Angalizo kwa haters mkiona faya inamwagia maji ndege haijaungua ile ni salute msije humu kukurupuka inawaka moto

Angalizo kwa haters mkiona faya inamwagia maji ndege haijaungua ile ni salute msije humu kukurupuka inawaka moto

Let's face the fact, hakuna mtu atakayekubalika na wote. He's doing well kwa mtazamo wa baadhi, na anafeli kwa mtazamo wa wengine.
 
Kila kona ya nchi..
Wee ulikuwa kona gani ukajua kuwa kona ingine wengine wanafurahia
Ujio wa Ndege nyingine leo umezidi kumpa kete Rais Magufuli kwenye uchaguzi ujao na zaidi Wananchi kujenga matumaini makubwa kwenye ngwe yake ya pili



Kila kona ya Nchi sasa hivi imekuwa gumzo kwa jinsi Rais Magufuli kwa jinsi anavyorudisha Taifa kwenye mstari


Kama Rais Donald Trump wa Marekani anamkubali Rais Magufuli kwa jinsi anavyofanya mambo makubwa Nchini sie ni nani mpaka tumpinge?


Week ya jana nilikuwa Mtwara,Lindi,Arusha,Kilimanjaro,Dodoma,Morogoro na Tanga huko kote wananchi wanasema Rais Magufuli apewa muda zaidi wa kuendesha Nchi


#JPM KIOO TUELEKEACHO

Alex Fredrick
 
Uongozi mpya utakapo ingia madarakani tutasikia hasara zilizosababishwa na hizi ndege. Wa South Africa kila kukicha serikali ina bailout shirika lao la ndege na hapo ndege zingine sio zao wamekodishwa, hii biashara ni ya mabeberu na ndo maana nchi nyingi zinakula hasara.
Balance shobo....
jiamini mtoto wa kike
 
Wewe uliekulia kwenye utajiri una nini cha maana Ukiondoa kubweka mtandaoni
Hivi anajua baba wa taifa hili alituletea ndege ngapi na hakuwa na maneno ya kishamba?MTU ambaye amekulia kwenye umasikini,njaa,migogoro ya kifamilia na mwenye inferiority complex anachekesha sana.Damn dumb!
 
Historia ya 2010 ndio mnaleta humu, majungu tu haya.
 
Vifua mbele vya wapi mkuu?Watu hawana furaha hela hakuna.Maisha magumu.Wakilalamika wanaambiwa walikuwa wapiga dili au wavivu.Na zaidi wanaambiwa wahame nchi utadhani wakati wanaomba uongozi ahadi ilikuwa ni kuwatengenezea Watanzania mazingira magumu ya kuishi kishetani/living hell!
Kwahiyo mkuu wewe umechukia ujio wa hiyo ndege au umefurahi?au ulikuwa unapenda tuendelee kuwa hatuna ndege zetu?au ulikuwa unapendelea yale maisha ya wachache tu wajilimbikizie mali wengine tutaabike...
 
Huyu ni jembe wa upinzani ila hajui indirect benefits za airline.
Mzee karume sijui alikosea wapi. Angetumia mpira tu.
Wewe ndio hujui faida katika maendeleo zinazoletwa na miradi midogo midogo. Kasome maandishi ya mke na mme waliopata Nobel Prize ya economics mwezi huu huu wa Oktoba.
 
Ukumbuke kuwa Germany urusi China na uingereza walifanya maendeleo ya vitu mpaka Sasa NI mataifa makubwa na baadhi ya wananchi ni masikini lakini marekani ilienda na vitu vyote vitu/na watu ilishindwa ikaamua kuendeleza vitu kwa hiyo hata haya yanayofanyika siyo yakubeza
Sijawahi kuisoma nadharia hii mahali popote. Inabidi nikupongeze kwa kuibuni hata kama ninajua hujui ulichokiandika hapa.
 
Ni vitu vya hovyo Sana kuleta ndege huku watu wakifa kwa miundombinu mibovu, hospitali mbovu, maji Safi Hakuna, Ni upuuzi na ulimbukeni kujivunia maendeleo ya vitu badala ya maendeleo ya watu!!
Leo wanapokea ndege Ila huko tanga vilio watu 8 wafariki kwa ajali daraja kuharibika!!!?
FB_IMG_1572085342775.jpeg
FB_IMG_1572094314302.jpeg
FB_IMG_1572094325055.jpeg
FB_IMG_1572094317936.jpeg
 


Hiyo hili ilikuwa ni taarifa ya CAG kwa mwaka 2018 na ilitolewa mwezi wa 4 mwaka 2019. humo ametaja mashirika ambayo yalikuwa yanajiendesha kihasara. Moja ya mashirika hayo ni ATCL. Baada ya hapo mkaona ili madudu yasiendelee kuonekana kwa miaka inayokuja bora muhamishie ATCL kwenye Ofisi ya Raisi ili CAG asiweze kukagua, mpike data muwalishe watu kuwa mnatengeneza faida.

Halafu sasa hivi wewe unakuja hapa unasema eti mwaka jana ATCL iliingiza profit ya $14m. Kawadanganye wajinga wenzio.
$14m kutoka mtaji wa $1bn
 
Back
Top Bottom