Angalizo: Vyeo vya WHO siyo vya Urithi

Mkuu ulimsikiliza Jk vzr akiwa msibani?
Na mama umemsikiliza?
 
Mboga mboga walijua wapo chimwaga🤣
 
Na Dr Mollel ataelezewa hivyo hivyo kwsmba aliunga Juhudi na kutwaa nafasi ya Ndugulile na kurejesha chanjo

Ikumbukwe Dr Mollel ndiye aliwashauri Wabunge wa Chadema waende lockdown 😂😂😂😂
Usisahau pia kuwa alidai alikuwa kwenye mpango wa CHADEMA wa kumpiga Lissu risasi. Hafai.
 
Na Dr Mollel ataelezewa hivyo hivyo kwsmba aliunga Juhudi na kutwaa nafasi ya Ndugulile na kurejesha chanjo

Ikumbukwe Dr Mollel ndiye aliwashauri Wabunge wa Chadema waende lockdown 😂😂😂😂


Dr. Mollel hapana kabisa kabisa, na CCM haiwezi mchagua mtu kama Mollel akagombee nafasi kama ya Ukurugenzi wa WHO Africa, one main reason is, Mollel ni kilaza sana sana, his ability even to explain himself hawezi, atatutia aibu
 
Hiyo Corona yenu ilikuwa ni upumbavu mtupu. Pili Hakuondolewa uwaziri ila unaibu waziri. Tatu Kama angefukuzwa basi asingepewa Uwaziri kamili wa wizara mpya iliyoundwa baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 kwahiyo hichi ulichokiandika ni pumba tupu. Acha kuwa unajifariji kijinga.
 
Dr. Mollel hapana kabisa kabisa, na CCM haiwezi mchagua mtu kama Mollel akagombee nafasi kama ya Ukurugenzi wa WHO Africa, one main reason is, Mollel ni kilaza sana sana, his ability even to explain himself hawezi, atatutia aibu

..Mollel sio kilaza, ila ameamua kijizimisha data ili kuwafurahisha Ccm.
 
Haijulkani kama Unalia au Unalalamika
 
Hoja imesimama vema. Safi sana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…