Angalizo la usalama: Lissu na wanaoitwa wahaini wote CHADEMA, Akili kichwani asiaminiwe mtu hata baina ya ninyi Kwa ninyi!

Angalizo la usalama: Lissu na wanaoitwa wahaini wote CHADEMA, Akili kichwani asiaminiwe mtu hata baina ya ninyi Kwa ninyi!

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Hii ni wakati tukimpambania Dk. Slaa:

Pia soma: Tusio na adui wa kudumu tunasimama na Dkt. Slaa

Nani asiyejua kuwa TAL ni High Valued Target (HVT) kwa maadui wote wa ndani na nje?

GgN412EXIAEWKxd.jpeg


Kwamba kwa maneno yao wenyewe, kumbe kipi kinaweza kisiwepo mezani?

Kwamba wengine wanajutia kushikilia chupa za damu Lissu akipelekwa Nairobi na makorokoro uchwara mengine?

Looh!

Kwani ilikuwa rushwa?

"Lile tumbo la Lissu likisemwa na Wenje, Arusha Dar kutolihusisha nao ni kujidanganya!"

Hata sasa baina ya wahaini wenyewe akili kichwani, kitakukula kilichoko nguoni mwako.
 
Afirushwe na nini??
Hivi kwa nini TAL team inaogopa sanduku la kura na kutamani ushindi wa mezani???!

Wapi umeona kuogopwa sanduku la kura?

Au hujui sanduku la kura ndilo rasmi litumikalo kufurushwa wasiotakiwa?

Au kufurushwa hujui maana yake ndugu?

Kwamba kiswahili ni kigumu kwako hivyo?
 
Back
Top Bottom