Angalizo: Vyeo vya WHO siyo vya Urithi

Angalizo: Vyeo vya WHO siyo vya Urithi

Hiyo ilikuwa kampeni na inaruhusiwa, na moja ya kampeni aliyofanya JK ilikuwa kuwaeleza wajumbe kwamba huyu alipinga nyungu, na kupinga kwake kulifanya atimuliwe
Kutokana na gubu lililokujaa hata hukuelewa alichokisema Mh. Rais Samia. Nitakusaidia; amesema Tanzania itatafuta mtu mwingine mwenye sifa ili "akashindane" kwenye usaili mwingine na sio "kupewa" nafasi ya Hayati Dk. Ndungulile.
By the way, kurithishana hata Chadema kupo. Babamkwe (Mzee Mtei) alikuwa Mwenyekiti Taifa. Alipotoka, Shemeji yake (Bob Makani) akaingia. Sasa hivi yupo "Mkwilima" wa Mzee Mtei (Mbowe). Baada ya hapo anasubiriwa Binti Wakili Msomi awe Mwenyekiti! Ahahahahaha!! Wewe utaishia kuwa chawa tu kama Mwijaku tofauti maeneo na namna ya kuwa chawa! Ahahahahaha!!!
 
Kwanza Kabisa nachukua nafasi hii kutoa pole kwa Msiba wa Dkt Faustine Ndugulile, Lakini pole hii naitoa kwa familia yake tu, Sitoi Pole kwa Bunge wala kwa mwingine yeyote yule.

Baada ya Utangulizi huo naomba niingie moja kwa moja kwenye hoja yangu fupi sana, Ni hivi, Vyeo vya Kimataifa, kama vya WHO au UNICEF si vyeo vya kurithishana kama vyeo vya Tanzania, hivi ni vyeo vinavyogombewa baada ya Usaili mzito kutoka kwa Watu wenye akili nyingi, anayesailiwa ni mtu binafsi, Mtu huyo huchunguzwa mwenendo wake tangu huko kwao alikotoka kama yeye binafsi anao weledi.

Ndugulile alifukuzwa Uwaziri baada ya kumpinga Rais wa Tanzania, John Magufuli kuhusu namna ya kupambana na Korona, Magufuli aliamini katika Ushirikina wa Kupiga nyungu, Jambo ambalo Dr Faustine alilipinga, na likamgharimu Cheo chake na mambo mengine ambayo sitayataja, jambo hili ni miongoni mwa yaliyomfanya apigiwe kura na Watu wengi, Alichaguliwa Dr Ndugulile, haikuchaguliwa Tanzania

Vyeo vya WHO si kama Ubunge wa ccm, kwamba kwa vile Selina Kombani kafa basi Ubunge wake tumpe Mwanaye, mwanaye ambaye kazi yake kubwa bungeni ilikuwa kuorodhesha dawa za kuongeza nguvu za kiume likiwemo vumbi la Congo, Nani aliyesahau hili?

Hoja yangu ni kwamba Kifo cha Dr Faustine hakitaifanya Tanzania ionewe huruma ili Hata wakipeleka mgombea Duni basi achaguliwe tu.
Nimecheka ulivyo yapiga miba utosini na mambumbumbu ya kishirikina na ulozi toka Lumumba.
 
Kutokana na gubu lililokujaa hata hukuelewa alichokisema Mh. Rais Samia. Nitakusaidia; amesema Tanzania itatafuta mtu mwingine mwenye sifa ili "akashindane" kwenye usaili mwingine na sio "kupewa" nafasi ya Hayati Dk. Ndungulile.
By the way, kurithishana hata Chadema kupo. Babamkwe (Mzee Mtei) alikuwa Mwenyekiti Taifa. Alipotoka, Shemeji yake (Bob Makani) akaingia. Sasa hivi yupo "Mkwilima" wa Mzee Mtei (Mbowe). Baada ya hapo anasubiriwa Binti Wakili Msomi awe Mwenyekiti! Ahahahahaha!! Wewe utaishia kuwa chawa tu kama Mwijaku tofauti maeneo na namna ya kuwa chawa! Ahahahahaha!!!
Sijaelewa kama unalalamika au unalia
 
Kwanza Kabisa nachukua nafasi hii kutoa pole kwa Msiba wa Dkt Faustine Ndugulile, Lakini pole hii naitoa kwa familia yake tu, Sitoi Pole kwa Bunge wala kwa mwingine yeyote yule.

Baada ya Utangulizi huo naomba niingie moja kwa moja kwenye hoja yangu fupi sana, Ni hivi, Vyeo vya Kimataifa, kama vya WHO au UNICEF si vyeo vya kurithishana kama vyeo vya Tanzania, hivi ni vyeo vinavyogombewa baada ya Usaili mzito kutoka kwa Watu wenye akili nyingi, anayesailiwa ni mtu binafsi, Mtu huyo huchunguzwa mwenendo wake tangu huko kwao alikotoka kama yeye binafsi anao weledi.

Ndugulile alifukuzwa Uwaziri baada ya kumpinga Rais wa Tanzania, John Magufuli kuhusu namna ya kupambana na Korona, Magufuli aliamini katika Ushirikina wa Kupiga nyungu, Jambo ambalo Dr Faustine alilipinga, na likamgharimu Cheo chake na mambo mengine ambayo sitayataja, jambo hili ni miongoni mwa yaliyomfanya apigiwe kura na Watu wengi, Alichaguliwa Dr Ndugulile, haikuchaguliwa Tanzania

Vyeo vya WHO si kama Ubunge wa ccm, kwamba kwa vile Selina Kombani kafa basi Ubunge wake tumpe Mwanaye, mwanaye ambaye kazi yake kubwa bungeni ilikuwa kuorodhesha dawa za kuongeza nguvu za kiume likiwemo vumbi la Congo, Nani aliyesahau hili?

Hoja yangu ni kwamba Kifo cha Dr Faustine hakitaifanya Tanzania ionewe huruma ili Hata wakipeleka mgombea Duni basi achaguliwe tu.
Chonde wasipeleke kigwangala
 
Na Dr Mollel ataelezewa hivyo hivyo kwsmba aliunga Juhudi na kutwaa nafasi ya Ndugulile na kurejesha chanjo

Ikumbukwe Dr Mollel ndiye aliwashauri Wabunge wa Chadema waende lockdown 😂😂😂😂
Hamnaa, huyo alikuwa ashaunga juhud, na alisimama na Magu mpaka akapewa unaibu waziri nafasi ya hayati Faustine
 
Na Dr Mollel ataelezewa hivyo hivyo kwsmba aliunga Juhudi na kutwaa nafasi ya Ndugulile na kurejesha chanjo

Ikumbukwe Dr Mollel ndiye aliwashauri Wabunge wa Chadema waende lockdown 😂😂😂😂
Hizi pombe chafu unazofakamia bila kula zimekutoa akili kabisa
 
Hatuongelei kuepuka kifo, tunaongeoea uwezo mkubwa aliyokuwa nao Ndugulile wa kumpa za uso jiwe.
Hata hivyo hakuwa msaada kwa raia, alivyorejeshwa kwenye Uwaziri na kupewa wizara ya mawasiliano na teknolojia, chap akaruhusu mabando kupanda, ni kama alikuwa kasubiriwa yeye.

Maamuuzi yake hayo, hadi leo yanatutesa raia wa vipato vya chini.
 
Jamani, tunapotabiri watakaogombea tuangalie na muundo wa vichwa. Kweli muundo wa kichwa chake kimetokana na ugonjwa ZIKA naye tunamtabiria ukurugenzi wa WHO!!!
Jamani, jamani, jamani.....
 
Kwanza Kabisa nachukua nafasi hii kutoa pole kwa Msiba wa Dkt Faustine Ndugulile, Lakini pole hii naitoa kwa familia yake tu, Sitoi Pole kwa Bunge wala kwa mwingine yeyote yule.

Baada ya Utangulizi huo naomba niingie moja kwa moja kwenye hoja yangu fupi sana, Ni hivi, Vyeo vya Kimataifa, kama vya WHO au UNICEF si vyeo vya kurithishana kama vyeo vya Tanzania, hivi ni vyeo vinavyogombewa baada ya Usaili mzito kutoka kwa Watu wenye akili nyingi, anayesailiwa ni mtu binafsi, Mtu huyo huchunguzwa mwenendo wake tangu huko kwao alikotoka kama yeye binafsi anao weledi.

Ndugulile alifukuzwa Uwaziri baada ya kumpinga Rais wa Tanzania, John Magufuli kuhusu namna ya kupambana na Korona, Magufuli aliamini katika Ushirikina wa Kupiga nyungu, Jambo ambalo Dr Faustine alilipinga, na likamgharimu Cheo chake na mambo mengine ambayo sitayataja, jambo hili ni miongoni mwa yaliyomfanya apigiwe kura na Watu wengi, Alichaguliwa Dr Ndugulile, haikuchaguliwa Tanzania

Vyeo vya WHO si kama Ubunge wa ccm, kwamba kwa vile Selina Kombani kafa basi Ubunge wake tumpe Mwanaye, mwanaye ambaye kazi yake kubwa bungeni ilikuwa kuorodhesha dawa za kuongeza nguvu za kiume likiwemo vumbi la Congo, Nani aliyesahau hili?

Hoja yangu ni kwamba Kifo cha Dr Faustine hakitaifanya Tanzania ionewe huruma ili Hata wakipeleka mgombea Duni basi achaguliwe tu.
Wahuni wanataka kupeleka mrithi kule.

Ubwege ni mzigo
 
Back
Top Bottom