Angalizo kwa wanaotaka kuja kutafuta ajira Afrika Kusini


Yes indeed
 
Mkuu hii sisal ambayo iko in decline balaa from synthetic fibers ina future kweli?
 
Mkuu Si bora Somalia, kule hakuna kodi za ajabu ajabu na mizigo ya maana inaletwa kutoka Dubai na Ulaya.
Yanini bhana nikapigwe mtungo na umri wangu huu ambao uko adhuhuri

Wapige mishemishe zao huko huko na mimi nitapigia hapahapa mbagala

Wakija huku sawa
 
Duuuuu pole mkuu
 
Kiongozi hiyo website inaitwaje tujaribu bahati
Nahisi jamaa atakuwa ameisahahu jina maana ana reply post nyingine tu lakini post ya swali hili hajajibu hadi sasa...

Na ni watu kadhaa wameuliza.
Wabongo kazi ipo..!
 
Nimeoa wawili?alikua anang'ang'ana aje migodini kule sasa ndo angekufa kwa kunywa mipombr ya bure ah wap ...nampaga za kula tu na tena nampa mkewe maana ndo anateseka

Mwite aje huko chimbo ashindwe kuokota kuni za kupikia? Ashindwe hata kusogeza mercury au kalai, ashindwe hata kushika scale? Ashindwe hata kuingia kwenye konga hata mara moja? Haiwezekani
 
Juzi nilienda Ethiopia daah!! kuna njaa ya hatari ombaomba wanawazidi Watalii kwa wingi
Ila wanajenga bwawa kubwa la umeme!
Na wana ndege za abiria nyingi mkuu!🤔

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…