Angalizo kwa haters mkiona faya inamwagia maji ndege haijaungua ile ni salute msije humu kukurupuka inawaka moto

Angalizo kwa haters mkiona faya inamwagia maji ndege haijaungua ile ni salute msije humu kukurupuka inawaka moto

Acha magaga yatoke tu.IPI bora hela kuwa kwa watu wachache wengi hoi na hakuna vitu au bora hela kuwa chache kwa watu ingawa uhoi bado upo kiasi chake na tunaona maendeleo ya vitu au?

Maendeleo yamegawanyika sehemu 2,watu na vitu.

Maendeleo ya vitu husababisha maendeleo ya watu kwa sababu vitu ni nyenzo wezeshi katika maendeleo ya watu.

Zamani tunalalamika kulikuwa na hela,mbona hapakuwa na maendeleo ya watu na vitu? Hela zilikuwa zinafanya nini?

Inafurahisha ukiwa Indra Gandi Intl.Airport unaona kitu Air Tanzania nalo limetua na kutuna katika Uwanja huo uliopo kwenye top ten ya viwanja busy/vikubwa duniani.

Inafurahisha walahi,mnyonge mnyongeni lakini haki yake apewe.

Nipo hapa Kalabash Mwenge wanywaji Wa henken na Windhoek ni wachache,halafu sisikii lete kama tulivyo.

Heshima sasa hivi kudadadeki inaonyesha taswira yake sio kama zamani.

Halafu kuna kamsururu ka mademu classic wanahama toka mitaa pendwa ya kishua kwenda huko Temeke,Mbagala na uswazi mwingine kwa sababu ile mijamaa ya kuwapangishia, kuhonga vi-ist nk nao wamebwana.

Hakuna mishe town za kiboya kama zile enzi.

Povu ruksa,karibuni na tusipotoshane.

Hahahahaha!!!!

Tusipotoshane,

Sent using Jamii Forums mobile app


Kwahjo hao wanywaji unavyoona hawaagizi kama walivyo na hao mademu wanaohama sehem classic wanaenda temeke wewe roho yako kwatuuuu!!jichunguze sehem..!sio sawa
 
Ukumbuke kuwa Germany urusi China na uingereza walifanya maendeleo ya vitu mpaka Sasa NI mataifa makubwa na baadhi ya wananchi ni masikini lakini marekani ilienda na vitu vyote vitu/na watu ilishindwa ikaamua kuendeleza vitu kwa hiyo hata haya yanayofanyika siyo yakubeza
Well said mkuu, shida za watu wote huwez zimaliza. Vijijini skuiz wengi Wana umeme lakin hawasemi. Elimu bure hawasemi, idadi ya hospital mpya imeongezeka hawasemi,..huku kwetu tulikuwa hatuna maji kabsa tumeletewa tena kwa punguzo...labda hayo yote ni maendeleo ya vitu nadhani...but kwangu Mim na Amin maendeleo ya vitu huleta maendeleo ya watu. Unajenga SGR ili watu wapate urahis na unafuu wa kusafiri. Hao wanao beza saiz ndio wale wale walio msumbua Mzee Jk awamu iliyopita, kwamba eti hajafanya chochote. Leo wanampongeza kwa demokrasia na unafuu wa maisha (hawakusema hayo pindi alikokuwa madarakani).........

LEO AKIONDOKA UNCLE MAGU NDIO TUTAJUA UMUHIMU WA HAYA ANAYO YA FANYA
 
Screenshot_20191027-065428.png
Screenshot_20191027-064238.png
Screenshot_20191027-065435.png
Screenshot_20191027-065102.png
Screenshot_20191027-064040.png
Screenshot_20191027-064107.png
Screenshot_20191027-065347.png
Screenshot_20191027-063925.png
Screenshot_20191027-065627.png
Screenshot_20191027-064205.png
Screenshot_20191027-065720.png
Screenshot_20191027-063950.png
Screenshot_20191027-064007.png
Screenshot_20191027-064031.png
 
Nimeogopa kusikia kuna katimu ka Mpira ka huko Misri (Pyramids FC) kameingia na ndege yao binafsi huko Mwanza nahisi itakuwa ni ndege ya Serikali ya Misri
Kama ni kweli ushangiliaji wetu ni wa kujichunguza
Kwani ATCL bado haina Ndege wameambiwa hizi ni za Serikali wamekopeshwa tu
wamefanikiwa kukusanya milioni 16 mpaka sasa kati ya ndege 7 na hii ya 8 sijui imenunuliwa cash 600m au 600 Bilioni
jamani ATCL tunzeni Shirika hili maana tumeambiwa hata ikifika miaka 100 ijayo muuwe mbali
View attachment 1245492
Duh umechemsha mkuu sio Tsh Million 16 ni $ million 16 hahahaha
 
Well said mkuu, shida za watu wote huwez zimaliza. Vijijini skuiz wengi Wana umeme lakin hawasemi. Elimu bure hawasemi, idadi ya hospital mpya imeongezeka hawasemi,..huku kwetu tulikuwa hatuna maji kabsa tumeletewa tena kwa punguzo...labda hayo yote ni maendeleo ya vitu nadhani...but kwangu Mim na Amin maendeleo ya vitu huleta maendeleo ya watu. Unajenga SGR ili watu wapate urahis na unafuu wa kusafiri. Hao wanao beza saiz ndio wale wale walio msumbua Mzee Jk awamu iliyopita, kwamba eti hajafanya chochote. Leo wanampongeza kwa demokrasia na unafuu wa maisha (hawakusema hayo pindi alikokuwa madarakani).........

LEO AKIONDOKA UNCLE MAGU NDIO TUTAJUA UMUHIMU WA HAYA ANAYO YA FANYA
Uko sahihi sana...
 
Nadhani ndio mara ya kwanza kuona, ndio maana unakimbilia humu eti kutufundisha. Aibu yako pole sana.
KUNA WATU WAKIONA KATUKIO KADOGO GHAFLA WAKO HUMU

SASA VYEMA KUWAJULISHA WOTE NA HATERS WA NDEGE ZETU MKIONA FAYA INAMWAGIA NDEGE MAJI INAPOTUA SIO KAMA KUNA MOTO

NI SALUTE KWA NDEGE YETU KUIKARIBISHA NCHINI...NA ILE NI ALAMA KWAMBA UKO NYUMBANI, NYUMBANI KUMNOGA

MSIKURUPUKE KUJA HUMU
KAMA MKO NILIPO HAPA AIRPORT NAOMBA MSIKIMBIE MSIJETUTIA AIBU
 
Tukifikisha idadi ya ndege sawa na Ethiopia, watu wataota magaga ya kwenda Airport kupokea ndege.

Wakati wa Kambarage, ATC ikifikisha ndege 14. Mwenye picha "toka maktaba" Mwl akipokea ndege japo moja tu, atusaidie.
Kwa hiyo unataka kutuambia Nini hapa..tueleze mawazo yako
 
Wewe utakuwa wa kuletwa wewe sio wa kuja sehemu ya kwanza kufika Dar ni Airport kwenda kuangalia ndege linavyopokelewa na kutuletea taarifa humu asiyejua nani maana hii si ya kwanza kufanyiwa hivyo kuna aliyeauliza? [emoji3][emoji3][emoji3]
KUNA WATU WAKIONA KATUKIO KADOGO GHAFLA WAKO HUMU

SASA VYEMA KUWAJULISHA WOTE NA HATERS WA NDEGE ZETU MKIONA FAYA INAMWAGIA NDEGE MAJI INAPOTUA SIO KAMA KUNA MOTO

NI SALUTE KWA NDEGE YETU KUIKARIBISHA NCHINI...NA ILE NI ALAMA KWAMBA UKO NYUMBANI, NYUMBANI KUMNOGA

MSIKURUPUKE KUJA HUMU
KAMA MKO NILIPO HAPA AIRPORT NAOMBA MSIKIMBIE MSIJETUTIA AIBU
 
Ni wazi wewe ndo umezaliwa na njaa njaa na shida huko kwenu. Si bure hata shule umesomeshwa kwa pesa za mapipa ya pombe. Otherwise usingekerwa na anayesema yeye juhudi zake zimesaidia uwepo wa hizo ndege. Kauli isiyo pingika
Hivi anajua baba wa taifa hili alituletea ndege ngapi na hakuwa na maneno ya kishamba?MTU ambaye amekulia kwenye umasikini,njaa,migogoro ya kifamilia na mwenye inferiority complex anachekesha sana.Damn dumb!
 
MSIOGOPE SANA NIMEOMBWA KUWEKA MF..N KAMA HUUU HAKUNA NDEGE INAYOINGUA HAPO N SALUTE TI MSITUAIBISHE KUKIMBIA AIRPORTView attachment 1245192View attachment 1245193View attachment 1245194View attachment 1245195View attachment 1245196
 
Hizo ni story za kwenye bible,zinarenga imani na kujitakasa.

Mtu akikwambia anaweza kula ugali kilo nane kuliko wengine na kweli akaula ukaisha,hajajiinua wala kujikweza amekujuza yeye ni nani,kama unasubiri siku aje ashindwe wakati kwa leo amethibitisha kauli yake,itakiwa ni kwa sababu nyingine na hupaswi kumshangaa endapo itatokea.
Ni kweli ni story lakini zipo kwa ajili ya kujifunza jambo

Huwezi kuwa na mtu kutwa kucha anajisifia yeye tu na kuwaponda wengine kana kwamba nchi ilikuwa jangwa sasa ameifanya green!

Miradi yoyote mikubwa huenda hatua kwa hatua, karibu miradi yote inayotekelezwa sasa hivi ameikuta kwenye process sema kwa vile Tz vichwa maji ni wengi ndiomaana wapiga makofi wanakuwa wengi pia

Uliona wapi pesa za miradi mikubwa kama hospital zinaombwa kwa maneno matupu hadharani? Inamaana vichwa maji wapumbazwe kwamba ni wazo la mtu.

Waswahili husema ukiona mtu anajisifu sifu hadharani kila mara ujue anatafuta namna ya kuficha madhaifu aliyonayo.
 
Back
Top Bottom