#COVID19 Angekubali Chanjo na kuchukua tahadhari mapema, mpaka leo huenda tungekuwa naye

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
COVID-19🦠😷inaua hadi wataalamu wa afya wanaotuelimisha jinsi ya kujikinga
 
ndio iliyomuua kwani uongo ubishi,dharau,na ubabe akasahau kuwa virus hana cha mbabe akikuingia lazima apite na wewe kushoto.
Watu wanakufa kwa COVID-19🦠😷kila siku
Hata wewe siyo kwamba uko salama sana ni swala la muda tu
Mikutano ya wanasiasa inaendelea kama kawaida, msongamano kwenye usafiri, viwanja vya mpira, makanisani, misibani, nk hapo waliochanjwa mpaka sasa hawafiki laki 4
 
Samia nenda naye wewe na mmeo, hatutaki madikteta
Samia sio dikteta ila dharau za wapinzani zimemfanya awaonyeshe kidogo mamlaka yake,

hiyo ni introduction mkitaka picha kamili mtalipata
 
Mbona mnakwepa kumjibu GWAJIMA? Ukichanjwa barakoa ya nini?
Kuchanjwa hakuzuii kupata maambukizo bali kunaongeza uwezo wa mwili kupambana usiugue sana au kidedi kabisa.
Ndio maana ya barakoa.
 
Samia sio dikteta ila dharau za wapinzani zimemfanya awaonyeshe kidogo mamlaka yake,

hiyo ni introduction mkitaka picha kamili mtalipata
Magufuli mbabe yuko wapi?
 
πŸ˜ƒπŸ˜ƒ You moron watch out!
The ending scope of your understanding, is just my beginning
 
Kwakweli tuna mijinga mingi sana kama wewe. Mada hajaielewa halafu unakimbilia kubwabwaja ujinga hapa. Soma upya acha ubishi wewe.
I never knew that I'm responding to an idiotic new JF member.
Kasome hizi hypothesis mbili.
1.null hypothesis
2.alternate hypothesis

Mbwiga wewe.
 
I never knew that I'm responding to an idiotic new JF member.
Kasome hizi hypothesis mbili.
1.null hypothesis
2.alternate hypothesis

Mbwiga wewe.
unafikiri ukiandika hutwo tuvingereza ndio utaonekana unaakili? wewe ni mjinga na mshamba hiyo iko wazi
 
kwa hali inayoendelea kumsema vibaya magufuli inatakiwa uwe na roho ngumu kama paka.

tena kwenye swala la covid huko,ndio usijaribu.
 
I never knew that I'm responding to an idiotic new JF member.
Kasome hizi hypothesis mbili.
1.null hypothesis
2.alternate hypothesis

Mbwiga wewe.
Kuwa na ID mpya si hoja. Kifupi umetapika halafu unataka watu wakupigie makofi , hapana.
 
πŸ˜ƒπŸ˜ƒ You moron watch out!
The ending scope of your understanding, is just my beginning

πŸ˜ƒπŸ˜ƒ You moron watch out!
The ending scope of your understanding, is just my beginning
Unajidanganya sana dogo. Kwa kutapika kule hapana aisee. Kifupi nakuona ni mtu naive fulani unayejidai mwelevu. Kama ungelisoma ile mada vizuri usingeonesha kiwango cha upumbavu wako hapa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…