Mbona nasikia kudanga Sauzi kunalipaPole yake aisee,π yaani watu tunaamini ukitoka nje huko ni rahisi kutoboa kumbe huko pia wanatamani kutoka waje huku kwetu( yaani nao wana struggle tu). Naamini mapambano popote tu ndani ama nje unaweza kutoboa muhimu ni ubunifu.π€
Amedata..anashinda anaomba bia barJamani maisha hayaπ pole yake ajipange hapa hapa tu atatoboa
π€£π€£...utazeeka bure...Mbona nasikia kudanga Sauzi kunalipa
Hapa Nchini hujasikivia Mashoga wameongezeka kutokana na Mkazo wa VyumaJamani maisha hayaπ pole yake ajipange hapa hapa tu atatoboa
Best nlikwenda holiday 2017 nkatembelea Jo'burg, Durban na Cape town.Duh.... mie toka shemej angu arudi toka nje na hela mbuzi sijapata tena mzuka aisee...hapana
Ooh uliambiwa na ndugu yako yupi aliyeenda huko akalipwa vizuri? Kwahiyo unawashauri na wengine waende? Au uliskia wapii?Mbona nasikia kudanga Sauzi kunalipa
Nasikia Rand inathamani kuliko hivi vishilingi vyetuOoh uliambiwa na ndugu yako yupi aliyeenda huko akalipwa vizuri? Kwahiyo unawashauri na wengine waende? Au uliskia wapii?
Sawa boss...je hakuna wazee wa kizungu wanaopenda ngozi nyeusi...kama wapo niibuke chaaap..Best nlikwenda holiday 2017 nkatembelea Jo'burg, Durban na Cape town.
Wabongo kule ni wazururaji na hawaaminiki.
Yaani usije ukaenda ukajitambulisha wewe ni from Tz.
Nilikutana na washkaji 6 wa TZ ambapo mmoja wapo tuna udugu.Wezi wengi siyo watz bali ni msjiranu zetu ndio hupenda kujitambulisha kama watz lakini diyo! Hii nimesha'prove' mara nyingi tu! Ukiongea naye utagundua kidwahili chake siyo kabisa!
Yaan alipotea kama ndege ya malaysiaKuna bwn mmoja anaitwa Shibe kijijini alikuja pande hizo kitambo sana....mpaka leo hajaleta mrejesho!!??
Labda kafa nasikia Wazulu ukiwachukulia demu wanakukimbiza na mikukiKuna bwn mmoja anaitwa Shibe kijijini alikuja pande hizo kitambo sana....mpaka leo hajaleta mrejesho!!??
Leo umelewa best?Hapa Nchini hujasikivia Mashoga wameongezeka kutokana na Mkazo wa Vyuma
Tupeni experience ya hukoNilikutana na washkaji 6 wa TZ ambapo mmoja wapo tuna udugu.
Niliona wanavyoishi, kiufupi tu wabongo kule bondeni ni michosho
Kuuza Bangi mtaji milioni TatuMfano kwa kuanzia uwe Na mtaji wa shilling ngapi za kitanzania ukija huko ili angalau mambo yaende?
Biashara gani maeneo yapi au miji ipi unaweza kutoboa kirahisi?
Kama una elimu mfano diploma au digrii ni specialization zipi ambazo kupata ajira ni rahisi?
Saidia mkuu, nafikiri wengi tutafaidika
Tanzania Ni TajiriDuh.... mie toka shemej angu arudi toka nje na hela mbuzi sijapata tena mzuka aisee...hapana
Kuna dogo kaniletea tembe za Codeine amesema zinasaidia mafua.Leo umelewa best?
Ahhh mkuu fight tu hapa hapa.Tupeni experience ya huko
Mbona wanatutupiaga mapicha mingi mingi ndani ya ndinga za wakina bmw huku wanabang na mabebe wakizungu na kizuluNilikutana na washkaji 6 wa TZ ambapo mmoja wapo tuna udugu.
Niliona wanavyoishi, kiufupi tu wabongo kule bondeni ni michosho