Angekuwa ndio Magufuli kapokea report ya CAG leo, naamini angefanya maamuzi haya ya kishujaa...

Angekuwa ndio Magufuli kapokea report ya CAG leo, naamini angefanya maamuzi haya ya kishujaa...

Nawashangaa mnaomsifia Madam Samia kwa kumsimamisha DG wa TPA na kumpa onyo Jaffo.

Binafsi naamini Magufuli angekuwa hai leo, Angevunja bodi nzima ya TPA, DG angefukuzwa na sio kusimamishwa. Jaffo angetumbuliwa sababu alishaonywa mapema,angeteua mwanajeshi kuwa DG mpya wa TPA waziri mpya wa Tamisemi angeweza kuwa mkuchika au Mhagama

Sasa huyu mama ameanza kucheka na nyani mapema yote hii.

Ngoja tuone
Una uelewa mdogo sana katika uongozi wa hayati JPM.
Hujui kuwa yeye Magufuli ndiye amesababisha huu upotevu kwa kutochukua hatua madhubuti?

Hujui ATCL kwa mfano,imekuwa hasara kwa miaka 5 mfululizo?Nani alikuwa rais kwenye miaka hiyo mitano?
Muache kusifia hata kama ndiyo Ajira yenu.
 
Huyu mama hajawekewa peacemaker, bado ana akili timamu
Nawashangaa mnaomsifia Madam Samia kwa kumsimamisha DG wa TPA na kumpa onyo Jaffo.

Binafsi naamini Magufuli angekuwa hai leo, Angevunja bodi nzima ya TPA, DG angefukuzwa na sio kusimamishwa. Jaffo angetumbuliwa sababu alishaonywa mapema,angeteua mwanajeshi kuwa DG mpya wa TPA waziri mpya wa Tamisemi angeweza kuwa mkuchika au Mhagama

Sasa huyu mama ameanza kucheka na nyani mapema yote hii.

Ngoja tuone
 
Nawashangaa mnaomsifia Madam Samia kwa kumsimamisha DG wa TPA na kumpa onyo Jaffo.

Binafsi naamini Magufuli angekuwa hai leo, Angevunja bodi nzima ya TPA, DG angefukuzwa na sio kusimamishwa. Jaffo angetumbuliwa sababu alishaonywa mapema,angeteua mwanajeshi kuwa DG mpya wa TPA waziri mpya wa Tamisemi angeweza kuwa mkuchika au Mhagama

Sasa huyu mama ameanza kucheka na nyani mapema yote hii.

Ngoja tuone
Swali fikirishi, je CAG aliye pita hakukagua miaka hiyo iliyo pita,ama wadangayika hawakutakiwa kusikia ATCL linapata hasara
 
Back
Top Bottom