Angalizo kwa wanaotaka kuja kutafuta ajira Afrika Kusini

Mzee daily ananipigia kelele tupande sisal shamba naona michosho haahahaah
 
Nimemshuhudia...well nimeambiwa, kuna mdada karudi tokea Uarabuni ambako alipata mchongo wa kazi za ndani

Sasa amerudi kumbe alikuwa mchana anaosha vyombo ila usiku alikuwa anapigwa mtungo na mzee mwenye mji na vijana wake wanne.

Ana hali mbaya sana na huwa anatibiwa bawaziri iliyosababishwa na kuingiliwa bila vilainishi katika njia yake ya haja kubwa.
 
Upo ulaya ipi???
 
Mkuu kwa hizi fani wanazingatia vyeti? Na je kama wanazingatia, vyeti vya tz vina kuwa vipi verified huko?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…