Angalizo: Makonda akiendeleza siasa kwenye maandalizi ya Taifa Stars atawagawa watanzania

Angalizo: Makonda akiendeleza siasa kwenye maandalizi ya Taifa Stars atawagawa watanzania

😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

Dahhhhh...... Noma..
habari ndiyo hiyo!!
 
Kwani kuwa shabiki wa timu flani ni lazima au hiari???

Sent using Jamii Forums mobile app

Hiyo ni national timu...siyo timu fulani..hapo siyo suala la ushabiki...ni suala la kitaifa...ila ni kweli kumhusisha huyo sijui nani naona ni kosa kubwa la kimkakati...Huyo abaki na mambo ya Dar es Salaam...Nasikitika sana kuwa na watu ndani ya TFF wasiopima issues...hovyokabisa...
 
Heshima kwenu wanajamvi.
Natoa tahadhari kwa TFF na watanzania kwa ujumla kuwa makini na propaganda za kisiasa zinazofanywa na mkuu wa mkoa wa Dsm Paul Makonda kila anapozungumzia maandalizi ya mchezo wa Taifa Stars dhididi ya Uganda.

Makonda anatumia nafasi aliyopewa ya mwenyekiti wa kamati ya maandalizi kumsifia rais na serikali badals ya kuwahamasisha watanzania kuisapoti timu ya taifa.

Natoa angalizo kwa TFF kuacha kuwateua wanasiasa kwenye masuala ya mpira kwani kunawagawa watanzania badala ya kuwaunganisha.

Huoni kwamba Stars ikishinda ni CCM imeshinda?
 
"Mimi ndio mkuu wa huu mkoa. Na huu mkoa ndio wa kwangu. Sijakabidhiwa kwa majaribio. Nimekabidhiwa kuongoza, nitabadilisha route zote kwenda uwanja wa taifa. Tukishinda tunafunga baadhi ya mitaa, vinywaji vyote vinauzwa kwa nusu bei kwa zaidi ya saa sita."
- Daudi Albert Bashite
😳😁🙌🏾👆🏾


Ni wazi kutakuwa na uvunjifu wa maadili kwa kuchochea unywaji wa kupindukia kwasababu tu timu imeshinda. Unafungaje mitaa ili watu wasiokuwa na shughuli za mpira wasiendelee na shughuli zao za maisha ya kila siku? Sioni kama huu ni uhamasishaji ila ni kuonesha ubabe na ulevi wa madaraka tu. Tayari mwenyekiti wa uhamasishaji kesha wakatisha tamaa wengi. Yeye silaha yake kubwa ni wasanii kwa kila jambo. Najiuliza hiyo nusu ya bei inayobaki analipa nani?
 
Back
Top Bottom