Acha magaga yatoke tu.IPI bora hela kuwa kwa watu wachache wengi hoi na hakuna vitu au bora hela kuwa chache kwa watu ingawa uhoi bado upo kiasi chake na tunaona maendeleo ya vitu au?
Maendeleo yamegawanyika sehemu 2,watu na vitu.
Maendeleo ya vitu husababisha maendeleo ya watu kwa sababu vitu ni nyenzo wezeshi katika maendeleo ya watu.
Zamani tunalalamika kulikuwa na hela,mbona hapakuwa na maendeleo ya watu na vitu? Hela zilikuwa zinafanya nini?
Inafurahisha ukiwa Indra Gandi Intl.Airport unaona kitu Air Tanzania nalo limetua na kutuna katika Uwanja huo uliopo kwenye top ten ya viwanja busy/vikubwa duniani.
Inafurahisha walahi,mnyonge mnyongeni lakini haki yake apewe.
Nipo hapa Kalabash Mwenge wanywaji Wa henken na Windhoek ni wachache,halafu sisikii lete kama tulivyo.
Heshima sasa hivi kudadadeki inaonyesha taswira yake sio kama zamani.
Halafu kuna kamsururu ka mademu classic wanahama toka mitaa pendwa ya kishua kwenda huko Temeke,Mbagala na uswazi mwingine kwa sababu ile mijamaa ya kuwapangishia, kuhonga vi-ist nk nao wamebwana.
Hakuna mishe town za kiboya kama zile enzi.
Povu ruksa,karibuni na tusipotoshane.
Hahahahaha!!!!
Tusipotoshane,
Sent using
Jamii Forums mobile app