Angekuwa Magufuli kesho tungeamka na Breaking News ya Waziri wa michezo kutumbuliwa

Sio rahisi kumtumbua kwakua mhusika ni kutoka kanda ya ziwa " bashingwe"
 
Kwa hili Mama nimemchukia achukue hatua mapema.Uzuri Mashabiki wa pande mbili walikuwa pamoja.Ingetokea kupingana sahizi tulikuwa tuonge mengine.Hongera sana Yanga na Simba kwa ukomavu kulinda amani ya Watanzania.
 
Mkuu kwani Bashungwa aliamua yeye au alipewa amri, haya sasa angekuwa haya yamefanywa enzi za mwendazake tungesikia mengi ya kulaani na maneno mengi ya kuudhi na kejeli, haya sasa KAZI IENDELEE
 
Yan ww bhna unamlauma bashungwa wkt na yeye kapewa maelkezo kutoka juu,itoshe kusema Tanzania ni nchi ya hovyo,ccm na serkal yake wnaharb sana had wanaboa
 
Sema ueleweke badala ya kujiambia ukaamini umewaambia wana jamvi. nini pwenti yako hapa?
 
Huenda reasoning capacity yake ilikua na hitilafu. Tena kesho ni Jumapili? Ile siku yake pendwa! Dah saa hizi anawaongoza malaika kuimba kwaya huko
 
Mh
 
Mkuu umeongea jambo zuri sana
 
Angekuwa, ila ndio sio...tuweke kumbukumbu sawa alimbeba Makonda kwa mbeleko imara mithili ya chuma mpaka dakika za lala salama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…