ANGALIZO: Wazee wa kubadili gia angani mseme mapema kama El Merekh ni timu bora ama mbovu

Yote mawili.

Wakishinda ni timu bora
Wakifungwa ni bonge la timu mbovu
 
Timu pekee itakayofuzu mashindano ya kimataifa hatua ya makundi ni Simba tu...utoporooo pamoja na Singida Fountain Gate wataondolewa
Mark my words
 
Mara ya mwisho mtoto aliyezaliwa 1998 leo ana miaka 25.Ndio mwaka waliyefungwa 6 mtungi na ndio rekodi ya kufungwa kwa timu za Tanzania. Walipata sare 2.
Leo migongo wazi wanazungumzia ligi ya mabingwa.Vuka upige kelele.Usishangae rekodi ikaongezeka.
 
Una hoja nzuri
 
 
Wacheki hapo nazani utapata majibu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…