Angalizo: Makonda akiendeleza siasa kwenye maandalizi ya Taifa Stars atawagawa watanzania

Angalizo: Makonda akiendeleza siasa kwenye maandalizi ya Taifa Stars atawagawa watanzania

Hakuna Watu Wapumbavu Hapa Tanzania Kama Wafuasi Wa Chadema Yaani Taifa Stars Wafungwe Kwa Ajil Ya Makonda? Kama Hamumpendi Makonda Hameni Dar Es Salaam Basi Achen Upumbavu Mabwege Nyie
mkuu binafsi kura yangu uchaguzi ujao Ngosha atapata ila ktk mechi hii nasema Uganda shida goli nyingi...Bashite ni janga la kitaifa!!!.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona watanzania wameshaliona hilo angalizo kitambo ndio maana huoni mzuka...wamejazana mle wanalumumba watupu..ni bahati mbaya Rais wa TFF nae ni kibaraka wa lumumba na mbaya zaidi hanaga USHAWISHI wowote katika soka letu...kwa walivyokosea kujazana humo kwenye kamati tusitegemee kuona hamasa yoyote au kujaa uwanja jumapili...
hamasa inabidi maswala ya dolali na si nusu bei ya vinywaji yeye anadhani wote ni walevi,
 
Heshima kwenu wanajamvi.
Natoa tahadhari kwa TFF na watanzania kwa ujumla kuwa makini na propaganda za kisiasa zinazofanywa na mkuu wa mkoa wa Dsm Paul Makonda kila anapozungumzia maandalizi ya mchezo wa Taifa Stars dhididi ya Uganda.

Makonda anatumia nafasi aliyopewa ya mwenyekiti wa kamati ya maandalizi kumsifia rais na serikali badals ya kuwahamasisha watanzania kuisapoti timu ya taifa.

Natoa angalizo kwa TFF kuacha kuwateua wanasiasa kwenye masuala ya mpira kwani kunawagawa watanzania badala ya kuwaunganisha.

Tuachane na huyo mwanasiasa,yeye atapita lakini timu yetu ya Taifa itaendelea kuwepo.
Tukaiunge mkono timu yetu.
 
Kwa jina la Yesu lazima tutashinda.

FB_IMG_1553341536121.jpg
 
Mimi huwa sielewagi kwani hii ni team ya Mkoa wa Dar es salaam au ni team ya Taifa? Bashite kujiingiza hapa inakuwaje? Anajua mpira kweli huyu? Inamaana kakosekana mtu mwingine kuwa mwenyekiti wa kamati ambaye ni mweledi ktk mambo ya mpira? Najua huyu n mtu wa kuforce mambo ila hatutatoboa. Nilishajipanga kuingia Taifa ila kwahili limenifanya ni ghairi. Mtu mwenye laana ya damu za watu wengine mikononi mwake, anaanzisha mambo hayakamilikagi hata siku moja kama Pimbi leo anapewa shughuli hii adhim kabisa tena ktk dakika za majeruhi. Nyoooo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom