Kwasasa power dynamo is far better than hao wasudaniIsipokuwa timu ipo power dynamo ya zambia🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwasasa power dynamo is far better than hao wasudaniIsipokuwa timu ipo power dynamo ya zambia🤣🤣
Itoshe kusema kuwa hujui au haufatilii mpira. Al Merrikh ni timu yenye profile kubwa kwenye michuano ya CAF kuliko hao vibonde power dynamos. Al Merrikh msimu ulioisha kacheza makundi na msimu wa nyuma yake kafka hadi nusu fainali kama sijakosea kwenye kombe la shirikisho. Hao power dynamos wanalipi la kuizidi Al Merrikh?El mereikh nayo timu basi? Yanga ina bahati kucheza na timu za ovyo ovyo. Mara Asas sijui ya wauza maziwa wa Iringa?
Mngekutana na Power Dynamos si mngeenda leba kabla ya siku zenu.
Vipi saidoo?Sisi hatupokei vilivyoachwa na Yanga. Mkude ni nyota kabisa pale Yanga
Saido amesajiliwa Simba kutoka Geita Gold
Mbona hutaki kuamini kilichotamkwa? Au una jibu lako kichwani ambalo sasa umeona ni tofauti na ulivyodhani? Tamko ni hili, narudia:"lakini kuna wengine ni kama vile wanasita kutoa tamko"
El Merreikh ni timu nyepesi sana, haina uwanja wa nyumbani kwao, ligi yao imesimama kwa sababu ya vita, wachezaji wao mahiri wamekimbia. Ni kazi nyepesi tu kwa utopolo kuitoa El Mereikh, na kama watashindwa kuitoa, basi kocha afukuzwe maana atabaki kufundisha kwa ajili ya nini sasa? Maana kama ni ligi ya bara, hata Minziro anaweza kuifundisha utopolo
Na wewe pengine huyajui mazingira yanavyoendelea huko nje. Unadhani kwa nini wale wanafunzi wa udaktari kutoka Sudan wamekuja kumalizia kozi zao hapa Muhimbili? Mifumo ya uendeshaji mingi imesimama Sudan kwa sababu ya machafuko ya wenyewe. Ile El Mereikh iliyomaliza msimu sambamba na Al Hilal zimejikuta zinaondokewa na wachezaji kukimbia vita, hadi zikaomba msaada wa kisheria FIFA.Itoshe kusema kuwa hujui au haufatilii mpira. Al Merrikh ni timu yenye profile kubwa kwenye michuano ya CAF kuliko hao vibonde power dynamos. Al Merrikh msimu ulioisha kacheza makundi na msimu wa nyuma yake kafka hadi nusu fainali kama sijakosea kwenye kombe la shirikisho. Hao power dynamos wanalipi la kuizidi Al Merrikh?
Nimekwambia nitajie hao wachezaji, ugumu uko wapi kuwataja hao wachezaji waliokimbia ni akina nani?Na wewe pengine huyajui mazingira yanavyoendelea huko nje. Unadhani kwa nini wale wanafunzi wa udaktari kutoka Sudan wamekuja kumalizia kozi zao hapa Muhimbili? Mifumo ya uendeshaji mingi imesimama Sudan kwa sababu ya machafuko ya wenyewe. Ile El Mereikh iliyomaliza msimu sambamba na Al Hilal zimejikuta zinaondokewa na wachezaji kukimbia vita, hadi zikaomba msaada wa kisheria FIFA.
Nimekwambia nitajie hao wachezaji, ugumu uko wapi kuwataja hao wachezaji waliokimbia ni akina nani?
Wamemla kichwa![]()
Eric Kambale’s teammate at Al-Merrikh killed by rockets in war-torn Sudan
Sudanese giant AL-Merreikh have confirmed that one of their players, Ahmed Abdel Salaam was killed by an explosion in the war-torn country on Friday.www.pulsesports.ug
Kolo wew si unafanya hadi ulozi lakini hufanikiwi huko wenzio walikufundisha msimu uliopitaAIBU NAONA MIMI TANGU MWAKA 1998 HADI LEO UTOPOLO HAWAJACHEZA MAKUNDI ( CAF CL).
kweli wenye nazo ni 2
Sasa shikilia hapohapo na tunaomba katika mechi nyinine za Yanga zinazofuata yatangulie matamko kwamba hii timu inayokwenda kucheza na Yanga bingwa ngumu au nyepesiMbona hutaki kuamini kilichotamkwa? Au una jibu lako kichwani ambalo sasa umeona ni tofauti na ulivyodhani? Tamko ni hili, narudia:
Ina maana bado tu hujaliona tamko hadi hapo?Sasa shikilia hapohapo na tunaomba kabla ya mechi ya Yanga yatangulie matamko kwamba hii timu inayokwenda kucheza na Yanga bingwa ngumu au nyepesi
Wewe nimekuelewa. Nasemea kwenye mechi nyingine zinazofuata za Yanga BingwaIna maana bado tu hujaliona tamko hadi hapo?
Hiyo taarifa ni ya kifo cha mchezaji tena ni mmoja tu, nataka unipe list ya wachezaji waliokimbia.![]()
Eric Kambale’s teammate at Al-Merrikh killed by rockets in war-torn Sudan
Sudanese giant AL-Merreikh have confirmed that one of their players, Ahmed Abdel Salaam was killed by an explosion in the war-torn country on Friday.www.pulsesports.ug
MIKOLO hainaga akiliMarrekh Ikifa utaskia mara vita, oohh sjui njaa Kali.
Mara yanga inakutana na vitim vya hovyo.
Wanajua kile kichaka walichozoea kujifichia cha klabu bingwa kwamba wao ndio wanaweza kufanya vizuri safari hii wameshikwa pabaya, akuna tena sehemu ya kujibanza wakiangalia timu yao na pira linalopigwa na vijana wa gamondi wanaona kabisa wanakwenda kuachwa kwenye mataa, Yanga hii breki ya kwanza wataikamatia robo fainali au nusu fainali!Mpaka dakika hii Makada watiifu wa Makolo bado hayajajitokeza kutoa tamko lao sijui tatizo liko wapi...