Utekaji kwenye anafeliKwa upande wangu naona tu ile Bashite kuwa Kiongozi wa Uhamasishaji kwa Timu ya Taifa tayari ni NAJISI kwa hii timu..
Hakuna lolote la Maendeleo lililowahi kusimamiwa na huyu jamaa limewahi kufanikiwa labda mambo ya kishezishenzi kama utekaji nk nk.
Ila Mo walimteka wakamwachia na gari la kutembelea. Utekaji wa aina hiyo ni mzuri siyo kama ule wa Roma
habari ndiyo hiyo!!πππππππππππππππππππππππππππππππππ
Dahhhhh...... Noma..
Heshima kwenu wanajamvi.
Natoa tahadhari kwa TFF na watanzania kwa ujumla kuwa makini na propaganda za kisiasa zinazofanywa na mkuu wa mkoa wa Dsm Paul Makonda kila anapozungumzia maandalizi ya mchezo wa Taifa Stars dhididi ya Uganda.
Makonda anatumia nafasi aliyopewa ya mwenyekiti wa kamati ya maandalizi kumsifia rais na serikali badals ya kuwahamasisha watanzania kuisapoti timu ya taifa.
Natoa angalizo kwa TFF kuacha kuwateua wanasiasa kwenye masuala ya mpira kwani kunawagawa watanzania badala ya kuwaunganisha.