Angalizo kwa wanaotaka kuja kutafuta ajira Afrika Kusini

Wezi wengi siyo watz bali ni msjiranu zetu ndio hupenda kujitambulisha kama watz lakini diyo! Hii nimesha'prove' mara nyingi tu! Ukiongea naye utagundua kidwahili chake siyo kabisa!
Nilikutana na washkaji 6 wa TZ ambapo mmoja wapo tuna udugu.

Niliona wanavyoishi, kiufupi tu wabongo kule bondeni ni michosho
 
Kuuza Bangi mtaji milioni Tatu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…