Angalizo: Vyeo vya WHO siyo vya Urithi

Angalizo: Vyeo vya WHO siyo vya Urithi

Binafsi nitagombea na nitashinda sitaki chawa wala nini ,mwenye kujua taratibu kuanzia tuma maombi atusaidie
Kama utaratibu haujui je, utawezaje kumudu majukumu ya kila siku?

Hii sio nafasi ya mjumbe wa kitongoji.
 
Kama utaratibu haujui je, utawezaje kumudu majukumu ya kila siku?

Hii sio nafasi ya mjumbe wa kitongoji.
Hujui dunia wewe, kama ukiwa na majukum mazito unawezaje fuatilia kila jambo , weka mwongozo sitaki chawa yeyote wa kunipigia debe , kama nimevuka vikwazo 27 na kufaulu nashindwaje nafasi nyepesi kama hii?

Nitapita , na mshahara wangu nitapeleka kwa wahitaji bila kujali ,mkoa ,wilaya au kijiji mda wote nitakua pale .

Nitashida nasema leta mwongozo , unafikili hapa jf watu ni mazwazwa? Pumbavu( pumbavu sio tusi)
 
Hiyo ilikuwa kampeni na inaruhusiwa, na moja ya kampeni aliyofanya JK ilikuwa kuwaeleza wajumbe kwamba huyu alipinga nyungu, na kupinga kwake kulifanya atimuliwe
Siku zote usipo simama na maslahi, utatenda yalio sahihi kama mtaalamu mwenye taaluma yake! Na ndicho hicho alichofanya Ndugulile kipindi cha Corona,alisimama na taaluma yake,hata Kanisa lake halikumuyumbisha kwenye taaluma yake! Maana hata huko kuna watu wanapona kwa miujiza!!
 
Nchi imekua ya kipumbavu sana ,wajinga wanafikili kuwa na cheo flani cha kimataifa lazima uwe ccm, mimi nasema uwezo binafsi ndo utakufisha pale unaka , WHo ni nafasi ndogo sana kwangu.
Labda pawepo mambo ya kijinga kwamba lazima nchi ikuidhishe na ukiritimba unaanzia pale , sipo tiyari mpigia mtu magoti na haitatokea .

Kama mchakato upo huru leta hapa ,tuwaneshe Tz ipo na wabarikiwa,

Sitaki kampeni ya mtu yoyote , ila mtashangaa ,mie sio Prof ila ipo akili Mungu kanipa zahidi ya Prof, leta utaratibu muone moto utakao washwa , sitaki chawa, mimi binafsi najitosheleza japo .maskini
 
Kila mtu kamsaidia na makamba naye anadai amemsaidia, betina wa bungeni naye. bado mama Abdul aje naye atasema
Maccm kama Yana laana vile
Kwanza natoa pole kwa familia, ndugu, jamaa na marafiki. Ikumbukwe jambo la WHO ni la kitaifa nchi zingine nazo zilitoa wagombea wao. Mhe Ndugulile alikuwa na sifa zilizombeba.Lakini siasa z nje ya nchi nazo zilikuwa na nafasi jumuiya afrika mashariki na sadec zote zilichangia . Ruto alikubaliana na samia wampigie kampeni huku sisi Tanzania tukimpa sapoti raila odinga kwa nafasi ya mwenyekiti wa Au. Kwaiyo kikwete kwa kufahamiana na maraisi alitoa mchango wake. Tatizo viongozi wetu wanapenda sifa na dezo. Kwamba tupeww hata tusipostahili
 
Naomba Kuwasilisha na Natanguliza Shukrani
 
Back
Top Bottom