Akili yako inakuambia ni ndege za Magufuli? We kweli kiazi! Kama zingekuwa za Magufuli watu wangezipigia kelele?Magufuli Mzalendo wa ukweli Tanzania
Kuna wabwekaji humu mtandaoni wanamtukana Magufuli Ila wanatumia ndege za Magufuli kwenda kwao
Niulize je?hivi hizi sherehe za kupokea madege huwa hazitumii mahela?Rais Dkt. John Pombe Magufuli aongoza Watanzania katika mapokezi ya ndege mpya boeing 787-8 dreamliner ya Air Tanzania (karibu nyumbani).
Akili yako inakuambia ni ndege za Magufuli? We kweli kiazi! Kama zingekuwa za Magufuli watu wangezipigia kelele?
Ndege watu hawana shida nazo shida ni kipaumbele. Wewe unadhani wananchi wangapi wanapoteza maisha kutokana na maji machafu kisima kama hicho?
Tatizo lako nî kubwa zaidi udhaniavyo. Mwenye akili akisoma komenti yako anajua tatizo lilipo.Airline ina benefits gani? Mshamba sana wewe, unafananisha ndege na maji, hao unaona wana ndege masuala madogo madogo wameshayapita.
.Na wew roboti baba yako angeweka pembeni?pumbavu
Jamaa uko huru sana wewe ni miongoni mwa wachache sana ambao wanakosoa pale panapostahili na kupongeza pia.Huchagui chama wala mtu,safi sana,mimi mwenyewe siwezi mimi ni kusifia tu Magufuli lakini sio CCM😂😂😂Tuwe Wazalendo sometime jambo zuri likifanyika.
Ukumbuke kuwa Germany urusi China na uingereza walifanya maendeleo ya vitu mpaka Sasa NI mataifa makubwa na baadhi ya wananchi ni masikini lakini marekani ilienda na vitu vyote vitu/na watu ilishindwa ikaamua kuendeleza vitu kwa hiyo hata haya yanayofanyika siyo yakubezamaendeleo hayapimwi kwa vitu bali watu!!!! Kama watu wanalala njaa, wanakula mlo mmoja kwa siku hizo ndege zinawasaidia nini watz!!! Kama wanaenda vituo vya afya wanaandikiwa dawa wakanunue !! Nini direct impact ya hizo ndege kwa mlala hoi wa chattle???.
Hii itakua Guangzhou - Dar ila ATCL wanaweka wabadilike maana wanaweka nauli ndogo ila mizigo wanachaji hela za kufa mtuSafi sana,hii itakuwa na route ya Dar London. Impossible is nothing.
Magufuli Mzalendo wa ukweli Tanzania
Kuna wabwekaji humu mtandaoni wanamtukana Magufuli Ila wanatumia ndege za Magufuli kwenda kwao
Hii itakua Guangzhou - Dar ila ATCL wanaweka wabadilike maana wanaweka nauli ndogo ila mizigo wanachaji hela za kufa mtu
Wanaenda bure au ni nauli zao? Fastjet ingekuwepo watu wangepanda hizo.
Kumbe hivi ndivyo mnavyo mdanganya jiwe!!!!Ukumbuke kuwa Germany urusi China na uingereza walifanya maendeleo ya vitu mpaka Sasa NI mataifa makubwa na baadhi ya wananchi ni masikini lakini marekani ilienda na vitu vyote vitu/na watu ilishindwa ikaamua kuendeleza vitu kwa hiyo hata haya yanayofanyika siyo yakubeza
Unaipenda fastjet kwa kuwa unatumiwa na Mabeberu
Nyie vijana mnatakiwa mchapwe viboko ili muwe wazalendo
KQ Wana ndege tatu tuTukifikisha idadi ya ndege sawa na Ethiopia, watu wataota magaga ya kwenda Airport kupokea ndege.
Wakati wa Kambarage, ATC ikifikisha ndege 14. Mwenye picha "toka maktaba" Mwl akipokea ndege japo moja tu, atusaidie.