Angalizo: Watu wa Mbeya mnaoishi Mbeya Mjitathimini mienendo yenu kinidhamu inalichafua Jiji, ipo siku jiji litafutwa

Angalizo: Watu wa Mbeya mnaoishi Mbeya Mjitathimini mienendo yenu kinidhamu inalichafua Jiji, ipo siku jiji litafutwa

Siwaabudu wanyakyusa man, unanishambulia kwa makonde mfululu safwa boy, mimi sikukutuma uwe msafwa.

Waelemishe ndgu zako huko milimani, wajae mjini na wamiliki biashara badala ya kuuza maeneo mjini na kwenda kupasua mawe milimani, matokeo yake mnaishi kijima.
Wacha wapasue mawe as long as wanapata kipato. Wacha wauze ardhi kwani si ni ya mababu zao??

Nyie Wanyakyusa kwenu kubaya ndiyo maana mnajaa Mbeya. Hebu jaribuni mbakie kule Rungwe na Kyela. Wachovu tu mlichobakiza ni majivuno
 
Wacha wapasue mawe as long as wanapata kipato. Wacha wauze ardhi kwani si ni ya mababu zao??

Nyie Wanyakyusa kwenu kubaya ndiyo maana mnajaa Mbeya. Hebu jaribuni mbakie kule Rungwe na Kyela. Wachovu tu mlichobakiza ni majivuno
Usikasirike jombaa, no hard feelings...
Safwa boy wa kwanza kua jf.
 
Husika na kichwa Cha habari hapo juu.

Tofauti na ilivyo kwenye majiji mengine Kama vile Dodoma, Arusha, Tanga na kwingineko Ila tabia na matendo ya watu wa Mbeya kwa wageni na kwa miundombinu ni hatari mno kwa usitawi wa amani na maendeleo ya jiji Hilo la Mbeya. Haya yafuatayo ndo yanakichafua Jiji la Mbeya;

1. Wizi wa Solar za taa za barabarani, haya mambo yanafanywa na wenyeji na hutaona tabia hizi hata kwenye Halmashauri tu.

2. Kuwashambulia wageni hasa wale wanakuja kwa ajili ya kufanya matamasha. Tumeona juzi hapa msanii akirushiwa makopo ya maji bila sababu, hii inachafua taswira ya Jiji la Mbeya, baadae wasanii watakuwa hawaji

Pia, Soma: Wasafi Festival Mbeya hali imekuwa tete. Zuchu akimbia Jukwaa

Yapo mengi sana yakuorodhesha hapa lakini kwa leo naomba niishie hapo ili nipate muda wa kuyajadili haya.

NB: Hizo tabia zikiendelea ipo siku jiji la Mbeya litafutwa na kuwa halmashauri ya Mji mdogo, tunawaomba viongozi wetu endeleni kutoa adhabu Kali kwa wote wanaolichafua jiji, pia hizo taa za barabarani wekeni doria kuzilinda.
Toa ufala wako punga wewe!
Hizo tabia za kuwasujudu mapunga peleka kwenu.
Mbeya hakuna anayeyumbishwa. Uje Kwa ustaarabu
 
Unajua Kuna elimu ya kusoma upepo na kuituliza jamii yenye hasira . Mtu wa saikoloji aliyeiva analijua hili alichofanya zuchu ni kutaka ku walk out of stage with winning power over audience wakati hakuwa na hiyo winning strategy.
Wakati flani nikiwa nchini Kenya nilipata kusoma na kuelewa namna ya kuhandle watu wenye jazba na siraha walio tayari kujeruhi na Awana Cha kupoteza ilikuwa kipindi Cha machafuko baada ya uchaguzi around 2008 kitu kama hicho wananchi walipata taarifa kuwa viongozi na watoto wao wamejificha Moja ya chuo Cha theoroji hivyo walikuja kuwakatakata mapanga na kuwachoma ila aliyetuliza umma wote huo alikuwa Moja ya pastor called waremba aisee alishusha nondo Kwa vijana wakiwa wamemzunguka within 30 minutes watu wote walitulia ikabidi misosi , vyakula vianze kupikwa hapo na wazee wa kimila wakafika ishu ikatatiliwa peaceful na wakatoa sharti kuwa Kwa kuwasamehe wasepe out of country na ikawa hivyo. Na watu wakaondoka pale chuoni bila kungoa ata ua . Funzo ni kuwa hata kama una pesa , cheo, mamlaka utakiwi kujiaminisha kuwa mm naweza kusema hivi na watu wakatii noooo . Mfano mwalimu anaweza kuwa anatisha lakini inatokea wanafunzi wanamkunja darasani anaponyoka wakati damu zinavuja kila mahali.
 
Cha ajabu wengine wote wameperfom mpaka akina baba levo 😃, Kushindwa kwake kusoma saikolojia ya audience mnataka kufanya kama ni shida kwa wana mbeya wote.

Hapa nipo namwangalia Marioo anavo perfom, anapewa kila aina ya support na shangwe.

Zuchu this cloud was not for u period.
 
Husika na kichwa Cha habari hapo juu.

Tofauti na ilivyo kwenye majiji mengine Kama vile Dodoma, Arusha, Tanga na kwingineko Ila tabia na matendo ya watu wa Mbeya kwa wageni na kwa miundombinu ni hatari mno kwa usitawi wa amani na maendeleo ya jiji Hilo la Mbeya. Haya yafuatayo ndo yanakichafua Jiji la Mbeya;

1. Wizi wa Solar za taa za barabarani, haya mambo yanafanywa na wenyeji na hutaona tabia hizi hata kwenye Halmashauri tu.

2. Kuwashambulia wageni hasa wale wanakuja kwa ajili ya kufanya matamasha. Tumeona juzi hapa msanii akirushiwa makopo ya maji bila sababu, hii inachafua taswira ya Jiji la Mbeya, baadae wasanii watakuwa hawaji

Pia, Soma: Wasafi Festival Mbeya hali imekuwa tete. Zuchu akimbia Jukwaa

Yapo mengi sana yakuorodhesha hapa lakini kwa leo naomba niishie hapo ili nipate muda wa kuyajadili haya.

NB: Hizo tabia zikiendelea ipo siku jiji la Mbeya litafutwa na kuwa halmashauri ya Mji mdogo, tunawaomba viongozi wetu endeleni kutoa adhabu Kali kwa wote wanaolichafua jiji, pia hizo taa za barabarani wekeni doria kuzilinda.
Hiyo kauli ya "Samia mitano tena" inaudhi sana kwa kweli.
 
Duh kumbe show ilikua bure.

Hata wahuni wakaingia na visungura vyao for free kwann kusiwe na fujo.
 
Mbeya tuna msanii wetu sijui nani vile kaimba wimbo wa mbeya oyee, mkataa kwao ni mtumwa narudi nyumbani
 
Husika na kichwa Cha habari hapo juu.

Tofauti na ilivyo kwenye majiji mengine Kama vile Dodoma, Arusha, Tanga na kwingineko Ila tabia na matendo ya watu wa Mbeya kwa wageni na kwa miundombinu ni hatari mno kwa usitawi wa amani na maendeleo ya jiji Hilo la Mbeya. Haya yafuatayo ndo yanakichafua Jiji la Mbeya;

1. Wizi wa Solar za taa za barabarani, haya mambo yanafanywa na wenyeji na hutaona tabia hizi hata kwenye Halmashauri tu.

2. Kuwashambulia wageni hasa wale wanakuja kwa ajili ya kufanya matamasha. Tumeona juzi hapa msanii akirushiwa makopo ya maji bila sababu, hii inachafua taswira ya Jiji la Mbeya, baadae wasanii watakuwa hawaji

Pia, Soma: Wasafi Festival Mbeya hali imekuwa tete. Zuchu akimbia Jukwaa

Yapo mengi sana yakuorodhesha hapa lakini kwa leo naomba niishie hapo ili nipate muda wa kuyajadili haya.

NB: Hizo tabia zikiendelea ipo siku jiji la Mbeya litafutwa na kuwa halmashauri ya Mji mdogo, tunawaomba viongozi wetu endeleni kutoa adhabu Kali kwa wote wanaolichafua jiji, pia hizo taa za barabarani wekeni doria kuzilinda.
Jina jiji linakupa ugali? Mbona maeneo tunayoishi hayaitwi jiji lakin hatulali njaa, fikiri kabla haujaamua heading ya habari yako
 
Mimi sio mnyakyusa jombaa, na sijaweka jab sina uhasama na wasafwa popote mlipo hata huko milimani nikiishi nanyi.
Una dharau sana wewe bwege kuponda makabila ya wenzio as if wewe kabila lako kila mmoja ana mafanikio. Watanzania wote tuko sawa, kuna walio na mafanikio na kisomo na kuna ambao hawana mafanikio.

Sisi makabila yaliyopo makao makuu ya miji ma majiji hatuna namna ya ku-resist kusogea pembeni wakati Mamlaka za Mijiji/Manispaa/ Miji inapotaka maeneo.

Kuwacheka Wasafwa au Wazaramo wanaosogea pembeni kupisha mipango miji ya Serikali ni kuwakosea heshima. Ndiyo maana nasema kama wewe siyo Mnyakyusa basi liweke kabila lako hapa tulichambue. Acha upumbavu wako
 
Una dharau sana wewe bwege kuponda makabila ya wenzio as if wewe kabila lako kila mmoja ana mafanikio. Watanzania wote tuko sawa, kuna walio na mafanikio na kisomo na kuna ambao hawana mafanikio.

Sisi makabila yaliyopo makao makuu ya miji ma majiji hatuna namna ya ku-resist kusogea pembeni wakati Mamlaka za Mijiji/Manispaa/ Miji inapotaka maeneo.

Kuwacheka Wasafwa au Wazaramo wanaosogea pembeni kupisha mipango miji ya Serikali ni kuwakosea heshima. Ndiyo maana nasema kama wewe siyo Mnyakyusa basi liweke kabila lako hapa tulichambue. Acha upumbavu wako
Umeanza kwa ustaarabu mwanzo, mwisho umeishia kunishambulia tena, we msafwa jau sana.
Mimi sina dharau, naandika nilichoshuhudia na kusikia, safwa boy punguza jazba.

Stuxnet zimbombo.....
 
Umeanza kwa ustaarabu mwanzo, mwisho umeishia kunishambulia tena, we msafwa jau sana.
Mimi sina dharau, naandika nilichoshuhudia na kusikia, safwa boy punguza jazba.

Stuxnet zimbombo.....
Umeshuhudia nini? Cha ajabu nini? Ulitaka Wasafwa wang'anga'anie kukaa mjini? Wewe ni MKABILA na umeamua kutumia jukwa hili kuwazodoa Wasafwa. Siwezi kukukalia kimya MNYAMANYAFU mla watu kutoka Tukuyu

Kama kwenu ni kuzuri kwanini msikae huko mpaka mankuja Mbeya??
 
Umeshuhudia nini? Cha ajabu nini? Ulitaka Wasafwa wang'anga'anie kukaa mjini? Wewe ni MKABILA na umeamua kutumia jukwa hili kuwazodoa Wasafwa. Siwezi kukukalia kimya MNYAMANYAFU mla watu kutoka Tukuyu

Kama kwenu ni kuzuri kwanini msikae huko mpaka mankuja Mbeya??
Daah braza mpaka unaniita mnayamanyafu, watu wa malawi hao, wanelowea maeneo karibu na ikuti huko..

Tunasaka fursa ila wasafwa wanazimbia fursa.
 
Jiji lifutwe kwa sababu kafurushwa malaya mtembea uchi?.
 
Back
Top Bottom