Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,992
- 22,396
Mzee daily ananipigia kelele tupande sisal shamba naona michosho haahahaahYaani ukiongelea suala la miti misuli ya kwapa inaachia ...kuna jank nmesoma naye huko Mufindi enzi zilee...nimekutana naye last month ana eka 36πππ₯±π₯±ππ! Kalimia mdabulo...mm siwez panda kwasasa...ntapoteza tu
Fitofu ndema be bei ya viazi ni ndogo mno naona uvv balaa..umelimia kipande kipi? Hongeraa..mie nna mpango labda wa kulima sisal
Mkuu sisal ni habari ya mujini ..nna jirani ana hizo ishu amenishika sana mkono sema nna mambo mengi..pandeni asiee its only 3-4 yrsMzee daily ananipigia kelele tupande sisal shamba naona michosho haahahaah
Sasa kwanini huniambii??Mkuu hayo matangazo wanayatuma Wapi aisee
Okey I willShare nafasi hizo Mkuu..ikikupendeza
Upo ulaya ipi???Kiuzoefu Sisi wabongo wengi hatuna Akili ya kusogea kimapato tofauti na watu wengine,Utawakuta watu wa mataifa kama Nigeria,Zimbabwe na wengineo wakifika ulaya wanaanza kupambana na kazi za ovyo Ila baada ya muda utaona wamefingua African shops zao,au wanasoma baadaya ya muda Utawakuta wapo sehemu nzuri,
Ila Wabongo tunaishia always kubeba box na usafi katika Maisha yetu yote,hatujiongezi kabisaaa,
Nawaincourage watanzania wenye Elimu ya UMEME,PLUMBING,GAS KAMA WAPO,FUNDI UJENZI,FUNDI MAGARI,SEREMALA, waje watafute Fursa Ulaya maana wanahitajika,
Really???Mkuu sisal ni habari ya mujini ..nna jirani ana hizo ishu amenishika sana mkono sema nna mambo mengi..pandeni asiee its only 3-4 yrs
Hii wameshaweka kuwa ya free?Hii Ni website ya Workaway??
Pls do tht...pays a lot...Really???
Will check it up
Unafikiri hata nilikuwa najua basi rafiki? Ndiyo nimejulia kwenye huu uzi yaani daah sijui nilikuwa wapi siku zote!Sasa kwanini huniambii??
Mkuu kwa hizi fani wanazingatia vyeti? Na je kama wanazingatia, vyeti vya tz vina kuwa vipi verified huko?Kiuzoefu Sisi wabongo wengi hatuna Akili ya kusogea kimapato tofauti na watu wengine,Utawakuta watu wa mataifa kama Nigeria,Zimbabwe na wengineo wakifika ulaya wanaanza kupambana na kazi za ovyo Ila baada ya muda utaona wamefingua African shops zao,au wanasoma baadaya ya muda Utawakuta wapo sehemu nzuri,
Ila Wabongo tunaishia always kubeba box na usafi katika Maisha yetu yote,hatujiongezi kabisaaa,
Nawaincourage watanzania wenye Elimu ya UMEME,PLUMBING,GAS KAMA WAPO,FUNDI UJENZI,FUNDI MAGARI,SEREMALA, waje watafute Fursa Ulaya maana wanahitajika,
Airport wamejaa wakenya. Nilishawahi kupita transitMkuu Qatar kuna michongo au wahindi wameshakomba yote
Sawa mkuu.Yeah. I can do that
Wait ntakushtua
Sijui Visa yao ina mashariti ganiAirport wamejaa wakenya. Nilishawahi kupita transit
Nimebaini kuwa kunawatu wa Stori tu ukiwauliza basi anahama hadi jukwaaNasubir majibu
Thanks bestyyyy akePls do tht...pays a lot...
Haya you know where to find meUnafikiri hata nilikuwa najua basi rafiki? Ndiyo nimejulia kwenye huu uzi yaani daah sijui nilikuwa wapi siku zote!
Matangazo inabidi uingie kwenye website za nchi zao mkuu, mfano Dubai jobs.Mkuu hayo matangazo wanayatuma Wapi aisee