Bepari la bariadi
JF-Expert Member
- Jun 25, 2016
- 420
- 671
Kuwa na ID mpya si hoja. Kifupi umetapika halafu unataka watu wakupigie makofi , hapana.
Kuwa na ID mpya si hoja. Kifupi umetapika halafu unataka watu wakupigie makofi , hapana.
Hiyo ni mada ya kipumbavu kutoka kwa mpumbavu.Unajidanganya sana dogo. Kwa kutapika kule hapana aisee. Kifupi nakuona ni mtu naive fulani unayejidai mwelevu. Kama ungelisoma ile mada vizuri usingeonesha kiwango cha upumbavu wako hapa.
Unogeshe na ile picha ya kuzimu tafadhaliUzi bora wa muda wote.
Tupate funzo kupitia hili, Sio kwamba unapokua mkubwa kifedha/kimadaraka ni unaona kila mtu unamzidi akili, hapana Mungu alituumba akatupa akili akatubariki akatufanya tuishi kwa kutegemeana ili kutatua mambo mbali mbali ya duniani.
Mungu akawabariki wataalamu mbalimbali, watabibu, waalimu, wahasibu, wanajeshi, wanasayansi, wakulima, wafanyabiashara, wavuvi, wanamichezo nk.
hawa wote tunaishi kwa kutegemeana ili maisha yasonge, mimi muhasibu nikiugua nitaenda kwa mtabibu, mwanajeshi akitaka kula ataenda kwa mkulima, mwanasiasa akitaka haki ataenda kwa wanasheria wamsaidie, mwalimu akipata tatizo la kiusalama ataenda polisi, polisi akitaka elimu atarudi kwa mwalimu, hivyohivyo kwa wote.
inapotokea wewe umewadharau wenzio na kuona unaakili kuliko wote ndugu yangu unajidanganya.
matabibu wamekwambia ukiwa na ugonjwa sugu tafadhari zingatia miongozo kwa usahihi maana upo kwenye risk kubwa, wewe kwa kiburi chako ukaona unacheo kikubwa na kuwadharau wengine ukijiona umewazidi akili matokeo yake utayaona.
wewe mmoja huwezi kuwa mkemia, ukawa mtabibu, ukawa mwalimu, ukawa mchungaji, ukawa mfamasia, ukawa mwanasaikolojia tafadhali heshimu kada za wengine.
ndugu yangu kufa kupo lakini na kufa kijinga kupo,
bibilia inasema usiwe mjinga kupita kiasi ukafa kabla ya siku zako
Mhubiri 7:17
Usiwe mwovu kupita kiasi;
Wala usiwe mpumbavu;
Kwani ufe kabla ya wakati wako?
Kwa maana hiyo ni kwamba sio kila mtu anaekufa basi ni wakati wake, wengine hufa kabla ya wakati kwa upumbavu.
Pengine ungeheshimu taaluma za watu ukachukua tahadhari mpaka leo tungekua pamoja tukiijenga Tanzania Mama,
Dharau na kibuli havijawai kumuacha mtu salama tangu kuumbwa kwa misingi ya ulimwengu huu
View attachment 1924317
Historia itamkumbuka kama Raisi mjinga na mpumbavuHakika nilijua atasahaulika ,kumbe bado na bado haswa ,hakika alikuwa mwamba wa Afrika na dunia kwa Ujumla.
Heko kwako pia unaeamini uviko ndio umemuua hayati
Hivi ukimiza dawa za malaria basi unaruhusa ya kulala bila net!??Mbona mnakwepa kumjibu GWAJIMA? Ukichanjwa barakoa ya nini?
Vichwa vipo ila vina majiWaga mnajisikia kukereka Sana na watu wa kanda ya ziwa ee.
Waga Kuna vichwa huko usipime.
Waga mnajisikia kukereka Sana na watu wa kanda ya ziwa ee.
Waga Kuna vichwa huko usipime.
Kuzuia maambukizi, na Pia kulinda wasiochanja kwasababu aliyechanja anaweza kupata maambukizi na asitambulike (huwa hawapati active cases)Mbona mnakwepa kumjibu GWAJIMA? Ukichanjwa barakoa ya nini?
Ebu soma Mhubiri 7:17 kwanza bwashee.Akili matope, hata bila chanjo akikutaka utakwenda upende usipende.
🤣🤣🤣Unogeshe na ile picha ya kuzimu tafadhali
[emoji23][emoji23][emoji23]Historia itamkumbuka kama Raisi mjinga na mpumbavu
Swali la kijinga kwa wajingaMbona mnakwepa kumjibu GWAJIMA? Ukichanjwa barakoa ya nini?
Kuna msemo usemwao, "lisemwalo lipo kama halipo linakuja", hili jambo liliwahi kusemwa humu na kweli likaja kutokea just coincidentaly just by coïncidence kama mwaka 2014 mimi niliposema ... Elections 2015 - Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli na kweli ikaja kutokea kweli.kufa kupo lakini na kufa kijinga kupo,
bibilia inasema usiwe mjinga kupita kiasi ukafa kabla ya siku zako
Mhubiri 7:17
Usiwe mwovu kupita kiasi;
Wala usiwe mpumbavu;
Kwani ufe kabla ya wakati wako?
Kwa maana hiyo ni kwamba sio kila mtu anaekufa basi ni wakati wake, wengine hufa kabla ya wakati kwa upumbavu.
Ila jamaa aliwaokoa maelfu kwa kukataa kuweka lockdown kama hapo jirani kwa Kagame & M7
wewe uyo malaika mtoa roho ulimsoma wapi?Kuna msemo usemwao, "lisemwalo lipo kama halipo linakuja", hili jambo liliwahi kusemwa humu na kweli likaja kutokea just coincidentaly just by coïncidence kama mwaka 2014 mimi niliposema ... Elections 2015 - Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli na kweli ikaja kutokea kweli.
Ukweli ni "liandikwalo ndilo liwalo". Maisha yote ya binadamu au mwanadamu, yanapangwa na Mungu na unakuwa umeandikiwa kila kitu ile siku unazaliwa. Hivyo mapito yako yote yanakuwa yaliisha pangwa hadi utakuwa nani, utakufa lini na utakufaje, ni Mungu tuu ndiye anayejua.
Malaika mtoa roho, Iziraeli, humpitia kila mwanadamu mara Saba mara sabini daily ili ukifika muda wako, asipitishe hata nukta moja ya sekunde.
Hivyo kila mtu atakufa muda ule na kifo kile alichoandikiwa. Na ikitokea siku yako na saa yako haijafika, hata utendewe vipi, haufi, mfano mzuri ni tukio la shambulio la Tundu Lissu, kikawaida risasi moja tuu inatosha kuitoa roho ya binadamu, Tundu Lissu amepigwa risasi 16, ili auwawe, na kweli zote zimempata lakini hakufa, Jee unajua sababu ni kwanini hakufa?. Sababu ni moja tuu, saa yake ilikuwa haijafika.
Uhai ni kazi ya Mungu na kifo ni kazi ya Mungu, kila mtu atakufa siku ile, saa ile na kifo kile alichoandikiwa. Hii hoja yako kuwa angekubali chanjo na kuchukua hatua, angekuwepo, sio hoja ya kweli, hata kama angekubali chanjo na kuchukua hatua zote, kama saa yako uliyoandikiwa imefika, ni saa imefika, na unakwenda.
P
PUMBA SANA WA HEADTupate funzo kupitia hili, Sio kwamba unapokua mkubwa kifedha/kimadaraka ni unaona kila mtu unamzidi akili, hapana Mungu alituumba akatupa akili akatubariki akatufanya tuishi kwa kutegemeana ili kutatua mambo mbali mbali ya duniani.
Mungu akawabariki wataalamu mbalimbali, watabibu, waalimu, wahasibu, wanajeshi, wanasayansi, wakulima, wafanyabiashara, wavuvi, wanamichezo nk.
Hawa wote tunaishi kwa kutegemeana ili maisha yasonge, mimi muhasibu nikiugua nitaenda kwa mtabibu, mwanajeshi akitaka kula ataenda kwa mkulima, mwanasiasa akitaka haki ataenda kwa wanasheria wamsaidie, mwalimu akipata tatizo la kiusalama ataenda polisi, polisi akitaka elimu atarudi kwa mwalimu, hivyohivyo kwa wote.
Inapotokea wewe umewadharau wenzio na kuona unaakili kuliko wote ndugu yangu unajidanganya.
Matabibu wamekwambia ukiwa na ugonjwa sugu tafadhari zingatia miongozo kwa usahihi maana upo kwenye risk kubwa, wewe kwa kiburi chako ukaona unacheo kikubwa na kuwadharau wengine ukijiona umewazidi akili matokeo yake utayaona.
Wewe mmoja huwezi kuwa mkemia, ukawa mtabibu, ukawa mwalimu, ukawa mchungaji, ukawa mfamasia, ukawa mwanasaikolojia tafadhali heshimu kada za wengine.
Ndugu yangu kufa kupo lakini na kufa kijinga kupo,
bibilia inasema usiwe mjinga kupita kiasi ukafa kabla ya siku zako
Mhubiri 7:17
Usiwe mwovu kupita kiasi;
Wala usiwe mpumbavu;
Kwani ufe kabla ya wakati wako?
Kwa maana hiyo ni kwamba sio kila mtu anaekufa basi ni wakati wake, wengine hufa kabla ya wakati kwa upumbavu.
Pengine ungeheshimu taaluma za watu ukachukua tahadhari mpaka leo tungekua pamoja tukiijenga Tanzania Mama,
Dharau na kibuli havijawai kumuacha mtu salama tangu kuumbwa kwa misingi ya ulimwengu huu
View attachment 1924317
Ngebe za kinyegezinyegezi zitakuponza. Kati ya hizo chanjo ni ipi inayokubalika?? Haiwezekani kila nchi iwe na aina yake ya chanjo. Ukita kwenda china wa nataka aina yao ya chanjo, ukitakwenda Saudi aina yao, Ukitakwenda US, n.k, sasa wewe kama ni mfanyabiashara siutakuwa zombie???. Mu-head inaonyesha hamnazoTupate funzo kupitia hili, Sio kwamba unapokua mkubwa kifedha/kimadaraka ni unaona kila mtu unamzidi akili, hapana Mungu alituumba akatupa akili akatubariki akatufanya tuishi kwa kutegemeana ili kutatua mambo mbali mbali ya duniani.
Mungu akawabariki wataalamu mbalimbali, watabibu, waalimu, wahasibu, wanajeshi, wanasayansi, wakulima, wafanyabiashara, wavuvi, wanamichezo nk.
Hawa wote tunaishi kwa kutegemeana ili maisha yasonge, mimi muhasibu nikiugua nitaenda kwa mtabibu, mwanajeshi akitaka kula ataenda kwa mkulima, mwanasiasa akitaka haki ataenda kwa wanasheria wamsaidie, mwalimu akipata tatizo la kiusalama ataenda polisi, polisi akitaka elimu atarudi kwa mwalimu, hivyohivyo kwa wote.
Inapotokea wewe umewadharau wenzio na kuona unaakili kuliko wote ndugu yangu unajidanganya.
Matabibu wamekwambia ukiwa na ugonjwa sugu tafadhari zingatia miongozo kwa usahihi maana upo kwenye risk kubwa, wewe kwa kiburi chako ukaona unacheo kikubwa na kuwadharau wengine ukijiona umewazidi akili matokeo yake utayaona.
Wewe mmoja huwezi kuwa mkemia, ukawa mtabibu, ukawa mwalimu, ukawa mchungaji, ukawa mfamasia, ukawa mwanasaikolojia tafadhali heshimu kada za wengine.
Ndugu yangu kufa kupo lakini na kufa kijinga kupo,
bibilia inasema usiwe mjinga kupita kiasi ukafa kabla ya siku zako
Mhubiri 7:17
Usiwe mwovu kupita kiasi;
Wala usiwe mpumbavu;
Kwani ufe kabla ya wakati wako?
Kwa maana hiyo ni kwamba sio kila mtu anaekufa basi ni wakati wake, wengine hufa kabla ya wakati kwa upumbavu.
Pengine ungeheshimu taaluma za watu ukachukua tahadhari mpaka leo tungekua pamoja tukiijenga Tanzania Mama,
Dharau na kibuli havijawai kumuacha mtu salama tangu kuumbwa kwa misingi ya ulimwengu huu
View attachment 1924317