SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Haya niambieNikikwambia hata sasa hao unaodhani ni wataalamu, hawajui wanachokitafuta wanapoamua kukupima covid-19 utaamini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya niambieNikikwambia hata sasa hao unaodhani ni wataalamu, hawajui wanachokitafuta wanapoamua kukupima covid-19 utaamini?
Wataalamu hawajui wanachokitafuta wanapoamua kukupima covid-19Haya niambie
Weka ushahidi wa kisayansi wa pingamizi lako juu ya weledi wa hao wanasayansi vilazaWataalamu hawajui wanachokitafuta wanapoamua kukupima covid-19
Alikuwa kiongozi bora Tanzania
Ukitaka kubisha anza kuulizia habari zake kwenye familia yako..
Tena anza na mkeo
Wala tusijisumbue na kama angelifanya , tukumbuke ya kuwa sikuzako zikifika, hamna namna yakufanya tena. Kwani Maleria haina dawa, mbona inaua? Kwa hiyo tusipende kuongelea walio lala ilihali yetu wazima yametushinda.Acha usenge jamaa. Unaona chanjo ndiyo itakufanya usife kabisa
Yaani aliyechanjwa anajiona Yuko immortalized kabisaa! Pathetic waahid
Nani anaweza kuongeza urefu wa maisha take kwa kujitaabisha?
Kama hamuwezi kufanya Jambo dogo Kama Hilo utawezaje kuisemea kesho enyi kizazi chenye Imani haba?
Sina hata chembe ya ushahidi boss, nimejibu tu hoja kama ilivyoletwa na mleta hoja, mada ubaoni haina ushaidi wowote wa kisayansi kuthibitisha madai hayo, kwanini mimi niweke ushahidi?Weka ushahidi wa kisayansi wa pingamizi lako juu ya weledi wa hao wanasayansi vilaza
Unajuaje? Mkuu, kwani wave ya kwanza si iliua sana ulimwenguni? Usitolee conclusion kitu ambacho hujui.Mwenyezi Mungu fundi kweli kweli, just imagine kama lijiwe lingekuepo adi sasa na hili wave ya delta ya sasa hivi, roho za waTZ zingeteketea kama nzige na ingekuwa balaa tupu………,
Wa kanda matiti utawajua kwa povuAcha usenge jamaa. Unaona chanjo ndiyo itakufanya usife kabisa
Yaani aliyechanjwa anajiona Yuko immortalized kabisaa! Pathetic waahid
Nani anaweza kuongeza urefu wa maisha take kwa kujitaabisha?
Kama hamuwezi kufanya Jambo dogo Kama Hilo utawezaje kuisemea kesho enyi kizazi chenye Imani haba?
Basi kausha, ila hii Corona imetuletea tozoSina hata chembe ya ushahidi boss, nimejibu tu hoja kama ilivyoletwa na mleta hoja, mada ubaoni haina ushaidi wowote wa kisayansi kuthibitisha madai hayo, kwanini mimi niweke ushahidi?
Au kuna ushahidi wowote wa kisayansi uliowekwa na mwenye mada? Kama ungekuwepo, nisingetia mguu aisee.
🤣Basi kausha, ila hii Corona imetuletea tozo
huyo gaid ndio basha wako nnMbowe ni gaidi kanasa uwe mpole
Kelele zote za mnataka chanjo kumbe mlikuwa laki 3 tu nchi nzima...pambafu kabisaMwenyezi Mungu fundi kweli kweli, just imagine kama lijiwe lingekuepo adi sasa na hili wave ya delta ya sasa hivi, roho za waTZ zingeteketea kama nzige na ingekuwa balaa tupu………,
Imani na Akili Kinatangulia Nini?Acha usenge jamaa. Unaona chanjo ndiyo itakufanya usife kabisa
Yaani aliyechanjwa anajiona Yuko immortalized kabisaa! Pathetic waahid
Nani anaweza kuongeza urefu wa maisha take kwa kujitaabisha?
Kama hamuwezi kufanya Jambo dogo Kama Hilo utawezaje kuisemea kesho enyi kizazi chenye Imani haba?
Hivi una akili zinakutosha kweli wewe? Lockdown zinaua watu hadi useme eti aliwaokoa watu na Lockdown?Ila jamaa aliwaokoa maelfu kwa kukataa kuweka lockdown kama hapo jirani kwa Kagame & M7