Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
pengine hakukukusudia kwakuwa hata mi iliwah tokea dem amanyonya ulimi hadi nahc ulimi wangu unataka kuchomoka kama nakatwa nikamtowa chap nadhani alizidiwa na utam.Ila anaweza jitetea alipatwa na usingizi akajikuta kafunga meno huku ulimi wa mwenzie ukipata majeraha
Kwanza wanabadilishana mate ili iweje? Na mimi nimezeeka kwa kweli. 😀Kumbe mkiwa mnajamiiana mnapigana na Kiss sijui ndiyo kubadirishana mate?
Kweli nimezeeka 🙆
Hivi mpaka vijijini mambo ya denda yamefika!! 😳😳Gembe Singu (32) mkazi wa kijiji cha Mwamakalanga wilayani Shinyanga anadaiwa kung’atwa ulimi na mpenzi wake, Leticia Elias (40) wakati wakijamiiana.
Inadaiwa wapenzi hao walikuwa na ugomvi, na siku ya tukio mwanamke huyo alimuita Singu nyumbani kwake ili wazungumze na kumaliza tofauti zao.
Akisimulia tukio hilo kaka wa kijana huyo, Makoye Singu amedai mkasa huo umetokea Septemba 29, 2022 majira ya saa tatu usiku, na baada ya ndugu yake kupata majeraha hayo walimpeleka hospitali ya Rufani ya Mkoa wa Shinyanga ili kupatiwa matibabu
Ameongeza kuwa hali ya ndugu yake bado si nzuri kwani bado hawezi kuongea vizuri na anakula chakula kwa shida licha ya kuwa anaendelea na matibabu.
Naye Kamanda wa Polisi mkoani Shinyanga, Janeth Magomi amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kubainisha kuwa mtuhumiwa anashikiliwa na Polisi na kwamba upelelezi ukikamilika atafikishwa mahakamani.
Chanzo: Swahili Times
Ni hatari sana wakati wa kufika mshindo so sio sawa kudenduana kwenye Hali hiyo.Gembe Singu (32) mkazi wa kijiji cha Mwamakalanga wilayani Shinyanga anadaiwa kung’atwa ulimi na mpenzi wake, Leticia Elias (40) wakati wakijamiiana.
Inadaiwa wapenzi hao walikuwa na ugomvi, na siku ya tukio mwanamke huyo alimuita Singu nyumbani kwake ili wazungumze na kumaliza tofauti zao.
Akisimulia tukio hilo kaka wa kijana huyo, Makoye Singu amedai mkasa huo umetokea Septemba 29, 2022 majira ya saa tatu usiku, na baada ya ndugu yake kupata majeraha hayo walimpeleka hospitali ya Rufani ya Mkoa wa Shinyanga ili kupatiwa matibabu
Ameongeza kuwa hali ya ndugu yake bado si nzuri kwani bado hawezi kuongea vizuri na anakula chakula kwa shida licha ya kuwa anaendelea na matibabu.
Naye Kamanda wa Polisi mkoani Shinyanga, Janeth Magomi amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kubainisha kuwa mtuhumiwa anashikiliwa na Polisi na kwamba upelelezi ukikamilika atafikishwa mahakamani.
Chanzo: Swahili Times
Kumbe mkiwa mnajamiiana mnapigana na Kiss sijui ndiyo kubadirishana mate?
Kweli nimezeeka 🙆kweli umezeekayani deep kisses uku mkuyange upo ndani,unaingiza taratibu na kutoa
Kweli umezeeka,hii upate mtu anayeiwezea slowly hakuna papara,unaweza mkatisha mtt wa kike pumzi kwa utamu ukabaki na kesiKumbe mkiwa mnajamiiana mnapigana na Kiss sijui ndiyo kubadirishana mate?
Kweli nimezeeka 🙆
Utasema Kuna mmoja ameishiwa mate kwahiyo ana recharge 😂Kwanza wanabadilishana mate ili iweje? Na mimi nimezeeka kwa kweli. 😀
Kwa kufanya hivyo manake mtoto wa kike ndiyo anazidi kuinjoi huko kujamiiana au wote?Kweli umezeeka,hii upate mtu anayeiwezea slowly hakuna papara,unaweza mkatisha mtt wa kike pumzi kwa utamu ukabaki na kesi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wasukuma hawajui deep kiss
Gembe Singu (32) mkazi wa kijiji cha Mwamakalanga wilayani Shinyanga anadaiwa kung’atwa ulimi na mpenzi wake, Leticia Elias (40) wakati wakijamiiana.
Inadaiwa wapenzi hao walikuwa na ugomvi, na siku ya tukio mwanamke huyo alimuita Singu nyumbani kwake ili wazungumze na kumaliza tofauti zao.
Akisimulia tukio hilo kaka wa kijana huyo, Makoye Singu amedai mkasa huo umetokea Septemba 29, 2022 majira ya saa tatu usiku, na baada ya ndugu yake kupata majeraha hayo walimpeleka hospitali ya Rufani ya Mkoa wa Shinyanga ili kupatiwa matibabu
Ameongeza kuwa hali ya ndugu yake bado si nzuri kwani bado hawezi kuongea vizuri na anakula chakula kwa shida licha ya kuwa anaendelea na matibabu.
Naye Kamanda wa Polisi mkoani Shinyanga, Janeth Magomi amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kubainisha kuwa mtuhumiwa anashikiliwa na Polisi na kwamba upelelezi ukikamilika atafikishwa mahakamani.
Chanzo: Swahili Times
kama wakili namtetea mteja wangu akumng'ata ulimi kwa kukusudia alikuwa anamtania naomba mahakam mumsamehe tu yaisheGembe Singu (32) mkazi wa kijiji cha Mwamakalanga wilayani Shinyanga anadaiwa kung’atwa ulimi na mpenzi wake, Leticia Elias (40) wakati wakijamiiana.
Inadaiwa wapenzi hao walikuwa na ugomvi, na siku ya tukio mwanamke huyo alimuita Singu nyumbani kwake ili wazungumze na kumaliza tofauti zao.
Akisimulia tukio hilo kaka wa kijana huyo, Makoye Singu amedai mkasa huo umetokea Septemba 29, 2022 majira ya saa tatu usiku, na baada ya ndugu yake kupata majeraha hayo walimpeleka hospitali ya Rufani ya Mkoa wa Shinyanga ili kupatiwa matibabu
Ameongeza kuwa hali ya ndugu yake bado si nzuri kwani bado hawezi kuongea vizuri na anakula chakula kwa shida licha ya kuwa anaendelea na matibabu.
Naye Kamanda wa Polisi mkoani Shinyanga, Janeth Magomi amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kubainisha kuwa mtuhumiwa anashikiliwa na Polisi na kwamba upelelezi ukikamilika atafikishwa mahakamani.
Chanzo: Swahili Times
😄Haya ntawqfundisha, I miss you[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wafundishe ndugu zako...