Ausar
JF-Expert Member
- Mar 19, 2021
- 2,369
- 3,800
India ilikua vacationJe unafahamu chanzo cha kifo chake?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
India ilikua vacationJe unafahamu chanzo cha kifo chake?
Nisamehe mkuuWe jamaa Una akili nyingi Ila unaharibiwa na siasa za Ccm na Chadema .
Kweli bhana!Machadema hamna akili kabisa.
Mkuu ulimsikiliza Jk vzr akiwa msibani?Kwanza Kabisa nachukua nafasi hii kutoa pole kwa Msiba wa Dkt Faustine Ndugulile, Lakini pole hii naitoa kwa familia yake tu, Sitoi Pole kwa Bunge wala kwa mwingine yeyote yule.
Baada ya Utangulizi huo naomba niingie moja kwa moja kwenye hoja yangu fupi sana, Ni hivi, Vyeo vya Kimataifa, kama vya WHO au UNICEF si vyeo vya kurithishana kama vyeo vya Tanzania, hivi ni vyeo vinavyogombewa baada ya Usaili mzito kutoka kwa Watu wenye akili nyingi, anayesailiwa ni mtu binafsi, Mtu huyo huchunguzwa mwenendo wake tangu huko kwao alikotoka kama yeye binafsi anao weledi.
Ndugulile alifukuzwa Uwaziri baada ya kumpinga Rais wa Tanzania, John Magufuli kuhusu namna ya kupambana na Korona, Magufuli aliamini katika Ushirikina wa Kupiga nyungu, Jambo ambalo Dr Faustine alilipinga, na likamgharimu Cheo chake na mambo mengine ambayo sitayataja, jambo hili ni miongoni mwa yaliyomfanya apigiwe kura na Watu wengi, Alichaguliwa Dr Ndugulile, haikuchaguliwa Tanzania
Vyeo vya WHO si kama Ubunge wa ccm, kwamba kwa vile Selina Kombani kafa basi Ubunge wake tumpe Mwanaye, mwanaye ambaye kazi yake kubwa bungeni ilikuwa kuorodhesha dawa za kuongeza nguvu za kiume likiwemo vumbi la Congo, Nani aliyesahau hili?
Hoja yangu ni kwamba Kifo cha Dr Faustine hakitaifanya Tanzania ionewe huruma ili Hata wakipeleka mgombea Duni basi achaguliwe tu.
Mboga mboga walijua wapo chimwaga🤣Kwanza Kabisa nachukua nafasi hii kutoa pole kwa Msiba wa Dkt Faustine Ndugulile, Lakini pole hii naitoa kwa familia yake tu, Sitoi Pole kwa Bunge wala kwa mwingine yeyote yule.
Baada ya Utangulizi huo naomba niingie moja kwa moja kwenye hoja yangu fupi sana, Ni hivi, Vyeo vya Kimataifa, kama vya WHO au UNICEF si vyeo vya kurithishana kama vyeo vya Tanzania, hivi ni vyeo vinavyogombewa baada ya Usaili mzito kutoka kwa Watu wenye akili nyingi, anayesailiwa ni mtu binafsi, Mtu huyo huchunguzwa mwenendo wake tangu huko kwao alikotoka kama yeye binafsi anao weledi.
Ndugulile alifukuzwa Uwaziri baada ya kumpinga Rais wa Tanzania, John Magufuli kuhusu namna ya kupambana na Korona, Magufuli aliamini katika Ushirikina wa Kupiga nyungu, Jambo ambalo Dr Faustine alilipinga, na likamgharimu Cheo chake na mambo mengine ambayo sitayataja, jambo hili ni miongoni mwa yaliyomfanya apigiwe kura na Watu wengi, Alichaguliwa Dr Ndugulile, haikuchaguliwa Tanzania
Vyeo vya WHO si kama Ubunge wa ccm, kwamba kwa vile Selina Kombani kafa basi Ubunge wake tumpe Mwanaye, mwanaye ambaye kazi yake kubwa bungeni ilikuwa kuorodhesha dawa za kuongeza nguvu za kiume likiwemo vumbi la Congo, Nani aliyesahau hili?
Hoja yangu ni kwamba Kifo cha Dr Faustine hakitaifanya Tanzania ionewe huruma ili Hata wakipeleka mgombea Duni basi achaguliwe tu.
Nawewe umeamini hiyo ndio sababu ya kuchaguliwa! Mfxzx§×∆¥!Acha ujinga jana JK kaeleza alivyomsaidia Faustine kupata huo ukurugenzi
Mkuu ulimsikiliza Jk vzr akiwa msibani?
Na mama umemsikiliza?
Usisahau pia kuwa alidai alikuwa kwenye mpango wa CHADEMA wa kumpiga Lissu risasi. Hafai.Na Dr Mollel ataelezewa hivyo hivyo kwsmba aliunga Juhudi na kutwaa nafasi ya Ndugulile na kurejesha chanjo
Ikumbukwe Dr Mollel ndiye aliwashauri Wabunge wa Chadema waende lockdown 😂😂😂😂
Na Dr Mollel ataelezewa hivyo hivyo kwsmba aliunga Juhudi na kutwaa nafasi ya Ndugulile na kurejesha chanjo
Ikumbukwe Dr Mollel ndiye aliwashauri Wabunge wa Chadema waende lockdown 😂😂😂😂
kwamba?Mkuu ulimsikiliza Jk vzr akiwa msibani?
Na mama umemsikiliza?
Hiyo Corona yenu ilikuwa ni upumbavu mtupu. Pili Hakuondolewa uwaziri ila unaibu waziri. Tatu Kama angefukuzwa basi asingepewa Uwaziri kamili wa wizara mpya iliyoundwa baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 kwahiyo hichi ulichokiandika ni pumba tupu. Acha kuwa unajifariji kijinga.Ndugulile alifukuzwa Uwaziri baada ya kumpinga Rais wa Tanzania, John Magufuli kuhusu namna ya kupambana na Korona, Magufuli aliamini katika Ushirikina wa Kupiga nyungu, Jambo ambalo Dr Faustine alilipinga, na likamgharimu Cheo chake na mambo mengine ambayo sitayataja
Dr. Mollel hapana kabisa kabisa, na CCM haiwezi mchagua mtu kama Mollel akagombee nafasi kama ya Ukurugenzi wa WHO Africa, one main reason is, Mollel ni kilaza sana sana, his ability even to explain himself hawezi, atatutia aibu
Kweli bhana!!Punga maji hilo
Haijulkani kama Unalia au UnalalamikaHiyo Corona yenu ilikuwa ni upumbavu mtupu. Pili Hakuondolewa uwaziri ila unaibu waziri. Tatu Kama angefukuzwa basi asingepewa Uwaziri kamili wa wizara mpya iliyoundwa baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 kwahiyo hichi ulichokiandika ni pumba tupu. Acha kuwa unajifariji kijinga.
Whatever. ila acha kuwa unajifariji kijinga kwa kuandika uongo.Haijulkani kama Unalia au Unalalamika
Hoja imesimama vema. Safi sana!Kwanza Kabisa nachukua nafasi hii kutoa pole kwa Msiba wa Dkt Faustine Ndugulile, Lakini pole hii naitoa kwa familia yake tu, Sitoi Pole kwa Bunge wala kwa mwingine yeyote yule.
Baada ya Utangulizi huo naomba niingie moja kwa moja kwenye hoja yangu fupi sana, Ni hivi, Vyeo vya Kimataifa, kama vya WHO au UNICEF si vyeo vya kurithishana kama vyeo vya Tanzania, hivi ni vyeo vinavyogombewa baada ya Usaili mzito kutoka kwa Watu wenye akili nyingi, anayesailiwa ni mtu binafsi, Mtu huyo huchunguzwa mwenendo wake tangu huko kwao alikotoka kama yeye binafsi anao weledi.
Ndugulile alifukuzwa Uwaziri baada ya kumpinga Rais wa Tanzania, John Magufuli kuhusu namna ya kupambana na Korona, Magufuli aliamini katika Ushirikina wa Kupiga nyungu, Jambo ambalo Dr Faustine alilipinga, na likamgharimu Cheo chake na mambo mengine ambayo sitayataja, jambo hili ni miongoni mwa yaliyomfanya apigiwe kura na Watu wengi, Alichaguliwa Dr Ndugulile, haikuchaguliwa Tanzania
Vyeo vya WHO si kama Ubunge wa ccm, kwamba kwa vile Selina Kombani kafa basi Ubunge wake tumpe Mwanaye, mwanaye ambaye kazi yake kubwa bungeni ilikuwa kuorodhesha dawa za kuongeza nguvu za kiume likiwemo vumbi la Congo, Nani aliyesahau hili?
Hoja yangu ni kwamba Kifo cha Dr Faustine hakitaifanya Tanzania ionewe huruma ili Hata wakipeleka mgombea Duni basi achaguliwe tu.