Ndebile
JF-Expert Member
- Sep 14, 2011
- 7,745
- 11,267
Ndio, na Januari naye pia kasema alimfanyia "connections"Acha ujinga jana JK kaeleza alivyomsaidia Faustine kupata huo ukurugenzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio, na Januari naye pia kasema alimfanyia "connections"Acha ujinga jana JK kaeleza alivyomsaidia Faustine kupata huo ukurugenzi
Weka ukweli tu, yaani kusema Jiwe aliamini ushirikina wa Nyungu ni uongo?Whatever. ila acha kuwa unajifariji kijinga kwa kuandika uongo.
Tangu lini kujifukuzia imekuwa ushirikina?.Weka ukweli tu, yaani kusema Jiwe aliamini ushirikina wa Nyungu ni uongo?
Kutokana na gubu lililokujaa hata hukuelewa alichokisema Mh. Rais Samia. Nitakusaidia; amesema Tanzania itatafuta mtu mwingine mwenye sifa ili "akashindane" kwenye usaili mwingine na sio "kupewa" nafasi ya Hayati Dk. Ndungulile.Hiyo ilikuwa kampeni na inaruhusiwa, na moja ya kampeni aliyofanya JK ilikuwa kuwaeleza wajumbe kwamba huyu alipinga nyungu, na kupinga kwake kulifanya atimuliwe
Nimecheka ulivyo yapiga miba utosini na mambumbumbu ya kishirikina na ulozi toka Lumumba.Kwanza Kabisa nachukua nafasi hii kutoa pole kwa Msiba wa Dkt Faustine Ndugulile, Lakini pole hii naitoa kwa familia yake tu, Sitoi Pole kwa Bunge wala kwa mwingine yeyote yule.
Baada ya Utangulizi huo naomba niingie moja kwa moja kwenye hoja yangu fupi sana, Ni hivi, Vyeo vya Kimataifa, kama vya WHO au UNICEF si vyeo vya kurithishana kama vyeo vya Tanzania, hivi ni vyeo vinavyogombewa baada ya Usaili mzito kutoka kwa Watu wenye akili nyingi, anayesailiwa ni mtu binafsi, Mtu huyo huchunguzwa mwenendo wake tangu huko kwao alikotoka kama yeye binafsi anao weledi.
Ndugulile alifukuzwa Uwaziri baada ya kumpinga Rais wa Tanzania, John Magufuli kuhusu namna ya kupambana na Korona, Magufuli aliamini katika Ushirikina wa Kupiga nyungu, Jambo ambalo Dr Faustine alilipinga, na likamgharimu Cheo chake na mambo mengine ambayo sitayataja, jambo hili ni miongoni mwa yaliyomfanya apigiwe kura na Watu wengi, Alichaguliwa Dr Ndugulile, haikuchaguliwa Tanzania
Vyeo vya WHO si kama Ubunge wa ccm, kwamba kwa vile Selina Kombani kafa basi Ubunge wake tumpe Mwanaye, mwanaye ambaye kazi yake kubwa bungeni ilikuwa kuorodhesha dawa za kuongeza nguvu za kiume likiwemo vumbi la Congo, Nani aliyesahau hili?
Hoja yangu ni kwamba Kifo cha Dr Faustine hakitaifanya Tanzania ionewe huruma ili Hata wakipeleka mgombea Duni basi achaguliwe tu.
Sijaelewa kama unalalamika au unaliaKutokana na gubu lililokujaa hata hukuelewa alichokisema Mh. Rais Samia. Nitakusaidia; amesema Tanzania itatafuta mtu mwingine mwenye sifa ili "akashindane" kwenye usaili mwingine na sio "kupewa" nafasi ya Hayati Dk. Ndungulile.
By the way, kurithishana hata Chadema kupo. Babamkwe (Mzee Mtei) alikuwa Mwenyekiti Taifa. Alipotoka, Shemeji yake (Bob Makani) akaingia. Sasa hivi yupo "Mkwilima" wa Mzee Mtei (Mbowe). Baada ya hapo anasubiriwa Binti Wakili Msomi awe Mwenyekiti! Ahahahahaha!! Wewe utaishia kuwa chawa tu kama Mwijaku tofauti maeneo na namna ya kuwa chawa! Ahahahahaha!!!
Chonde wasipeleke kigwangalaKwanza Kabisa nachukua nafasi hii kutoa pole kwa Msiba wa Dkt Faustine Ndugulile, Lakini pole hii naitoa kwa familia yake tu, Sitoi Pole kwa Bunge wala kwa mwingine yeyote yule.
Baada ya Utangulizi huo naomba niingie moja kwa moja kwenye hoja yangu fupi sana, Ni hivi, Vyeo vya Kimataifa, kama vya WHO au UNICEF si vyeo vya kurithishana kama vyeo vya Tanzania, hivi ni vyeo vinavyogombewa baada ya Usaili mzito kutoka kwa Watu wenye akili nyingi, anayesailiwa ni mtu binafsi, Mtu huyo huchunguzwa mwenendo wake tangu huko kwao alikotoka kama yeye binafsi anao weledi.
Ndugulile alifukuzwa Uwaziri baada ya kumpinga Rais wa Tanzania, John Magufuli kuhusu namna ya kupambana na Korona, Magufuli aliamini katika Ushirikina wa Kupiga nyungu, Jambo ambalo Dr Faustine alilipinga, na likamgharimu Cheo chake na mambo mengine ambayo sitayataja, jambo hili ni miongoni mwa yaliyomfanya apigiwe kura na Watu wengi, Alichaguliwa Dr Ndugulile, haikuchaguliwa Tanzania
Vyeo vya WHO si kama Ubunge wa ccm, kwamba kwa vile Selina Kombani kafa basi Ubunge wake tumpe Mwanaye, mwanaye ambaye kazi yake kubwa bungeni ilikuwa kuorodhesha dawa za kuongeza nguvu za kiume likiwemo vumbi la Congo, Nani aliyesahau hili?
Hoja yangu ni kwamba Kifo cha Dr Faustine hakitaifanya Tanzania ionewe huruma ili Hata wakipeleka mgombea Duni basi achaguliwe tu.
Mkuki haupigwi kwenzi! Ahahahahaha!!!Sijaelewa kama unalalamika au unalia
Picha zake za kuaguliwa hadharani zimewafikia Wazungu, hatochaguliwaChonde wasipeleke kigwangala
Hamnaa, huyo alikuwa ashaunga juhud, na alisimama na Magu mpaka akapewa unaibu waziri nafasi ya hayati FaustineNa Dr Mollel ataelezewa hivyo hivyo kwsmba aliunga Juhudi na kutwaa nafasi ya Ndugulile na kurejesha chanjo
Ikumbukwe Dr Mollel ndiye aliwashauri Wabunge wa Chadema waende lockdown 😂😂😂😂
Hizi pombe chafu unazofakamia bila kula zimekutoa akili kabisaNa Dr Mollel ataelezewa hivyo hivyo kwsmba aliunga Juhudi na kutwaa nafasi ya Ndugulile na kurejesha chanjo
Ikumbukwe Dr Mollel ndiye aliwashauri Wabunge wa Chadema waende lockdown 😂😂😂😂
Kwa hiyo Jk alimrithisha?Acha ujinga jana JK kaeleza alivyomsaidia Faustine kupata huo ukurugenzi
Hata hivyo hakuwa msaada kwa raia, alivyorejeshwa kwenye Uwaziri na kupewa wizara ya mawasiliano na teknolojia, chap akaruhusu mabando kupanda, ni kama alikuwa kasubiriwa yeye.Hatuongelei kuepuka kifo, tunaongeoea uwezo mkubwa aliyokuwa nao Ndugulile wa kumpa za uso jiwe.
Jiwee alikuwa mshirikina?Faustine Ndugulile alikuwa mwamba kweli kweli, aliamua kumpa za uso jiwe na ushirikina wake.
Wahuni wanataka kupeleka mrithi kule.Kwanza Kabisa nachukua nafasi hii kutoa pole kwa Msiba wa Dkt Faustine Ndugulile, Lakini pole hii naitoa kwa familia yake tu, Sitoi Pole kwa Bunge wala kwa mwingine yeyote yule.
Baada ya Utangulizi huo naomba niingie moja kwa moja kwenye hoja yangu fupi sana, Ni hivi, Vyeo vya Kimataifa, kama vya WHO au UNICEF si vyeo vya kurithishana kama vyeo vya Tanzania, hivi ni vyeo vinavyogombewa baada ya Usaili mzito kutoka kwa Watu wenye akili nyingi, anayesailiwa ni mtu binafsi, Mtu huyo huchunguzwa mwenendo wake tangu huko kwao alikotoka kama yeye binafsi anao weledi.
Ndugulile alifukuzwa Uwaziri baada ya kumpinga Rais wa Tanzania, John Magufuli kuhusu namna ya kupambana na Korona, Magufuli aliamini katika Ushirikina wa Kupiga nyungu, Jambo ambalo Dr Faustine alilipinga, na likamgharimu Cheo chake na mambo mengine ambayo sitayataja, jambo hili ni miongoni mwa yaliyomfanya apigiwe kura na Watu wengi, Alichaguliwa Dr Ndugulile, haikuchaguliwa Tanzania
Vyeo vya WHO si kama Ubunge wa ccm, kwamba kwa vile Selina Kombani kafa basi Ubunge wake tumpe Mwanaye, mwanaye ambaye kazi yake kubwa bungeni ilikuwa kuorodhesha dawa za kuongeza nguvu za kiume likiwemo vumbi la Congo, Nani aliyesahau hili?
Hoja yangu ni kwamba Kifo cha Dr Faustine hakitaifanya Tanzania ionewe huruma ili Hata wakipeleka mgombea Duni basi achaguliwe tu.
Jiwe alikuwa mshirikina wa kina kabisaJiwee alikuwa mshirikina?
👏👏👏👍💯%si vyeo vya kurithishana
Yuko kimyq sijamuona hata msibani. Nimemiss sana zile article zake za nje ya box huwa zina mafunzoChonde wasipeleke kigwangala
😆😆😆😆Jiwee alikuwa mshirikina?