ANGALIZO: Wazee wa kubadili gia angani mseme mapema kama El Merekh ni timu bora ama mbovu

ANGALIZO: Wazee wa kubadili gia angani mseme mapema kama El Merekh ni timu bora ama mbovu

Majok majok

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2023
Posts
783
Reaction score
2,057
Hatutaki baadaye kuja na zile swaga za kushiba makande ya mchana na kuanza kuangalia upepo umelalia wapi ndio mnaibuka!

Inatakiwa tujue mapema hii timu ni ya aina gani ili kusudi tuweke kumbukumbu sawa.

Kuna wale vijana wa Mwenyekiti Rage washasema ndio mwisho wa Yanga, hawatoboi kutokana na ubora wa El Merekh lakini kuna wengine ni kama vile wanasita kutoa tamko; hawajui wawe upande upi wa shilingi, wanaogopa kusutwa mambo yakiwa ndivyo sivyo.

Tunawataka hao wachague upande tuwajue, hatutaki unafiki na uzandiki wa kusubiria matokeo ndio waanze kutujazia nyuzi hapa zisizokuwa na kichwa wala miguu!
 
Hatutaki baadaye kuja na zile swaga za kushiba makande ya mchana na kuanza kuangalia upepo umelalia wapi ndio mnaibuka!

Inatakiwa tujue mapema hii timu ni ya aina gani ili kusudi tuweke kumbukumbu sawa.

Kuna wale vijana wa Mwenyekiti Rage washasema ndio mwisho wa Yanga, hawatoboi kutokana na ubora wa El Merekh lakini kuna wengine ni kama vile wanasita kutoa tamko; hawajui wawe upande upi wa shilingi, wanaogopa kusutwa mambo yakiwa ndivyo sivyo.

Tunawataka hao wachague upande tuwajue, hatutaki unafiki na uzandiki wa kusubiria matokeo ndio waanze kutujazia nyuzi hapa zisizokuwa na kichwa wala miguu!
punguzeni porojo , mtakuja kulia na kusaga meno ,THIS IS FOOTBALL
 
Inatakiwa tujue mapema hii timu ni ya aina gani ili kusudi tuweke kumbukumbu sawa.
El Merreikh ni timu nyepesi sana, haina uwanja wa nyumbani kwao, ligi yao imesimama kwa sababu ya vita, wachezaji wao mahiri wamekimbia. Ni kazi nyepesi tu kwa utopolo kuitoa El Mereikh, na kama watashindwa kuitoa, basi kocha afukuzwe maana atabaki kufundisha kwa ajili ya nini sasa? Maana kama ni ligi ya bara, hata Minziro anaweza kuifundisha utopolo
 
El Merreikh ni timu nyepesi sana, haina uwanja wa nyumbani kwao, ligi yao imesimama kwa sababu ya vita, wachezaji wao mahiri wamekimbia. Ni kazi nyepesi tu kwa utopolo kuitoa El Mereikh, na kama watashindwa kuitoa, basi kocha afukuzwe maana atabaki kufundisha kwa ajili ya nini sasa? Maana kama ni ligi ya bara, hata Minziro anaweza kuifundisha utopolo
Kwaiyo iyo Yanga ifungwe ifukuze kocha? Ilo ondoa kichwani mwako.
Tafuteni kocha mapema msisubiri kocha wa Yanga
 
Hatutaki baadaye kuja na zile swaga za kushiba makande ya mchana na kuanza kuangalia upepo umelalia wapi ndio mnaibuka!

Inatakiwa tujue mapema hii timu ni ya aina gani ili kusudi tuweke kumbukumbu sawa.

Kuna wale vijana wa Mwenyekiti Rage washasema ndio mwisho wa Yanga, hawatoboi kutokana na ubora wa El Merekh lakini kuna wengine ni kama vile wanasita kutoa tamko; hawajui wawe upande upi wa shilingi, wanaogopa kusutwa mambo yakiwa ndivyo sivyo.

Tunawataka hao wachague upande tuwajue, hatutaki unafiki na uzandiki wa kusubiria matokeo ndio waanze kutujazia nyuzi hapa zisizokuwa na kichwa wala miguu!
Subiri nikuitie OKW BOBAN SUNZU The greatest of All Time Scars
 
Hatutaki baadaye kuja na zile swaga za kushiba makande ya mchana na kuanza kuangalia upepo umelalia wapi ndio mnaibuka!

Inatakiwa tujue mapema hii timu ni ya aina gani ili kusudi tuweke kumbukumbu sawa.

Kuna wale vijana wa Mwenyekiti Rage washasema ndio mwisho wa Yanga, hawatoboi kutokana na ubora wa El Merekh lakini kuna wengine ni kama vile wanasita kutoa tamko; hawajui wawe upande upi wa shilingi, wanaogopa kusutwa mambo yakiwa ndivyo sivyo.

Tunawataka hao wachague upande tuwajue, hatutaki unafiki na uzandiki wa kusubiria matokeo ndio waanze kutujazia nyuzi hapa zisizokuwa na kichwa wala miguu!
Subiri nikuitie OKW BOBAN SUNZU The greatest of All Time Scars
 
El Merreikh ni timu nyepesi sana, haina uwanja wa nyumbani kwao, ligi yao imesimama kwa sababu ya vita, wachezaji wao mahiri wamekimbia. Ni kazi nyepesi tu kwa utopolo kuitoa El Mereikh, na kama watashindwa kuitoa, basi kocha afukuzwe maana atabaki kufundisha kwa ajili ya nini sasa? Maana kama ni ligi ya bara, hata Minziro anaweza kuifundisha utopolo
Kuwa au kutokuwa na uwanja haakuifanyi timu iwe ngumu au nyepesi. Inter Milan aliyecheza fainali ya UEFA champions league dhidi ya Man City hana uwanja tangu enzi izo pamoja na Ac Milan.

2) ligi na klabu bingwa ni mashindano mawili tofauti na ndio maana pamoja na kusimama kwa ligi yao, lakini wameona wanaweza kucheza michuano ya klabu bingwa na kwenye hii michuano ya CAF wao wanauzoefu nao na hata msimu uliopita kacheza makundi
3) Taja wachezaji wake mahiri waliokimbia ni wakina nani? Naona siku hizi mpira hauongozwi na mikataba na utaratibu bali mtu anajikimbilia tu akitaka kukimbia.
 
Hatutaki baadaye kuja na zile swaga za kushiba makande ya mchana na kuanza kuangalia upepo umelalia wapi ndio mnaibuka!

Inatakiwa tujue mapema hii timu ni ya aina gani ili kusudi tuweke kumbukumbu sawa.

Kuna wale vijana wa Mwenyekiti Rage washasema ndio mwisho wa Yanga, hawatoboi kutokana na ubora wa El Merekh lakini kuna wengine ni kama vile wanasita kutoa tamko; hawajui wawe upande upi wa shilingi, wanaogopa kusutwa mambo yakiwa ndivyo sivyo.

Tunawataka hao wachague upande tuwajue, hatutaki unafiki na uzandiki wa kusubiria matokeo ndio waanze kutujazia nyuzi hapa zisizokuwa na kichwa wala miguu!
Subiri kwanza.. hawa vijana wa mwwnyekiti Rage ndio wale aliosema wote ni mambumbu?
 
Naona bendera fuata upepo wanaogopa yasije yakatokea kama yale ya msimu uliopita. Wanchokifanya sasa ni kuvizia tu Yanga ifanye makosa, ili wapate sasa cha kusema.
Tate acheni stori mazee , hakuna timu pale, ndiomaana ilipokutana na simba haikuweza kufua dafu na kocha wakamtimua, sudan timu ni moja tu na habari zake mnazo. Hapo uto njia nyeupe makundi
 
Tate acheni stori mazee , hakuna timu pale, ndiomaana ilipokutana na simba haikuweza kufua dafu na kocha wakamtimua, sudan timu ni moja tu na habari zake mnazo. Hapo uto njia nyeupe makundi
Isipokuwa timu ipo power dynamo ya zambia🤣🤣
 
Hatutaki baadaye kuja na zile swaga za kushiba makande ya mchana na kuanza kuangalia upepo umelalia wapi ndio mnaibuka!

Inatakiwa tujue mapema hii timu ni ya aina gani ili kusudi tuweke kumbukumbu sawa.

Kuna wale vijana wa Mwenyekiti Rage washasema ndio mwisho wa Yanga, hawatoboi kutokana na ubora wa El Merekh lakini kuna wengine ni kama vile wanasita kutoa tamko; hawajui wawe upande upi wa shilingi, wanaogopa kusutwa mambo yakiwa ndivyo sivyo.

Tunawataka hao wachague upande tuwajue, hatutaki unafiki na uzandiki wa kusubiria matokeo ndio waanze kutujazia nyuzi hapa zisizokuwa na kichwa wala miguu!
El mereikh nayo timu basi? Yanga ina bahati kucheza na timu za ovyo ovyo. Mara Asas sijui ya wauza maziwa wa Iringa?

Mngekutana na Power Dynamos si mngeenda leba kabla ya siku zenu.
 
Back
Top Bottom