ANGALIZO: Wazee wa kubadili gia angani mseme mapema kama El Merekh ni timu bora ama mbovu

ANGALIZO: Wazee wa kubadili gia angani mseme mapema kama El Merekh ni timu bora ama mbovu

Hatutaki baadaye kuja na zile swaga za kushiba makande ya mchana na kuanza kuangalia upepo umelalia wapi ndio mnaibuka!

Inatakiwa tujue mapema hii timu ni ya aina gani ili kusudi tuweke kumbukumbu sawa.

Kuna wale vijana wa Mwenyekiti Rage washasema ndio mwisho wa Yanga, hawatoboi kutokana na ubora wa El Merekh lakini kuna wengine ni kama vile wanasita kutoa tamko; hawajui wawe upande upi wa shilingi, wanaogopa kusutwa mambo yakiwa ndivyo sivyo.

Tunawataka hao wachague upande tuwajue, hatutaki unafiki na uzandiki wa kusubiria matokeo ndio waanze kutujazia nyuzi hapa zisizokuwa na kichwa wala miguu!
Yote mawili.

Wakishinda ni timu bora
Wakifungwa ni bonge la timu mbovu
 
Timu pekee itakayofuzu mashindano ya kimataifa hatua ya makundi ni Simba tu...utoporooo pamoja na Singida Fountain Gate wataondolewa
Mark my words
 
Mara ya mwisho mtoto aliyezaliwa 1998 leo ana miaka 25.Ndio mwaka waliyefungwa 6 mtungi na ndio rekodi ya kufungwa kwa timu za Tanzania. Walipata sare 2.
Leo migongo wazi wanazungumzia ligi ya mabingwa.Vuka upige kelele.Usishangae rekodi ikaongezeka.
 
El Merreikh ni timu nyepesi sana, haina uwanja wa nyumbani kwao, ligi yao imesimama kwa sababu ya vita, wachezaji wao mahiri wamekimbia. Ni kazi nyepesi tu kwa utopolo kuitoa El Mereikh, na kama watashindwa kuitoa, basi kocha afukuzwe maana atabaki kufundisha kwa ajili ya nini sasa? Maana kama ni ligi ya bara, hata Minziro anaweza kuifundisha utopolo
Una hoja nzuri
 
Hatutaki baadaye kuja na zile swaga za kushiba makande ya mchana na kuanza kuangalia upepo umelalia wapi ndio mnaibuka!

Inatakiwa tujue mapema hii timu ni ya aina gani ili kusudi tuweke kumbukumbu sawa.

Kuna wale vijana wa Mwenyekiti Rage washasema ndio mwisho wa Yanga, hawatoboi kutokana na ubora wa El Merekh lakini kuna wengine ni kama vile wanasita kutoa tamko; hawajui wawe upande upi wa shilingi, wanaogopa kusutwa mambo yakiwa ndivyo sivyo.

Tunawataka hao wachague upande tuwajue, hatutaki unafiki na uzandiki wa kusubiria matokeo ndio waanze kutujazia nyuzi hapa zisizokuwa na kichwa wala miguu!
 
Hatutaki baadaye kuja na zile swaga za kushiba makande ya mchana na kuanza kuangalia upepo umelalia wapi ndio mnaibuka!

Inatakiwa tujue mapema hii timu ni ya aina gani ili kusudi tuweke kumbukumbu sawa.

Kuna wale vijana wa Mwenyekiti Rage washasema ndio mwisho wa Yanga, hawatoboi kutokana na ubora wa El Merekh lakini kuna wengine ni kama vile wanasita kutoa tamko; hawajui wawe upande upi wa shilingi, wanaogopa kusutwa mambo yakiwa ndivyo sivyo.

Tunawataka hao wachague upande tuwajue, hatutaki unafiki na uzandiki wa kusubiria matokeo ndio waanze kutujazia nyuzi hapa zisizokuwa na kichwa wala miguu!
Wacheki hapo nazani utapata majibu
 
Back
Top Bottom