LGE2024 ANGALIZO: Yamepangwa matukio kutuondoa tusijadili UBAKAJI wa uchaguzi wa Serikali za Mitaa

LGE2024 ANGALIZO: Yamepangwa matukio kutuondoa tusijadili UBAKAJI wa uchaguzi wa Serikali za Mitaa

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Msanii

Platinum Member
Joined
Jul 4, 2007
Posts
25,252
Reaction score
36,513
Wakuu,
Hizi failed attempts za utekaji na episodes za uvamizi uvamizi usio na akili unaofanywa na vikosi vya serikali ni mkakati bunifu wa ndani unaolenga kuliondoa taifa kwenye kujadili, kukemea na kupinga uhuni mkubwa na ovu dhidi ya chaguzi zilizofanyika.

Tusitoke relini wakuu
  1. Tuendelee kujadili yatokanayo na uchaguzi huo. Tuendelee kuibana serikali dhidi ya uhuni wanaoufanya kwa kushirikiana na CCM
  2. Mchengerwa na Samia tuwaambie wazi wazi kuwa ni maadui wa Taifa kwa kubuni, kufinance na kutekeleza mipango ovu dhidi ya demokrasia yetu
  3. CCM iendelee kupigwa spana. Hakuna kiongozi bora atakayetokana na CCM.
  4. Tuungane kupambania Katiba bora ya Wananchi. Tusipangiwe bali tupange wenyewe namna tunavyotaka kuongozwa
  5. Tuwapige spana polisi na TISS wasiwafanyie ugaidi Watanzania wanaohoji masuala mbalimbali ya nchi.

Tusife moyo
 
Wakuu
Hizi failed attempts za utekaji na episodes za uvamizi uvamizi usio na akili unaofanywa na vikosi vya serikali ni mkakati bunifu wa ndani unaolenga kuliondoa taifa kwenye kujadili, kukemea na kupinga uhuni mkubwa na ovu dhidi ya chaguzi zilizofanyika.

Tusitoke relini wakuu
  1. Tuendelee kujadili yatokanayo na uchaguzi huo. Tuendelee kuibana serikali dhidi ya uhuni wanaoufanya kwa kushirikiana na CCM
  2. Mchengerwa na Samia tuwaambie wazi wazi kuwa ni maadui wa Taifa kwa kubuni, kufinance na kutekeleza mipango ovu dhidi ya demokrasia yetu
  3. CCM iendelee kupigwa spana. Hakuna kiongozi bora atakayetokana na CCM.
  4. Tuungane kupambania Katiba bora ya Wananchi. Tusipangiwe bali tupange wenyewe namna tunavyotaka kuongozwa
  5. Tuwapige spana polisi na TISS wasiwafanyie ugaidi Watanzania wanaohoji masuala mbalimbali ya nchi.

Tusife moyo
Naunga mkono hoja, hatudanganyiki.
 
Tusife moyo
Ninakubaliana nawe,...; lakini....

Ngoja nieleze kidogo:
Mara baada ya uchafuzi wa 2019 na 2020; kulikuwa na mfukuto mkubwa chini ya uongozi wa CHADEMA kuhimiza upatikanaji wa Katiba Mpya na Tume Huru ya Uchaguzi.
Mfukuto huo inajulikana jinsi ulivyo zimwa na hao hao unao wasema sasa "kutuondoa kwenye reli" wakati huu tukielekea 202 kwa kuingiza hayo uliyo yataja hapo juu ili tusahau haya ya 2024.

Unatusihi sisi wananchi tusikubali kuwekwa pembeni na kusahaulishwa.
Sasa nami nakuuliza wewe, pamoja na kwamba pengine huna jibu, lakini ni swali linalo pitia kwako tu:
Swali ni hili: Sasa hivi, CHADEMA wameingizwa tena kwenye mkakati gani ili wasishughulikie kuongoza umma wa waTanzania kuelekea 2025?
Ume kwisha wasikia CHADEMA tena baada ya uchafuzi huu wanatuongoza vipi wananchi tukatae upumbavu unao fuata 2025?
Walisema kutakuwepo na kikao cha Kamati Kuu kujadili matokeo na kuamua nini kitakacho fuata. Wamevurugwa na wana chama wao kuuawa; sasa kimya!

Haikutii wasiwasi wewe mwananchi mwenzangu ambaye unategemea uongozi wa chama hicho kutuunganisha tudai haki yetu toka kwa CCM?
 
Wakuu,
Hizi failed attempts za utekaji na episodes za uvamizi uvamizi usio na akili unaofanywa na vikosi vya serikali ni mkakati bunifu wa ndani unaolenga kuliondoa taifa kwenye kujadili, kukemea na kupinga uhuni mkubwa na ovu dhidi ya chaguzi zilizofanyika.

Tusitoke relini wakuu
  1. Tuendelee kujadili yatokanayo na uchaguzi huo. Tuendelee kuibana serikali dhidi ya uhuni wanaoufanya kwa kushirikiana na CCM
  2. Mchengerwa na Samia tuwaambie wazi wazi kuwa ni maadui wa Taifa kwa kubuni, kufinance na kutekeleza mipango ovu dhidi ya demokrasia yetu
  3. CCM iendelee kupigwa spana. Hakuna kiongozi bora atakayetokana na CCM.
  4. Tuungane kupambania Katiba bora ya Wananchi. Tusipangiwe bali tupange wenyewe namna tunavyotaka kuongozwa
  5. Tuwapige spana polisi na TISS wasiwafanyie ugaidi Watanzania wanaohoji masuala mbalimbali ya nchi.

Tusife moyo
Natamani ile ajali ingekua ya "kitaifa" i idont care
 
Wakuu,
Hizi failed attempts za utekaji na episodes za uvamizi uvamizi usio na akili unaofanywa na vikosi vya serikali ni mkakati bunifu wa ndani unaolenga kuliondoa taifa kwenye kujadili, kukemea na kupinga uhuni mkubwa na ovu dhidi ya chaguzi zilizofanyika.

Tusitoke relini wakuu
  1. Tuendelee kujadili yatokanayo na uchaguzi huo. Tuendelee kuibana serikali dhidi ya uhuni wanaoufanya kwa kushirikiana na CCM
  2. Mchengerwa na Samia tuwaambie wazi wazi kuwa ni maadui wa Taifa kwa kubuni, kufinance na kutekeleza mipango ovu dhidi ya demokrasia yetu
  3. CCM iendelee kupigwa spana. Hakuna kiongozi bora atakayetokana na CCM.
  4. Tuungane kupambania Katiba bora ya Wananchi. Tusipangiwe bali tupange wenyewe namna tunavyotaka kuongozwa
  5. Tuwapige spana polisi na TISS wasiwafanyie ugaidi Watanzania wanaohoji masuala mbalimbali ya nchi.

Tusife moyo
Bahati mbaya sana tunaongozwa na wajinga watupu
 
Ninakubaliana nawe,...; lakini....

Ngoja nieleze kidogo:
Mara baada ya uchafuzi wa 2019 na 2020; kulikuwa na mfukuto mkubwa chini ya uongozi wa CHADEMA kuhimiza upatikanaji wa Katiba Mpya na Tume Huru ya Uchaguzi.
Mfukuto huo inajulikana jinsi ulivyo zimwa na hao hao unao wasema sasa "kutuondoa kwenye reli" wakati huu tukielekea 202 kwa kuingiza hayo uliyo yataja hapo juu ili tusahau haya ya 2024.

Unatusihi sisi wananchi tusikubali kuwekwa pembeni na kusahaulishwa.
Sasa nami nakuuliza wewe, pamoja na kwamba pengine huna jibu, lakini ni swali linalo pitia kwako tu:
Swali ni hili: Sasa hivi, CHADEMA wameingizwa tena kwenye mkakati gani ili wasishughulikie kuongoza umma wa waTanzania kuelekea 2025?
Ume kwisha wasikia CHADEMA tena baada ya uchafuzi huu wanatuongoza vipi wananchi tukatae upumbavu unao fuata 2025?
Walisema kutakuwepo na kikao cha Kamati Kuu kujadili matokeo na kuamua nini kitakacho fuata. Wamevurugwa na wana chama wao kuuawa; sasa kimya!

Haikutii wasiwasi wewe mwananchi mwenzangu ambaye unategemea uongozi wa chama hicho kutuunganisha tudai haki yetu toka kwa CCM?
CHADEMA ni chama cha siasa ambacho kilijipambanua kusimama na wananchi hususani kwenye suala la Katiba na Haki.

Lakini nionavyo mimi naona wazi kabisa tusitegemee sana vyama vya siasa maana kama wananchi tunalazimishwa kutumia siasa kuamua hatima ya nchi yetu, haikubaliki na lazima tukatae kuporwa nchi yetu na wanasiasa.

Ukisoma hoja yangu uliyoinukuu utaona sijataja utegemezi wa chama au siasa. Tusimame kama wananchi. Ni rahisi kuungana na kusimama
 
CCM ina viongozi wengi wazuri na wanaopenda haki, akiwemo Rais wetu na Katibu Mkuu wa Chama. Lakini ndani ya CCM wanafiki, watu wa fitna na wakujipendekeza ni wengi mno; na ndiyo wanaoharibu hiki chama.
Tulikosea sana kuacha chama kwa wajinga na matahayira wa siasa... !!!!
 
Wakuu,
Hizi failed attempts za utekaji na episodes za uvamizi uvamizi usio na akili unaofanywa na vikosi vya serikali ni mkakati bunifu wa ndani unaolenga kuliondoa taifa kwenye kujadili, kukemea na kupinga uhuni mkubwa na ovu dhidi ya chaguzi zilizofanyika.

Tusitoke relini wakuu
  1. Tuendelee kujadili yatokanayo na uchaguzi huo. Tuendelee kuibana serikali dhidi ya uhuni wanaoufanya kwa kushirikiana na CCM
  2. Mchengerwa na Samia tuwaambie wazi wazi kuwa ni maadui wa Taifa kwa kubuni, kufinance na kutekeleza mipango ovu dhidi ya demokrasia yetu
  3. CCM iendelee kupigwa spana. Hakuna kiongozi bora atakayetokana na CCM.
  4. Tuungane kupambania Katiba bora ya Wananchi. Tusipangiwe bali tupange wenyewe namna tunavyotaka kuongozwa
  5. Tuwapige spana polisi na TISS wasiwafanyie ugaidi Watanzania wanaohoji masuala mbalimbali ya nchi.

Tusife moyo
hakuna haja ya kung'ang'ana na porojo,

kama taifa yafaa kuanza maandalizi ya uchaguzi mkuu wa Oct 2025.full stop 🐒
 
Back
Top Bottom