Ang’atwa ulimi na mpenzi wake wakijamiiana usiku

Ang’atwa ulimi na mpenzi wake wakijamiiana usiku

🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nacheka kama mazuri mimi
 
Ila anaweza jitetea alipatwa na usingizi akajikuta kafunga meno huku ulimi wa mwenzie ukipata majeraha
pengine hakukukusudia kwakuwa hata mi iliwah tokea dem amanyonya ulimi hadi nahc ulimi wangu unataka kuchomoka kama nakatwa nikamtowa chap nadhani alizidiwa na utam.

Jambo lingine pengine amefanya kusudi ili amkomeshe.

Pole yake.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Bahati yake kabakiziwa kipande cha kuweza hata kumeza chakula
 
Gembe Singu (32) mkazi wa kijiji cha Mwamakalanga wilayani Shinyanga anadaiwa kung’atwa ulimi na mpenzi wake, Leticia Elias (40) wakati wakijamiiana.

Inadaiwa wapenzi hao walikuwa na ugomvi, na siku ya tukio mwanamke huyo alimuita Singu nyumbani kwake ili wazungumze na kumaliza tofauti zao.

Akisimulia tukio hilo kaka wa kijana huyo, Makoye Singu amedai mkasa huo umetokea Septemba 29, 2022 majira ya saa tatu usiku, na baada ya ndugu yake kupata majeraha hayo walimpeleka hospitali ya Rufani ya Mkoa wa Shinyanga ili kupatiwa matibabu

Ameongeza kuwa hali ya ndugu yake bado si nzuri kwani bado hawezi kuongea vizuri na anakula chakula kwa shida licha ya kuwa anaendelea na matibabu.

Naye Kamanda wa Polisi mkoani Shinyanga, Janeth Magomi amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kubainisha kuwa mtuhumiwa anashikiliwa na Polisi na kwamba upelelezi ukikamilika atafikishwa mahakamani.

Chanzo: Swahili Times
Hivi mpaka vijijini mambo ya denda yamefika!! 😳😳
 
Ndio mana nikijua mwezi huu sipo sawa na mama kayai,

hata akinipa simpi chululuu anyonye,asije igeuza ngubiti bureee
 
Kuna maeneo wanaume muwe makini sio mnayatoa toa tu

sasa unampa ulimi wote ulikua unampa wa nini,haya kapita nao sasa

kula huli kuongea ndio unaongea kama mtoto anaeanza ongea leo,mapenzi

ni kitendo cha mwisho kabisa baada ya kuhakikisha moyo wa mwenzako una amani 100%
 
Gembe Singu (32) mkazi wa kijiji cha Mwamakalanga wilayani Shinyanga anadaiwa kung’atwa ulimi na mpenzi wake, Leticia Elias (40) wakati wakijamiiana.

Inadaiwa wapenzi hao walikuwa na ugomvi, na siku ya tukio mwanamke huyo alimuita Singu nyumbani kwake ili wazungumze na kumaliza tofauti zao.

Akisimulia tukio hilo kaka wa kijana huyo, Makoye Singu amedai mkasa huo umetokea Septemba 29, 2022 majira ya saa tatu usiku, na baada ya ndugu yake kupata majeraha hayo walimpeleka hospitali ya Rufani ya Mkoa wa Shinyanga ili kupatiwa matibabu

Ameongeza kuwa hali ya ndugu yake bado si nzuri kwani bado hawezi kuongea vizuri na anakula chakula kwa shida licha ya kuwa anaendelea na matibabu.

Naye Kamanda wa Polisi mkoani Shinyanga, Janeth Magomi amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kubainisha kuwa mtuhumiwa anashikiliwa na Polisi na kwamba upelelezi ukikamilika atafikishwa mahakamani.

Chanzo: Swahili Times
Ni hatari sana wakati wa kufika mshindo so sio sawa kudenduana kwenye Hali hiyo.
 
Kumbe mkiwa mnajamiiana mnapigana na Kiss sijui ndiyo kubadirishana mate?

Kweli nimezeeka 🙆kweli umezeekayani deep kisses uku mkuyange upo ndani,unaingiza taratibu na kutoa

Kumbe mkiwa mnajamiiana mnapigana na Kiss sijui ndiyo kubadirishana mate?

Kweli nimezeeka 🙆
Kweli umezeeka,hii upate mtu anayeiwezea slowly hakuna papara,unaweza mkatisha mtt wa kike pumzi kwa utamu ukabaki na kesi
 
Kwanza wanabadilishana mate ili iweje? Na mimi nimezeeka kwa kweli. 😀
Utasema Kuna mmoja ameishiwa mate kwahiyo ana recharge 😂

Huku Kijijini kwetu hatuna hayo mambo, na Mama Bhoke anajua utaratibu🙊
 
Kweli umezeeka,hii upate mtu anayeiwezea slowly hakuna papara,unaweza mkatisha mtt wa kike pumzi kwa utamu ukabaki na kesi
Kwa kufanya hivyo manake mtoto wa kike ndiyo anazidi kuinjoi huko kujamiiana au wote?

Na what if akakung'ata kama hivyo?

Bora nimejizeekea hayo yamenipita 🙌
 
Screenshot_20220921-064238.jpg
 
Kuna demu wangu wa kisukuma yani hana romance kabisa tukikutana ananitupa kitandani hamna denda kupima oil kuzama chumvini Wala nini. Nikimfikisha kileleni yani violence ananing'ata balaa na kunipiga makonzi ya kutosha. Nabaki tu kushangaa WTF!
 
Gembe Singu (32) mkazi wa kijiji cha Mwamakalanga wilayani Shinyanga anadaiwa kung’atwa ulimi na mpenzi wake, Leticia Elias (40) wakati wakijamiiana.

Inadaiwa wapenzi hao walikuwa na ugomvi, na siku ya tukio mwanamke huyo alimuita Singu nyumbani kwake ili wazungumze na kumaliza tofauti zao.

Akisimulia tukio hilo kaka wa kijana huyo, Makoye Singu amedai mkasa huo umetokea Septemba 29, 2022 majira ya saa tatu usiku, na baada ya ndugu yake kupata majeraha hayo walimpeleka hospitali ya Rufani ya Mkoa wa Shinyanga ili kupatiwa matibabu

Ameongeza kuwa hali ya ndugu yake bado si nzuri kwani bado hawezi kuongea vizuri na anakula chakula kwa shida licha ya kuwa anaendelea na matibabu.

Naye Kamanda wa Polisi mkoani Shinyanga, Janeth Magomi amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kubainisha kuwa mtuhumiwa anashikiliwa na Polisi na kwamba upelelezi ukikamilika atafikishwa mahakamani.

Chanzo: Swahili Times
Gembe Singu (32) mkazi wa kijiji cha Mwamakalanga wilayani Shinyanga anadaiwa kung’atwa ulimi na mpenzi wake, Leticia Elias (40) wakati wakijamiiana.

Inadaiwa wapenzi hao walikuwa na ugomvi, na siku ya tukio mwanamke huyo alimuita Singu nyumbani kwake ili wazungumze na kumaliza tofauti zao.

Akisimulia tukio hilo kaka wa kijana huyo, Makoye Singu amedai mkasa huo umetokea Septemba 29, 2022 majira ya saa tatu usiku, na baada ya ndugu yake kupata majeraha hayo walimpeleka hospitali ya Rufani ya Mkoa wa Shinyanga ili kupatiwa matibabu

Ameongeza kuwa hali ya ndugu yake bado si nzuri kwani bado hawezi kuongea vizuri na anakula chakula kwa shida licha ya kuwa anaendelea na matibabu.

Naye Kamanda wa Polisi mkoani Shinyanga, Janeth Magomi amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kubainisha kuwa mtuhumiwa anashikiliwa na Polisi na kwamba upelelezi ukikamilika atafikishwa mahakamani.

Chanzo: Swahili Times
kama wakili namtetea mteja wangu akumng'ata ulimi kwa kukusudia alikuwa anamtania naomba mahakam mumsamehe tu yaishe
 
Back
Top Bottom