuu wa kusafiri. Hao wanao beza saiz ndio wale wale walio msumbua Mzee Jk awamu iliyopita, kwamba eti hajafanya chochote. Leo wanampongeza kwa demokrasia na unafuu wa maisha (hawakusema hayo pindi alikokuwa madarakani).........Ukumbuke kuwa Germany urusi China na uingereza walifanya maendeleo ya vitu mpaka Sasa NI mataifa makubwa na baadhi ya wananchi ni masikini lakini marekani ilienda na vitu vyote vitu/na watu ilishindwa ikaamua kuendeleza vitu kwa hiyo hata haya yanayofanyika siyo yakubeza
NDIO SHIDA HIZO ZIPO....HUKU SIO MBINGUNI.....U
Uingereza Kuna shida ya maji? Umeme? barabara?
Duh umechemsha mkuu sio Tsh Million 16 ni $ million 16 hahahahaNimeogopa kusikia kuna katimu ka Mpira ka huko Misri (Pyramids FC) kameingia na ndege yao binafsi huko Mwanza nahisi itakuwa ni ndege ya Serikali ya Misri
Kama ni kweli ushangiliaji wetu ni wa kujichunguza
Kwani ATCL bado haina Ndege wameambiwa hizi ni za Serikali wamekopeshwa tu
wamefanikiwa kukusanya milioni 16 mpaka sasa kati ya ndege 7 na hii ya 8 sijui imenunuliwa cash 600m au 600 Bilioni
jamani ATCL tunzeni Shirika hili maana tumeambiwa hata ikifika miaka 100 ijayo muuwe mbali
View attachment 1245492
Uko sahihi sana...Well said mkuu, shida za watu wote huwez zimaliza. Vijijini skuiz wengi Wana umeme lakin hawasemi. Elimu bure hawasemi, idadi ya hospital mpya imeongezeka hawasemi,..huku kwetu tulikuwa hatuna maji kabsa tumeletewa tena kwa punguzo...labda hayo yote ni maendeleo ya vitu nadhani...but kwangu Mim na Amin maendeleo ya vitu huleta maendeleo ya watu. Unajenga SGR ili watu wapate urahis na unafuu wa kusafiri. Hao wanao beza saiz ndio wale wale walio msumbua Mzee Jk awamu iliyopita, kwamba eti hajafanya chochote. Leo wanampongeza kwa demokrasia na unafuu wa maisha (hawakusema hayo pindi alikokuwa madarakani).........
LEO AKIONDOKA UNCLE MAGU NDIO TUTAJUA UMUHIMU WA HAYA ANAYO YA FANYA
Unawashwa wewe.
😂😂😂😂😂Hivi hawa wanajua kama nao ni sehemu ya biashara? Nani aliwachagua?
KUNA WATU WAKIONA KATUKIO KADOGO GHAFLA WAKO HUMU
SASA VYEMA KUWAJULISHA WOTE NA HATERS WA NDEGE ZETU MKIONA FAYA INAMWAGIA NDEGE MAJI INAPOTUA SIO KAMA KUNA MOTO
NI SALUTE KWA NDEGE YETU KUIKARIBISHA NCHINI...NA ILE NI ALAMA KWAMBA UKO NYUMBANI, NYUMBANI KUMNOGA
MSIKURUPUKE KUJA HUMU
KAMA MKO NILIPO HAPA AIRPORT NAOMBA MSIKIMBIE MSIJETUTIA AIBU
Kwa hiyo unataka kutuambia Nini hapa..tueleze mawazo yakoTukifikisha idadi ya ndege sawa na Ethiopia, watu wataota magaga ya kwenda Airport kupokea ndege.
Wakati wa Kambarage, ATC ikifikisha ndege 14. Mwenye picha "toka maktaba" Mwl akipokea ndege japo moja tu, atusaidie.
Ikiwemo Ethiopia !?Airline ina benefits gani? Mshamba sana wewe, unafananisha ndege na maji, hao unaona wana ndege masuala madogo madogo wameshayapita.
nan kakwambia magufuli ana ndege?Magufuli Mzalendo wa ukweli Tanzania
Kuna wabwekaji humu mtandaoni wanamtukana Magufuli Ila wanatumia ndege za Magufuli kwenda kwao
U
Uingereza Kuna shida ya maji? Umeme? barabara?
KUNA WATU WAKIONA KATUKIO KADOGO GHAFLA WAKO HUMU
SASA VYEMA KUWAJULISHA WOTE NA HATERS WA NDEGE ZETU MKIONA FAYA INAMWAGIA NDEGE MAJI INAPOTUA SIO KAMA KUNA MOTO
NI SALUTE KWA NDEGE YETU KUIKARIBISHA NCHINI...NA ILE NI ALAMA KWAMBA UKO NYUMBANI, NYUMBANI KUMNOGA
MSIKURUPUKE KUJA HUMU
KAMA MKO NILIPO HAPA AIRPORT NAOMBA MSIKIMBIE MSIJETUTIA AIBU
Hivi anajua baba wa taifa hili alituletea ndege ngapi na hakuwa na maneno ya kishamba?MTU ambaye amekulia kwenye umasikini,njaa,migogoro ya kifamilia na mwenye inferiority complex anachekesha sana.Damn dumb!
MSIOGOPE SANA NIMEOMBWA KUWEKA MF..N KAMA HUUU HAKUNA NDEGE INAYOINGUA HAPO N SALUTE TI MSITUAIBISHE KUKIMBIA AIRPORTView attachment 1245192View attachment 1245193View attachment 1245194View attachment 1245195View attachment 1245196
Hawa dizaini wapumbavu sanaJamiiforums sio washamba kiasi hicho hiyo ni water cannon salute na pengine wewe ndio ajabu kwako... Usipende kuwadharau member wa hapa kiasi hicho
Ni kweli ni story lakini zipo kwa ajili ya kujifunza jamboHizo ni story za kwenye bible,zinarenga imani na kujitakasa.
Mtu akikwambia anaweza kula ugali kilo nane kuliko wengine na kweli akaula ukaisha,hajajiinua wala kujikweza amekujuza yeye ni nani,kama unasubiri siku aje ashindwe wakati kwa leo amethibitisha kauli yake,itakiwa ni kwa sababu nyingine na hupaswi kumshangaa endapo itatokea.